Jamani hivi kumbe kaka ndio kaolewa badala ya dada? nimekuwa nikipita kwenye mitandao kufuwatilia ukweli nikagunduwa ukweli,
Facts hizi hapa
Ivan mume wa zari alichukua poa kwa zari kumfuwata...
Wow!wameenda Sweden!
YES THE CHIBUS ARE IN SWEDEN NA WALITOKA OUT I GUESS TO JUST TAKE A LOOK AND EXPERIENCE THE SNOW HUKO SWEDEN.
THEY ALL IN LAYERS OF CLOTHES SINCE KUNA BARIDI MNOOO
HOW...
Hivi lile bifu kati ya ma legendary kwenye mziki wa bongo fleva, rehema chalamila aka Ray c pamoja na commando lady jaydee liliishia wapi? natamani kuona collabo kati ya wasanii hawa wawili...
Habari mpya mjini kwa sasa ni kuwa wale mahasimu wawili wa muda mrefu, Blandina Chagula ‘Johari’ na Chuchu Hans ambao ni mastaa wenye majina makubwa katika kiwanda cha filamu nchini, wamemaliza...
NYOTA wa filamu Nchini Burundi na Rwanda Ibrahim Ismael ‘Ic’u Ibrah’ amefunguka kwa kusema kuwa moja kati ya ndoto zake ni kuigiza filamu moja kubwa na Madame Wema Sepetu kwani ni msanii...
Sabakher wadau,
Director nisher nakumbuka kipind kile unafanya Mama Yeyo, Jikubali, na Nje ya box. Kila mtu anayependa muziki mzuri basi sio rahisi kukosa kulitaja jina lako ukipost kipande cha...
Nakumbuka filamu aliyocheza na Johari na Ray, yeye akiwa kama mke wa boss mmoja kwenye kampuni yao.
Alionekana kwenye wimbo wa zari la mentali wa Prof. J akijitambulisha kama Vicky.
Je huyu...
Kuna hii website ya mkito.com ambayo sasa kila nyimbo iktoka ya kibongo unaikuta kule .. Nimeona kuna ubunifu mkubwa wa kutengeneza pesa. Hivi ni ya nani anaimiliki?
DAR ES SALAAM! Mbunge wa Mikumi kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Haule ‘Profesa Jay’ (pichani) amesema hali ya Mbongo Fleva, Rashid Abdallah Makwiro (31) ‘Chid...
Dah! Huyu Dada mbona anapitia mitihani migumu hivi!? Nimesikia uchungu mno baada ya kuona kwenye mitandao kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake na nikapata uthibitisho kwenye radio kipindi cha Dida...
Nimejaribu kupitia kurasa zao za instagram hawa ndugu zetu, naona kila mtu hana tena picha ya mwenzake au wakiwa wapo wote, vipi mapenzi yamefika mwisho au kuna nini?
Raymond ni msanii mpya wa Wasafi. Ameachia wimbo unaitwa Uku Kwetu.
Sio rahisi kupima uwezo msanii kwa wimbo mmoja. Ila kwa huyu mchizi kuna kitu nimeona anacho kikubwa sana.
Ana kitu muhimu...
Nimekutana Mlimani tv na mahojiano ya mtangaziji wa zamani sana Radio tanzania "RTD" anaitwa Debora mwenda dah huyu mama sasa ni mzee na sasa hivi anamiliki shule ya msingi bahari beach
Ki ukweli...
Baada ya picha ya staa wa bongo fleva Diamond Platnumz akiwa na Hip Hop staa kutoka Marekani, Kanye West kusamba pamekuwa na maswali mengi ya Ilikuaje mpaka picha hii ikapigwa? .
Akizungumza...
Wakuu nilikuwa kwenye duka moja hivi hapa mjini nikajikuta natingisha kichwa changu kwa madaha yote mara baada ya kusikia mziki mzito uliokuwa unatoka kwenye redio.
Sikujua ni nyimbo ya nani...
PICHA YA PAMOJA WASTARA SAJUKI AKIWA NA MKE MWENZIE!!!
==Wastara akiwa na mke mkubwa baaada ya harusi.. Adai watu msiumize kichwa mke mkubwa kampokea vizuri kwa mikono miwili na wanajuana na...
Haki mwanzo nilikua nasikia tu nyimbo za huyu bwana ila leo kwenye kipind cha Sporah show nimepata kujua kuhusu huyu Mfalme. Mwenye bidii kwenye kazi na upendo wa Dhati. Keep it up
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam , Paul Makonda amefurahishwa na kitendo na response ya haraka iliyochukuliwa na Babu Tale meneja wa Diamond , kumsaidia Chidi Benz aliyekiri kutumia madawa ya kulevya...
Watanzania tunakuwaje lakini?
Leo hii Mr Nice ni mgonjwa sisikii watanzania hasa vyombo vya habari pamoja na wasanii wakimfatilia kumjulia hali hata kujua anaendeleaje au hata yamkini kujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.