Wakuu kujeni hapa tujuzane hivi yule shemeji yetu ZARI kaishia wapi?
Maana zilipigwa swaga kibao hapa mara harusi mara ana ujauzito mara hoooo, mara heee sijui Mlimani City mara pete ya uchumba...
Msanii Waje ameeleza jinsi alivyosikitishwa baada ya p-square kuacha kumtaja ktk nyimbo ya 'do me' ambayo ilifanya vizuri afrika nzima.Aliongea hayo ktk mahojiano aliyoyafanya hivi karibuni.
Waje...
-Daaah!...ni kwa Mara nyingine tena wale manguli na mahasimu wa BONGOFLEVA nchini...yani ALIKIBA (Ali Saleh Kiba) na DIAMOND PLATNUMZ(Naseeb Abdul Juma) wamekutana kwenye TUZO ZA KIMATAIFA za...
Nimemsikiliza Faidha Ally kwenye Nirvana akijibu maswali ya nini kimepelekea kukaa uchi, nimejisikia kuogopa na kuamini shetani hana mapembe. Nimeamini Faiza ana alama zote za kishetani. Majibu...
Nimejaribu kuangalia social media za wasanii karibu wote wakubwa wa nijeria lakini hakuna hata mmoja ameshobokea hadi sasa kupost chochote wala kuomba kura kama ilivyokua kwenye nomination za Mtv...
50 Cent testifies his lifestyle is an illusion: 'I take the jewelry and cars back to the stores' By Aly Weisman9 hours ago




[*=center]
[*=center]...
wakuu yupi jembe hapa, kati ya msanii anayetoa single moja tu na kubeba tuzo 6 na yule anayetoa karibia ya single 10 within a week na kuambulia tuzo 2 tu, binafsi nasema aliyebeba tuzo sita kwa...
Nimekuwa nikifuatilia utangazaji wa Ivona Kamuntu toka akiwa Star TV, alikuwa akinikosha, ila sasa kaanza kuharibu sijui kwa kuzidiwa na sifa au ulimbukeni.
Ni kwamba dada huyu sasa anaiga sauti...
Jaman huyu dada kiukwel hajielewi maana hatakujielezea hawazi kujitetea.
Aeleza sababu za kukaa uchi
1. Wazaz wake ndio chanzo kwasababu wamemlea hivo maana baba yake hajawah kufanya ibada.
2...
Mshindi huyo wa Best Live Act kwenye MTV MAMA baada ya kurejea Tanzania, amejibu shutuma alizozitoa Jojo dhidi yake kuhusu video aliyoipost, ya mrembo huyo aliyewahi kuwa mpenzi wake akifurahia...
Ni tuzo za African entertainment awards za marekani zitakazofanyika October.
Diamond amekuwa nominated categories mbili ambazo ni
BEST MALE ARTIST
Akichuana na Wizkid, Fally ipupa...
Inasemekana kuwa kule East Africa Radio na TV Zembwela anakubalika sana kwa kuwa degree yake ya uandishi wa habari kaisomea ughaibuni.
Hivi ni nchi gani wakuu?
Aliyekuwa mume wa mwanamuziki wa Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha ameapa kwa kulamba kidole, kukichovya kwenye mchanga kisha kukipitisha shingoni kuwa, hana mpango wa kurudiana na mkewe huyo...
Huyu dada kipindi anaanza alikuwa vizuri lakini siku hizi anajifanya mjuaji mwanaharakati wakati harakati zenyewe hawezi amekuwa akifarakanisha ndoa nyingi.
Huku akiwashauri wanawake waachike...
Nimeichukua kama ilivyo kwenye page ya Voda.
Wakazi wa Moshi mko tayari kwa burudani kabambe kutoka kwa mtumbuizaji bora wa Afrika Diamond Platnumz? Ijumaa hii ndani ya Kili Home jukwanii...
"Mweusi uso usio na chunusi,natural color,chotara,mrefu,maji ya kunde kaenda hewani sekunde.
Anatema slang,Anamwaga ngeli,anabonga ung'eng'e
Yaani alivyomweleza ni kwamba huyu binti ni...
Kidogo wandugu tuchemshe bongo kwa hili ambalo limenitatiza bila kujua nini hasa shida.
Hebu chukua Mdada Mtanzania ambaye bado hajawa star,Celebrity Ktk Muziki,bongo movie ,utangazaji na hata...
Chris Brown's new $4.5 million pad in the San Fernando Valley is huge ... but it's still not big enough for all his kicks.While the 8,317 sq. ft. pad has 6 bedrooms, Breezy's converted one room...