Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Nimeona interview ya clouds tv na mzee platnumz, kweli jamaa kachoka. Huyu ni baba yake na mwanamuziki matata nchini Diamond Platnumz. Kama alikukosea wewe na mama yako, mbona ameshasema...
6 Reactions
165 Replies
29K Views
M wanamuziki Harmonize_tz ambaye anafanya kazi chini ya lebo ya @DiamondOlatnumz WCB( wasafi)ameachia video ya wimbo wake mpya@Niambiei ambayo amemtumia mwigizani na mpenzi wake,Jacklin Wolper...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Whitney Houston, superstar of records, films, dies By NEKESA MUMBI MOODY, AP Music Writer – 4 minutes ago LOS ANGELES (AP) - Whitney Houston, who reigned as pop music's queen until...
9 Reactions
327 Replies
51K Views
Baada ya kusaidiwa kwenye nyimbo yake ya kiboko ya mabishoo na mkongwe Huyo, Harmorapa ameanza kumpiga vijembe juma nature Msanii Harmorapa amewaomba wasanii wakubwa waliopo kwenye 'game' ya...
3 Reactions
53 Replies
8K Views
Hivi jamani nani aliyezaa na muigizaji Bongo movie, Jenifer kyaka aka Odama?
3 Reactions
24 Replies
18K Views
Nimekuwa shabiki mkubwa wa alikiba Kwa kipindi kirefu ila Kwa huu ulofa anao ufanya sasa sina budi kuomba rasmi kujiunga team wasafi Lakin pia nitumie fursa hii kumuomba radhi CEO wa wasafi Ndugu...
12 Reactions
36 Replies
5K Views
Ilianza Hivi: Teamukwelinauwazi 3 days ago Huyu Lemutuzi nae ni mbulula wa kwanza Tanzania kama wewe kweli hawa ni superfriends zako unashindwaje sasa kuwaweka chini ukaongea nao na ukajua...
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Nilikua naangalia angalia video za wasanii wa Tanzania sasa nikakutana na AJE REMIX,sikuwai kuiangalia vizuri. Sasa napepesa pepesa macho nimuone MI wapi,sikutani nae! Kilichonishangaza ni kwamba...
1 Reactions
0 Replies
692 Views
Majibizano ya matusi yazuka kati ya msanii wa hiphop Godzilla na mtangazaji wa Clouds Fm,Diva ambae kwa sasa ana mahusiano na msanii heri muziki. Pitia hapa www.twitter.com/king_zillah na...
2 Reactions
94 Replies
15K Views
HATIMAYE kwa mara ya kwanza Harmonize ameamua kufunguka kuhusu pacha tajwa ambaye ametokea kujizolea jina. Harmonize amesema haya: “Mara ya kwanza nilipomsikia, nilijiskia vibaya sana...
4 Reactions
44 Replies
15K Views
Harmorapa si wa mchezo mchezo, jina lake lawashtua MTV Base ya Afrika Kusini. Time ya HarmoRapa kwenye Game muda huu “Kiboko ya Mabishoo” imekuwa moto kwelikweli. Kama ulikuwa ufahamu ukiaachana...
12 Reactions
63 Replies
10K Views
Mmh huu ukaribu sasa umekua wa mwendo kasi kwa kweli, sio kwa mahaba hayo
5 Reactions
77 Replies
12K Views
(from hotnewhiphop) Nas has eyes for Nicki Minaj and she's not saying no, reports say. When "shETHER" was taken off the airwaves, rumors abounded that Nas was angry Remy Ma hadn't ask permission...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jana katika kipindi cha Ubaoni Efm watangazaji wa kipindi hiki bila kuona aibu waliwaambia Chege na Temba waache musiki wakauza Pweza kusema ukweli niliwashangaa sana na kuwadharau hivi kuna...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
  • Closed
Kuweni na subira kidogo wapendwa, narudi baadae
0 Reactions
159 Replies
17K Views
Akihojiwa kwenye kipindi cha Clouds, Diamond Plutnumz amesema hana ugomvi na alikiba na anamfahamu Ali hata kabla ya mziki na yeye alishawahi kusaidiwa na Ali Kiba kuhusu masuala kadhaa. Amesema...
2 Reactions
30 Replies
11K Views
Msanii Temba akizungumzia kisa cha kutotoa kazi mpya za muziki kwa muda mrefu amedai kuna biashara ya magari aliyokuwa akifanya na rafiki yake na kulikuwa na fedha kiasi cha karibia milioni 100...
1 Reactions
36 Replies
8K Views
Msanii wa vichekesho Idris Sultan amefunguka kwa kudai kuwa uhusika aliouvaa ndani ya filamu ya ‘Kiumeni’ ya Ernest Napoleon ni vitu ambavyo viliwahi kumtokea katika maisha yake. Filamu hiyo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwakweli kuna mtu kakalishwa vibaya...
6 Reactions
132 Replies
24K Views
Back
Top Bottom