Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kama ilivyo kawaida kwa sasa ambapo kila msanii wa bongo fleva anataka kumiliki label yake.Hatimaye msanii Baraka da Prince na mpenzi wake Najma wametuletea label mpya kabisa inayojulikana kama...
1 Reactions
77 Replies
11K Views
Wadau wa muziki, ninashangazwa sana na hawa wasanii wetu wa bongo fleva ambao wanashindwa kuitangaza nchi yetu na kuamua kila video yao mpya kwenda kuifanya South Africa utadhani huko ndio...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Aliyekuwa nguli wa muziki wa Taarabu nchini Mzee Yusufu inadaiwa na dada yake kuwa atampa mkewe talaka baada ya kugoma kuacha kufanya muziki wa taarabu na kumrudia mungu kama mumewe alivyofanya...
2 Reactions
114 Replies
26K Views
Baada ya kuwa kimya kwa mda mlefu pasipo kuwapa updates kuhusu Diamond platnumz now nimerudi ...ntaendelea kuwapa updates zote za uhakika kuhusu diamond
3 Reactions
59 Replies
7K Views
Ni nadra sana kusikia wasanii wanaofanya rap kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja hasa kutokana na nature ya muziki wenyewe unaoaminika kuwa ni muziki wa wagumu na watu wanao-stay real...
2 Reactions
122 Replies
32K Views
WanaJF, Nimekuwa nikijiuliza hili swali kwa muda mrefu sana, hivi ni kwanini Ali Kiba hatumiki kwenye matangazo ya makampuni na biashara kama ma-superstar wengine hapa TZ. Naomba maoni yenu wanaJF.
1 Reactions
62 Replies
5K Views
Kuna habari zinasambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba komando Ruby yuko studio anafanya album aliyoipa jina la Antivirus volume 3. Mdau yapi maoni yako kuhusu hili?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mmmmhhh!!! Hivi majuzi Diamond plutnumz (Nasib Abdul...Baba Tiffah)alioneshwa kwenye kipindi cha E-VIP kinachorushwa na channel ya kimarekani ya E! namba 124 kwa king'amuzi cha dstv. Kipindi hicho...
1 Reactions
49 Replies
9K Views
Kwa mujibu wa mtandao wa edaily barani Africa umetoa orodha ya WASANII wenye mkwanja mrefu zaidi na wanaoingiza kipato kikubwa 1 P square wanamiliki mkwanja sawa na sh bl 277.752.822.639.34...
1 Reactions
21 Replies
14K Views
Habari wanajamvi! naombeni mnisaidie umri wa jide maana huyu dada nilianza kumskia nikiwa na umri mdogo sana, mpaka sasa at the age of 30 bado yuko vile vile habadiliki, sana sana namuona anazidi...
2 Reactions
45 Replies
14K Views
HATARI! Kumbe Rose Muhando ana Balaa Namna Hii! Unapowazungumzia wasanii wa nyimbo za injili ambao ni maarufu Afrika Mashariki na kati basi jina la Rose Mhando halitakosekana. Rose Muhando Rozi...
7 Reactions
61 Replies
22K Views
Kati ya namba ambazo huwezi kuzigawanya ni kama 5 ,7, 9 huo ni mfano tosha wa mwanamuziki kutoka #eastafrica #tanzania @diamondplatnumz ambae huwezi kumueka katika kundi lolote la mgawanyo au...
9 Reactions
18 Replies
2K Views
Nimeangalia entreview ya mzazi mwenzie na young Dee mpaka machozi yamenitoka, jamaa anajifanya Justin beiber wakat kazalisha mtoto hats huduma hapeleki, mambo mengine mumuachie baba tiffah...
15 Reactions
118 Replies
18K Views
Ni kweli SALIM AHMED ISSAH aka GABO alistahili tuzo ya EATV?
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Leo mjini Dar kuna matukio mawili ya burudani,moja ni la After scul bash ya Clouds media group litakalofanyika Eskape one na lingine ni la EA TV awards litakalofanyika Mlimani city. Katika...
1 Reactions
126 Replies
11K Views
Hahahahahahahahaha jamani najaribu kufwatilia kwa mbali na kwa karibu hizi hit track mbili yani kokoro ya mavoko na muziki ya darasa, sasa kuna kitu kinanishangaza kokoro imetumia siku 10 kufika 1...
0 Reactions
59 Replies
8K Views
Nakumbuka iliwahi kwenda huko miaka ya nyuma ila wakaacha, wanaishia Moshi tu.Kama tuonavyo kwa sasa Fiesta inaenda mikoa mingi hadi mikoa midogo kama Singida na baadhi ya wilaya kama Kahama na...
12 Reactions
147 Replies
34K Views
Baada ya Kile Kinachoonekana Kujitambua na Kukua Kiakili ama Maisha kumwendea Kombo huko alipo, Msanii Dogo Janja Amewaomba Msamaha Walezi wake wa Zamani ambao ndio walimtoa Katika Game, Kundi la...
0 Reactions
43 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…