Mwanamuziki ommy dimpoz ametangaza kugawa sumu za mpya i phone 7 kwa mashakizi zake
Ofa iyo imepokelewa tofauti na mashabiki wake baada ya picha alioweka ikimbatana na kilainishi cha mafuta ya...
Msanii Omy Dimpoz amefunguka kuhusu vacation yake ya Ibiza na kudai gharama za maisha kule ni juu sana
Akaongezea kile kisiwa alichoenda na kupiga picha na Wayne Rooney ku book meza kwa ajili ya...
Msanii wa muziki Ommy Dimpoz amedai kuna baadhi ya wasanii wananunua views katika mtandao wa YouTube ili video zao zionekane zimeangaliwa zaidi.
Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo...
Msanii Ommy Dimpoz ameshukuru baraza la sanaa Tanzania kumuadhibu msanii mjinga Ney wa Mitego, pamoja na wasanii wengine wanaoandika nyimbo za matusi
Amesema atamtambulisha mpenzi wake soon, na...
Hebu wazee wa mujini warumi mnidadavulie huu ukaribu wa msanii Ommy Dimpoz na Boss mkuu wa GSM ni biashara ipi anayomtangazia....au kuna single inakuja tujiandae?
Mzee wa Shilawadu niPM basi...
Hivi ninyi Team Kiba mbona mna chuki sana iliyopitiliza kwa Diamond? Mimi nashangaa sijui dogo wa watu kawakosea nini. Watanzania huwa tuna wivu sana kuona mtu ana mafanikio. Wivu haujengi kama...
Baada ya kazi ngumu ya kulitumikia Taifa kama Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Waziri Nape Nnauye hapa anaonyesha kipaji chake kingine cha kupiga gitaa na kuimba. Kazi na dawa waungwana.
Wakati tukiendelea na stori za views kununuliwa, kijana wetu asiyechoka kusaka pesa anakuletea kitu kipya, kitu maridadi, CHIBU PERFUME #THESCENTYOUDESEVE.
Diamond Platnumz ni mmoja wa wasanii wakubwa barani Afrika kwa sasa. Siku za hivi karibuni alipata nafasi ya kushiriki tamasha la muziki la Coke Studio Afrika kusini ambapo alitengeneza wimbo...
Mzee wa Ubuyu, Soudy Brown kafanyiwa interview na TBC amabapo ana dai ndio sehemu iliyomlea amefungukia aanvyotukanwa instagram na anavyochulia.
Pia amesema anapenda kuvaa mask kama swag tu, na...
Sikuwahi kusikiliza nyimbo za huyu jamaa, kama bahati kupita pita youtube nakutana na nyimbo ya jamaa inayokwenda kwa jina la "ibaki story" nimejikuta natafuta nyimbo zake za nyuma, kwa kifupi...
Take little look ya hizi video mbili ya ommy alioachia wiki imepita na video ya cokestudio walioachia cku tatu kama cyo mbili zilizopita,l
Video ya ommy INA views 611k na video ya coke studio...
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Anti Ezekiel amefunga ndoa Kimya Kimya siku moja baada ya kuomba msamaha kwa kuvaa nguo iliyoonyesha kufuli lake.
Hapa ni baada ya kufunga ndoa tayari.
Hapa...
Chekibud anadai mwanamke anamsingizia kuwa mtoto ni wake kwa kuwa wanafanana anadai anafanana na watu wengi na sio watoto wala ndugu
mwanamke anadai walikutana club billicanas wakafanya kwa usiku...
Nikimuona Diamond na kina Kiba na wanamuziki wengine wakila bata najua ni mziki wao unawalipa. Ila kuna hawa watu maarufu huko Instagram kama kidada fulani Tunda na wengine, picha zao zimekaa...
Msanii wa Bongo Mobie Nisha amedai ana mimba inayotokana na kubakwa.
Anadai alibakwa kwa sababu mpenzi wake huyo alimrubuni kisha kumuingilia kwa nguvu, anaongezea hilo linaonekana ni jambo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.