tarehe 19 ya mwezi augasti mnamo mwaka 1969 Nathaniel Dwayne Hale alizaliwa ktk viunga vya Mississippi nchini Marekani na baadae makuzi yake yote katika uhai wake aliishi Long Beach California...
day, November 22, 2015
Staa nambari moja Bongo Fleva, Nasibu Abdul ?Diamond Platnumz?.
NI gumzo! Ubuyu motomoto ambao unasambaa kwa kasi ya ajabu kama moto wa kifuu mjini unadai kuwa, staa...
Habari zenu wakuu,
Hivi watu hawa wako wapi? Dennis Mdoe alikuwa mchezaji wa Yanga na Nyota Nyekundu, Bakari Idd alikuwa mchezaji wa Majimaji na baadae Simba Sports na Nteze John alikuwa Pamba na...
Baada ya dogo Janja kukaa kwa kimya kirefu hatimaye siku za karibunu alirudi tena katika game ya muziki na kutoa hit single yake iitwayo My life
Leo katika Alah za Roho clouds Fm dogo Janja akiwa...
Mchoraji vibonzo wa Kenya Godfrey Mwapembwa ,aka Gado ameiambia BBC kwamba atalishtaki gazeti la The daily Nation nchini Kenya kuhusu kile alichokitaja kuwa kusimamishwa kwa kandarasi yake kinyume...
Diamond kafika Marekani katika show yake itakayo fanyika Las Vegas,mara tu baada ya kufika Marekani alikutana na Kanye West a.k.a kanye Magharibi
Huu ni mwanzo mzuri kwa Diamond kwani ikumbukwe...
Huyu kaka tajiri handsome, Kwa kweli amezidisha uchepukaji, ndio nini kumchukulia dogo Asley demu wake na kumrikodi akiwa anacheza uchi? Inasemekana umetembea na Jack cliff, Lulu, Lina, Masogange...
Amefia Aga Khan Dar, kule Instagram kumewaka moto kuhusu kifo chake.
Mimi ndio namsikia leo? Ni nani katika jamii maana mpaka Mange naye anamlilia?
Kumekua na hali ya sintonfahamu kwenye mitandao...
Hapa jamvini tunawazungumzia sana wakina chibu monde, mara kiba. hadi tunawasahau akina omy dimpoz...
Ila mnikubalie hapa katikati ni kama ndege mnana Linnah sanga alikumbwa na mauza uza...
Ni wa Mike Sangu na Thea, wasanii wa Bongo movie.
Watu waliokuwa wakijifunika shuka moja, yaani mume na mke in short, wamepigana chini huku Thea akitoa Kali ya mwaka, akidai ktk maisha yake...
Ni video ambayo Watanzania walianza kuiona kwa mara ya kwanza February 7 2016 kupitia TV na mitandaoni na sasa MTV BASEambacho ni kituo kingine kikubwa cha TV Afrika kimethibitisha video hiyo...
Nae kama dada zetu wengi wanaohangaika kupata watoto, alikabiliwa na matatizo ya kushika mimba, na pia alisha fanya hata IVF, yani mayai yake na mbegu za man wake yana ingiziwa mbegu za kiume na...
Najua watu wengi kwenye mitandao ya kijamii wanamfahamu Mange kwa kuongea kwake kwingi na mamb mengi anayoyafanya kwenye mitandao hiyo.
Kwa sasa Mange amekua ni gumzo kutokana na Sauti...
Imekuwa nadra sana kwa sasa Dr Slaa na mwezi wake Josephine kuonekena hadharani, baada ya safari yake ya kwenda kuishi Canada, Dr Slaa amekuwa adimu sana hata humu jukwaani
Hapa akiwa na Josephine.
Mkubwa fella amesema anajipanga kugombea urais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mwaka 2040 atakapokua na umri wa miaka 60.
Fella kwa sasa ni diwani wa kata ya Kilungule, Halmashauri ya Mbagala...
Akizungumza katika kipindi cha 360 cha Clouds FM Ijumaa hii,
Harmonize aliulizwa kama anaweza kufanya kazi na Ali Kiba
kama ikitokea nafasi.
“Unajua Ali Kiba ni msanii wa Kitanzania, ni msanii...
]Super woman katika Afro-Pop, Judith Wambura a.k.a Lady Jaydeee au Jide katika pozi na mume wake Gardner Habash ‘Kapteini' .
Kumbe! Super woman katika Afro-Pop, Judith Wambura a.k.a Lady...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.