Hatimae muda umewadia wa kumjua baba halisi wa mtoto wa Frola Mbasha
Baadhi ya matukio ya nyuma ..........
>>> MBASHA ADAI KUKOMBWA KILA KITU NA FLORA
http://youtu.be/fUAGeSf63Ps
>>>BABA...
Mwimbaji Emmanuel Mbasha anadai Flora alimfungulia kesi mahakamani mara tatu akataka ampe talaka lakini Mbasha akamshinda kwenye kesi hizo lakini Flora akaendele kufungua tu kesi kwenye mahakama...
Familia ya Mbasha inaendelea kutengeneza vichwa vya habari.
Baada ya mchungaji maarufu nchini, Gwajima kukanusha kuwa si baba wa mtoto wa Flora Mbasha, mume wa muimbaji huyo wa muziki wa...
Msanii wa kizazi kipya mwenye rekodi ya kupatwa na misuko suko ya madwa ya kulevya amepata nafuu na sasa ameingia studio kutoa ngoma aliyomshirikisha Mr Blue na Matonya kabla ya kuumwa, na sasa...
ASKOFU Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, amesema yeye si tajiri kama inavyodhaniwa, bali alichonacho ikiwa ni pamoja na nyumba, magari na helikopta ni baraka tu za Mungu, lakini kama...
Msanii chipukizi anayekuja kwa kasi maarufu kama harmorapa leo amemtembelea P funk offisini kwake bongo records kwa mwaliko maalum kujadili mambo ya musiki.
Akihojiwa katika kipindi cha amplifaya...
Baada ya kushikiliwa na polisi kwa takriban siku 4, Vanessa Mdee ameachiwa kwa dhamana Jumatatu hii.
Vanessa ambaye alishikiliwa muda mfupi baada ya kurejea kutoka Afrika Kusini ni miongoni mwa...
Jackiline Wolper na Harmonize wamerudiana na wamefanya interview clouds radio kwenye XXL, wamedai kulikuwa na misunderstanding ila sasa wamerekebisha
Harmonize anadai kuna nyimbo amefganya video...
Eeh ila wambea nimewavulia kofia, wiki kadhaa nilisikia makelele kuwa diva katimuliwa clouds ,diva mwenyewe akatoa mchambo wa haja kukanusha,kumbe kweli bibie kitumbua kimeingia mchanga,looh...
Mtangazaji wa EATV ambaye anahoji ma celebrities alikuwa akimhoji Idris Sultan basi iDris akamchana ya kuwa ana maswali ya kukera mno, ni yule anayehoji watu kwenye kipindi cha E newz
Kwenye kipindi cha planet bongo watangazaji wa Dullar na juma junior wametokwa na povu baada kusikia kauli ya diamond aliosema sasa hivi akitoa nyimbo hategemei radio na TV pekee kusambaza mziki...
HARMORAPA,rapa anayetikisa soko la mziki barani Afrika na vibao vyake kadhaa kama UTHIGAWE PATHI na vingine vingi vinavyopigwa na vituo mbalimbali vya kimataifa amejikuta anaingia kwenye migogoro...
Lile penzi mubashara kati ya staa wa filamu nchini, Lulu Michael na Mkurugenzi wa E-fm maarufu kama Majizo, linadaiwa kuingia kidudu mtu.
Za kunyapia nyapia zinadai eti bibie huyo anatuhumiwa...
na fedha TZS 2m. Gari aliloonyeshwa siku ya shindano hakulichukua.
================================================
Dar es Salaam. Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na Baraza la...
Sababu Alizo toa Boss wa WCB kuhusu ugumu wa kudownload music kutoka kwenye website yao haina mashiko
kwani ilitakiwa wafanye pre testing kwanza kabla ya kuingia sokoni.Mpaka hivi sasa bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.