Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mambo, Hapa katikati kumeibuka tuzo nyingi tu kwa wasanii wetu wa nyumbani kwa mfano InstAwards, sasa hawa wasaniii wamekuwa wakiomba kura kila siku wamesahau kuwa kazi nzuri ndo inafanya upigiwe...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Yadaiwaishu ni vurugu uwanja wa taifa wakati wa kuingia
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu.. (maana humu kila mtu ni mkuu) Yule hit-maker wa Muziki, Darasa, alifanya vizuri sana na huo wimbo kiasi kwamba akapata "rate" kubwa ya viewers youtube (many viewers in a week)...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Jana kupitia channel 10 kwenye kipindi cha tutafika? mwandishi william Shao alikuwepo akichambua kitabu chake hicho,mwandishi kweli ana point za kutosha niliona mpaka Dr Lwaitama alikuwa kimya...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Ofisi za serikali zimeendelea kumuandama diamond platnumz Taarifa iliyoanza kutoka Feb 22 na kusambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ni pamoja na hii ya Diamond Platnumz kuitwa Makao Makuu ya...
12 Reactions
82 Replies
13K Views
Muigizaji maarufu wa filamu za Kibongo, Wastara Juma ametapeliwa mamilioni ya fedha na kampuni moja ya simu ya Wachina baada ya kuingia nao mkataba wa kuwa balozi wao hapa nchini. Wastara aliingia...
4 Reactions
49 Replies
6K Views
Imebainika ya kuwa mwanadada mlimbwende wema sepenga baada ya kutiwa ndani na umaarufu wake kupungua kwa kutajwa kuwa anatumia unga ikabidi atumie akili ya ziada kuokoa App yake Hii ni kwa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Staa mwenye mvuto wa aina yake kutoka nigeria,Tontoh dikeh,hivi karibuni baada ya kuachana na mume wake waliyebahatika kupata mtoto mmoja,ameibuka na kudai kuwa mwanaume huyo hafai kwani alikua...
2 Reactions
59 Replies
8K Views
Huddah Monroe, sio jina geni especially kwenye ulimwengu wa mastaa wa kike wanaokimbiza kwa sasa kwenye urembo Africa Mashariki. Habari mpya ni kuwa mrembo huyo kwa sasa ataonekana kwenye film...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Apa alikuwa akimponda mawe mwandishi wa habari kutoka grobal publishers aitwae Shakoor jongo alipomfuata mama huyo nyumbani kwake maeneo ya sinza mori# through back 2012..
1 Reactions
21 Replies
6K Views
Tangu Mirror aingie kwenye bifu zito na petii amepotea kabisa katika ramani ya muziki Petii alimwambia kabisa bwana mdogo nitake radhi la sivyo utapotea kwenye gemu dogo akajifanya mjanja...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
KAMATI YA MAZISHI YA KANUMBA NA KASHFA YA KUCHAKACHUA MICHANGO Hawa wenye suti na miwani myeusi ndio baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo wanaodaiwa kufanya upigaji huo wa fedha za michango ya...
0 Reactions
158 Replies
23K Views
Ney wa mitego ni msanii ambaye anajua sana kukwepa maswali ya kimtegotego Nimekuwa nikimfatilia kwenye interviews nyingi jinsi anavyoulizwa maswali na anavyojibu ,aisee huyu bwana mdogo yupo...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Mpambe na Rafiki Mkubwa wa Wema Sepetu Petit Man Amesema Kamwe Hawezi kuachana na Wema eti kwa Sababu Shemeji yake Diamond Ana mahusiano na Mwanamke mwingine.. Kauli hiyo inaashiria kwamba...
1 Reactions
49 Replies
18K Views
Hakuna tukio lililoniumiza jana kama hatua ya Wema Sepetu kuhamia CHADEMA. Sikutaka huyu binti mrembo na ambaye nampenda sana kutoka CCM. Najua ndani ya CHADEMA anaenda kupotea kabisa... Cha...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Habari wadau... Hii awamu ya kuisoma namba ni kweli namba tunaisoma wote au watumishi tu..Mfanyabiashara maarufu wa nywele za kidoti amejipa outing kidogo ya kwenda kuchek NBA all star game...
9 Reactions
135 Replies
21K Views
Msanii wa bongo fleva Khalid Mohamed 'T.I.D' ameahidi kuwachukulia hatua za kisheria watu wanaosambaza taarifa kuwa amepewa pesa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kama kivuli katika...
7 Reactions
37 Replies
8K Views
The brother-man from Harlem has been the center of attention lately, especially on twitter. Bila huyu jamaa, pengine Jay-Z, The hottest Rapper that ever did it asingekuwa kabisa au angechelewa...
0 Reactions
65 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…