Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Habari wadau hope mko poa Wakuu Naimani wapo wadau wa sanaa humu wanao penda kuwekeza na kuiendeleza sanaaa Yatanzania Nawaomba mtuangalie nasisi wenye uwezo katika swala zima lasanaa lakini...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Hawa watangazaji wamepotea ghafla wako wapi Mwenye kujua
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwigizaji maarufu Charles Warren ambaye ni shoga anayeigiza sinema katika tasnia ya sinema ya Nollywood nchini Nigeria amefariki ghafla alhamisi iliyopita majira ya usiku katika Hospitali moja...
0 Reactions
124 Replies
56K Views
Wakuu kwa ninachokiona kwa sasa kwa hili tukio la wasanii kuhusishwa na matumizi ya dawa za kulevya ni kutaka kuondoa attention ya watu kuhusu; 1)matokeo mabovu ya wanafunzi wa kidato cha nne...
8 Reactions
61 Replies
6K Views
Familia ya msanii wa bongo fleva Q Chilla wameamua kuingilia kati mkataba wa msanii huyo na kusema mkataba huo unamfanya aishi maisha magumu kiasi cha kushindwa kuchangia mambo yakifamilia...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Amini usiamini meneja wa mwanamuziki Naseeb Abdul au diamond platnumz kama anavyojulikana na wengi aitwae Hamis Taletale al maarufu kama babu tale ana pesa nyiingi saana kuliko diamond platinum...
6 Reactions
137 Replies
20K Views
Jamani nyie mastaa mna vituko! Kutwa kutuvalia vinguo vya ajabu insta kumbe mnajuaga kuvaa kiheshima? Haya wasalimie huko, usisahau kumtaja teja mwenzio Young dee. . ======== Katika hatua...
2 Reactions
63 Replies
17K Views
Hapa sizungumzii punda wauza unga,maana mijitu itaamza kuandika barua hapa,wewe kajala nilikua nakulia Timing tu siku zote hizo ambazo mwenzio kakamatwa kwa shutuma za madawa, nikajua mwenzangu na...
7 Reactions
95 Replies
17K Views
Kwako mfwatiliaji wa mabingwa wa kuchekesha wanaoishikilia rekodi ya wachekeshaji waliotazamwa sana kwenye TV nchini Tanzania kuanzia time hiyo ya Ze Comedy mpaka Orijino Komedi walivyokuwa...
5 Reactions
36 Replies
8K Views
Watanzania Hao hao waliokuwa Wanawapost Kina Chid Benz...RayC..eti Jamii iwasaidie na Madawa Ya Kulevya Leo hao hao Wanamsupport Suspect wa Madawa ya Kulevya aliyetajwa na Makonda.... Watanzania...
12 Reactions
42 Replies
5K Views
Katika mtandao wake wa Facebook aandika barua ya wazi kushukuru mashabiki kumfananisha na super star juma jux aahidi aja vikali kuteka soko la films nchini
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Mwigizaji wa Tanzania Wema Sepetu ambaye mwishoni mwa wiki iliyopita alifika kwenye kituo kikuu cha Polisi kati Dar es salaam baada ya kutajwa kwenye list ya wanaotuhumiwa kwenye utumiaji na...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Nakumbuka miaka ya zamani lulu nae alikua hivi hivi hashikiki, kila club yeye, kila rafiki yeye, mtoto alikua hashikiki mpaka mama yake akainua mikono, lulu anatoroka kwao usiku wa manane anaenda...
30 Reactions
129 Replies
24K Views
Angekuwa ndio wife wako sijui
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Vanessa mdee ameamua kuingia kwenye utamaduni mpya huku akiwashangaza mashabiki wake Ameamua kuingia kwenye utamaduni wa watu wa Raggie kama bob marley na lucky dube Baaadhi ya mashabiki...
2 Reactions
123 Replies
15K Views
Afande Sele amefunguka na kusema kama jambo hili litafanywa kwa haki na umakini basi huenda hata wale wasafi wakaonekana ni wachafu. Afande Sele ameonyesha wasiwasi juu ya sakata hili la madawa...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
The hottest thing in the TV lately, has been The New Edition Story(yeah I speak for myself). The mini-series released on BET, are telling stories that would make most rappers jealous. I used to...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Safari hii inaweza ikawa ni bad timing kwa mwanamuziki mashuhuli Africa, diamond platinum, baada ya hivi karibuni kuachia video ya wimbo wake mpya huitwao Marry me aliomshirikisha mwanamuziki...
6 Reactions
70 Replies
17K Views
Diamond platnumz ashinda tuzo za Hipipo Awards 2017. Ameshinda categories mbili 1.QUINQUENNIAL AFRICA MUSIC VANGUARD AWARD (2012-2016) 2.BEST VIDEO EAST AFRICA-SALOME.
0 Reactions
49 Replies
3K Views
Back
Top Bottom