Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Lile sakata la mwanamama mchambaji maarufi Instagram Mange Kimambi Na Tzshaderoom a.k.a Milly bado linaendelea Na ubuyu n kama ufuatao [emoji116] [emoji116] [emoji116]
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Akijibu hoja ya kwa nini hachukui uraia wa USA,Mange kupitia ukurasa wake wa Instagram alijibu anaogopa kuukana uraia wa Tanzania kwani atapoteza ndoto yake ya kugombea ubunge 2020
1 Reactions
82 Replies
14K Views
Akitokea THT ni binti mnyange aliyetikisa anga la muziki wa bongo fleva mwaka uliopita.. Ana kipaji Ana mvuto Ana sauti Lakini akakosa miongozo sahihi...utoto na pengine ulimbukeni wa kuwa maarufu...
9 Reactions
154 Replies
28K Views
Muigizaji asiye na makuu nchini, jennifer kyaka aka ODAMA, hivi karibuni amekua na ziara kwenye nchi mbali mbali ,ambapo alianzia nchini china ambako alienda kusherekea sikukuu yake ya kuzaliwa...
8 Reactions
57 Replies
19K Views
Huyu jamaa anaishi kawaida kabisa japokuwa ndie tajiri namba moja Africa. Hebu ktk hiyo picha tazama 1,Kalamu 2,Mapete vidoleni (hana) 3,Simu ya kawaida kabisa Sisi ukipata hela za mkopo tu...
16 Reactions
144 Replies
23K Views
Baada ya kuonekana kwenye tuzo akiwa alone na kuulizwa yupo wapi jamaa yake na kuwa mkali, wambea wamedai huenda mrembo huyo ametemwa na jamaa yake huyo, kutokana na yeye ku demand sana uwepo wake...
3 Reactions
46 Replies
12K Views
Muziki wa Tanzania utakufa kama mashabiki na vyombo vya habari vitabaki kitukuza watu wawili tu. Mashabiki yawapasa kutambua kuwa kuna vipaji vingi sana Tanzania na vinahitaji sapoti yao ili...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Weekend well spent My playlist 1. Kidogo - Diamond Feat P Square 2. Matatizo - Harmonize 3. Salome - Diamond Feat Rayvanny 4. Natafuta Kiki - Rayvanny 5. Kwetu - Rayvanny 6. Bado - Harmonize Feat...
6 Reactions
20 Replies
4K Views
Super model of Tanzania Fideline Iranga (in black) you rock babe!
1 Reactions
61 Replies
26K Views
Habari za leo, Nimepokea taarifa hii kwa masikitiko, ile documentary aliyoiandaa Diana Lukumay ya Genital Female Mutilation, ambayo imempa unique platform kwakuwa ni sensitive issue ambayo...
6 Reactions
30 Replies
4K Views
Baaada ya kupitia kufanya utafiti kwa miaka kadhaa na kupitia maandiko kadhaa ya wanazuoni tofauti tofauti wa masuala ya urembo, nimejiridhisha kabisa (beyond reasonable doubt) kuwa miss Tanzania...
13 Reactions
38 Replies
5K Views
Baada ya kuandamwa sana ana matatizo ndio maana hajawahi kuonekana na mwanamke na hana hata mtoto wa kusingiziwa na Nay wa Mitego, Kisha Diamond kuandika kuwa aligoma kumpumulia ndio maana ana...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Unafiki mbaya sana.... Utasikia:- "So sad" "Jamani inaumiza sana" "Mwili wangu wote umesisimka" Simply because ni Mtoto wa Kizungu. Ni unafiki wa kipuuzi sana. Ndio maana hata viongozi...
12 Reactions
43 Replies
5K Views
Mfanyabiashara mkubwa jijini Dar es Salaam na mmiliki wa vyombo vya habari (blog ya wananchi na live straight talk) ndg Lemutuz anatoa hela kwa shindano alilolianzisha na hivyo wataalam wa mambo...
7 Reactions
79 Replies
16K Views
Wamependeza wenyewe....... Neno lolote kwao.....
7 Reactions
122 Replies
31K Views
Tangu kutolewa kwa tuzo za EATV awards vituo vya eatv na ea radio vimekuwa havipigi nyimbo za msanii wowote wa WCB wala kutoa habari zao Tetesi zinasema kitendo cha WCB kutoshiriki tuzo hizo...
6 Reactions
128 Replies
24K Views
Habari za mida hii wadau wa jukwaa hili, Swali langu kwa mwenye kuelewa vyeo vya WCB pale kwa diamond, naona kuna viongozi wengi ila sijajua vyeo vyao Babu tale anacheo gani? Fella ana cheo...
0 Reactions
39 Replies
9K Views
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nipo naangalia Ntv ya Kenya kwenye kipindi chao cha uchambuzi wa sanaa na wasanii maarufu kama UDAKU wameongelea tuzo za Eatv na wamezisifia. Wakasema pia sababu za Diamond kutokuwepo kwenye...
6 Reactions
28 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…