Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mimi shabiki wa Diamond na nina unga mkono juhudi zake za kuinua vijana katika mziki lakini awe ana angalia na watu wengine anao wainua kimziki kama akina Harmonize watakuja kumgombanisha bure na...
22 Reactions
95 Replies
17K Views
Katika pita pita zangu mitandaoni nimeona clip ya video ya diamond akiwa na familia yake sijui nchi gani, nilichopenda ni namna kijana anavyojitahidi kuwa karibu na mama yake, kutoka katika sakafu...
9 Reactions
21 Replies
3K Views
The ex Big Brother Africa star last night shared on snapchat a chat she had with a girl who she was supposedly asking out. In the chat she asked the girl to send her a picture of her butt hole and...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Jamani Kanumba ndani ya Take one
0 Reactions
15 Replies
8K Views
Katika kile kinacho itwa From Tandale to world tour,Diamond leo ametua Ujerumani kwaajili ya kukinukishaaa! Lakini kilicho nishangaza ni kundi kubwa la watu alio nao,Sina kinyongo nao sababu wote...
3 Reactions
22 Replies
5K Views
Hawa watoto wamelelewaa vibaya tu au wana matatizo mengine zaidi naona huyu mwandishi wa New Yok Post kawaondolea uvivu kuna watu wanasema hawa watoto ni 'too spoiled' na ni 'time bomb' Soma...
3 Reactions
70 Replies
18K Views
Msanii na mwanamitindo maarufu nchini, Jokate mwigelo, anaendelea kufanya vizuri kwenye soko la urembo, ambapo hivi karibuni alifanikiwa kuwashawishi warembo wenye mvuto wa aina yake bongo, Hamisa...
0 Reactions
14 Replies
9K Views
Mkali wa muziki wa Bongo fleva hapa nchini, Nasib Abdul aka Diamond Platnumz, amekanusha tetesi zakwenda kumpima mtoto wake Latiffah 'Tiffah' vinasaba 'DNA' ili kupata uthibitisho wa kuwa ni...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Imefichuka! Baada ya kuitwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa ajili ya kupongezwa kutokana na tuzo aliyopata nchini Nigeria, staa wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ alijikuta akihaha baada ya...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Jambo limezua jambo! Siku chache baada ya kukabidhiwa talaka na aliyekuwa mumewe, Gardner G. Habash ‘Captain’, mali za mrembo wa nguvu, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ zinadaiwa kuzua kizaazaa baada...
1 Reactions
67 Replies
10K Views
  • Closed
Romy Jones alikuwa rafiki mkubwa wa Ngwair. Kuanzia wanyama mpaka radar entertainment lakini leo analishwa bata na Diamond na a Diamond huko fukwe moja ya bahari wakati rafiki yake kipenzi...
0 Reactions
32 Replies
12K Views
Nimeona tamasa la diamond las vegas marekani watu walikuwa wengi mno na mbanano ulikuwa mkubwa sana. Ukumbi ulikuwa kama egesho la magari au kama ukumbi wa buguruni. Spika zilikuwa hafifu na...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Wana jf salaam alekum, moja ya waandaaji wa vipindi vya TBC1 ninayemuadmire ni Mariam Migomba. Dada huyu ninampa credit kwa jinsi anavyoendesha na kukimudu kile kipindi cha Taarabu. Mimi siyo...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba, juzi alikwama kwenye Uwanja wa Ndege wa Kotonou, Benin kutokana na ndege yao kutua kwa dharura kwa kilichodhaniwa kuwa ni hitilafu kwenye mfumo wa hewa wa ndege...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Ma-Star wa Bongo Movia wamemuangushia party ya nguvu Mkuu wa Mkoa mpya wa Dsm ndugu Paul Makonda baada ya kuteuliwa na kuapishwa kuwa mkuu wa mkoa wa Dsm. Party hiyo ilijumuisha mastaa kibao wa...
0 Reactions
38 Replies
8K Views
Mitandao ya Udaku Afrika inaripoti kuwa muimbaji kutoka Tanzania Diamond Platnumz amempima DNA mtoto wake ‘Tiffah’ na mpenzi wake ‘Zari’ ilikujua kama yeye ni baba wa mtoto huyo. Chanzo cha...
0 Reactions
77 Replies
24K Views
Nimekuwa nikisikia uvumi kuhusu kuchoka kwa huyu msanii wa muda mrefu na kudai amekwisha na wengine kudai amekamata umeme (ukimwi) yote ni maneno na huwezi kumziba mtu mdomo asiongee. Leo katika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Rudini Africa tupambane na maisha mbona mnatia aibu hivyo? ni bora kufa ukiwa fukara kuliko aibu hizi!
1 Reactions
437 Replies
115K Views
Wangrata haki etsa haki etsa so, Wangrata haki etsa haki dlala so Tokollo,kabelo na zwai.Miaka flani ya late 1990s to early 2000s hawa jamaa walitisha na kwaito yao. Naskia waliwin Grammy ka...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Sam Wa Ukweli ni msanii ambaye alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kucheza na sauti yake na alikuwa na mashairi mazuri pia. Jamaa alitamba sana na vibao kama Sina Raha, Hata Kwetu Wapo. Kwa aliye na...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…