Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Jamani leo naomba mnisaidie kwenye hili jambo, kuna kasumba ya watu kujadili mambo mengi sana mpaka maumbile au viungo vya baadhi ya macelebrity hapa nchini. Mfano, wengi tushasikia mjadala juu...
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Umofia kwenu wana JF, Ray ameshangazwa sana na baadhi ya wasanii kama kina JB na wengine kuinua sanaa ya sinema, tofauti na alivyotegemea. Namnukuu "Thus why I'm so wonders, yaani nimeshangaa"
1 Reactions
42 Replies
8K Views
∆Tunaambiwa kilasiku tujitahidi kupunguza maadui na sio kuwaongeza, Diamond kafanya hivyo mwakahuu, na kilichonifurahisha zaidi kapatana na wale watu wote wenye mchango mkubwa kwenye...
6 Reactions
25 Replies
4K Views
Tanzania is once again paving through the way of success in the music industry through it's popular musician Diamond platnumz, Success isn't talked but seen, this can be seen crystal clear in the...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Katika wasanii wanaojiita ma wachekeshaji sio kama Stan Bakora anastahili, mbona me hata hajawahi kunichekesha. Nadhani hana kipaji ile umaarufu ni wa kutengeneza tu ukichangiwa na kick. Au...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hatari sana Davido kaelewa somo.
2 Reactions
44 Replies
6K Views
Ni muda mrefu sana sasa sijamsikia akitangaza na kwa bahati mbaya sijawahi kusikia chochote kumhusu. Je, kuna mwenye kujua alipo kwa sasa na anafanya nini?
0 Reactions
17 Replies
13K Views
This is something else ..
3 Reactions
17 Replies
4K Views
Wakuu wimbo huu ambao upo in form of demo, umeendelea kupata downloaders wengi kwenye web na blogs mbalimbali East Africa, na blogs mbalimbali za Nigeria. Wimbo huu unakwenda kwa jina la "School...
2 Reactions
124 Replies
15K Views
Hivi huyu mtu anajielewa? Huwezi ukawa msanii mwenye akili upanie kum-kiss Angelina Jolie ukipata hela, mara ukivaa kiatu mara moja hurudii, una madem 65. Huyu dogo anahitaji ushauri
1 Reactions
66 Replies
31K Views
Wakati watu leo wako bize kuthrowback ishu mbali mbali ghafla nimemkumbuka mkali wa hizi kazi,Kibra Msitu wa vina a.k.a Juma Nature. Nakumbuka mara ya kwanza namuona anachana kipindi hiko mie...
3 Reactions
30 Replies
6K Views
Nikiangalia maisha ya mastaa wa Kibongo walivyotawaliwa na unafiki, saa zingine nabaki nacheka tu. Picha linaanza. S01E01 Wema ana bifu na Jokate kisa Diamond, S01E02 Wema ana bifu na Penny...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Eti ni mgonjwa wa akili alilaaniwa na mama yake mzazi. Yaweza kua ni kweli, maana mambo anayofanya ni zaidi ya ukichaa.
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Belle 9 amedai kuwa kwenye muziki wake haamini kama collabo ni njia sahihi ya kumfikisha kimataifa zaidi. Akizungumza na Bongo5, Belle amesema wapo wasanii kadhaa walioweza kutoboa bila hata...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Muimbaji mkubwa wa Nigeria, D’Banjamemlalamikia Diamond kwa kumzungusha kufanya naye collabo. Kokomaster amesema kuwa toka walipokutana na Diamond walizungumza na kukubaliana kufanya collabo...
6 Reactions
44 Replies
6K Views
Msanii wa muziki Rehema Chalamila aka Ray C amefungua mlango kwa mwanaume yoyote anayetaka kumuoa ajitokeze ilimradi awe na vigezo 10 ambavyo ameviainisha. Kupitia ukurasa wake wa instagram Ray C...
3 Reactions
140 Replies
56K Views
Tukubaliane kwa pamoja sasa kwamba Nasibu Abdul ‘Diamond' ni habari nyingine. Weka pembeni habari ya nyota, juhudi zake binafsi zimekuwa chachu ya kumfikisha alipo sasa. Inahitaji akili kuwa...
2 Reactions
40 Replies
15K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amempigia simu msanii wa bongo fleva Diamond Platinum kumpongeza kwa kushinda tuzo ya MTV. Rais wetu ni hazina kwa taifa, tutamkumbuka sana. Chanzo...
3 Reactions
54 Replies
12K Views
Mwanamuziki Nassib Abdull (Diamond Platnumz) akipozi kwa picha na mameneja wake mara baada ya kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo. kulia ni Bw. Said Fella na kutoka...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Hakuna ubishi kwamba Davido, msanii kutoka Nigeria, anayewika na kufanya vizuri pengine kuliko msanii yeyote kwa sasa (kizazi kipya) nchini humo na Afrika kwa ujumla, ndiye msanii aliyemrahishia...
3 Reactions
146 Replies
20K Views
Back
Top Bottom