Vijana wa Yamoto Band jumamosi iliyopita Walipiga Bonge moja la Show huko UK London katika Ukumbi wa Royal Regency na kuhudhuliwa na watu kibao wanaoishi huko, Hizi ni picha za matukio katika...
Msanii wa bongo flava Seif Shabani "Matonya" amefungua mwaka 2015 kwa aibu kubwa baada ya picha kuvuja kwenye mitandao ikimwonyesha akiwa amelewa chakari hajitambui.
Picha hiyo inasemekana...
Mara nyingi huwa tunazipata picha za wasanii wetu waimbaji wakiwa wameshika microphone wanaimba au kuchana mistari. Kutokana na wao kuona picha za marapa wengine jinsi wanavyoshika maik nao huiga...
Ni mifano mingi tumeona pindi msanii au mtu yeyote yule ambaye amefikia umri wa kuanzisha familia inapotokea amefariki bila hata ya kuacha angalau mtoto mmoja ambaye atakuwa faraja kwa familia au...
Leo kuna mtu kaniambia msome Mange kaongea kitu kizuri sana, nikampuuza ila aliponipa brief ikabidi niingie kumsoma.. Kwa kweli huyu mama uwa simkubali mpaka nakufa ila kaongea kitu cha msingi...
Gauni limeibiwa hotelini alikipwa alivae na Calvin Klein .Dah tuombe lipatikane jamani lisimtie nuksi dada wa watu .
Lupita Nyong'o's stolen Oscars dress has been returned to the scene of the...
Habari wajameni kwa mara ya kwanza kama Mtanzania niliekerwa na wabongo kufanya video nje ya nchi South Ulaya na America. Naomba mimi mfalme Simba ni direct video ya wimbo huu wa Chekecha...
Flora Mbasha afunguka mazito mpaka mengine hayawezi elezeka kuhusu mumewe Mbasha, ni hatari sana nimefikia uamuzi wa kudai talaka kutokana na kuchoshwa na vitendo vya ukatili nilivyokuwa nafanyiwa...
Naomba tupendekeze nani ktk kundi la wasanii wa kibongo anaweza kua na sifa za kuongoza nchi, ukilinganisha na namna anavyo jitoa ktk tasnia yake..
Tunaweza kumuelezea kwa vipengele kama hivi...
Mnyama ana tuhuma ya kumtumia msichana ili amuue ali kiba,amehojiwa na clouds fm akiwa kituon na kukanusha madai hayo na kusema hajui chochote na he has nothing against ali k,hawajawah kugombana...
MSANII wa filamu za Kibongo, Doreen Reguna ‘Queen Magali' amefunguka kuwa kifo cha staa wa Bongo Fleva, Moses Mshagama ‘Mez B' ni pigo kubwa sana kwake kwani marehemu alikuwa ni...
STAA wa filamu, Blandina Chagula ‘Johari' ameamua kuvunja ukimya wa muda mrefu baada ya kuweka wazi mwanaume ambaye anahitaji amuoe na sababu inayomfanya asijichanganye na mastaa wenzake...
Msanii Omary Nyembo alimaarufu kama Ommy Dimpoz amefunguka na kusema kuwa watu wa uhamiaji duniani kote huwa hawatambui umaarufu wa mtu pindi wanapogundua kuna kitu hakijaenda sawa,Ommy Dimpoz...
Diva anayekimbiza kwenye kiwanda cha filamu hapa bongo, Jackline Massawe au kwa jina maarufu la Wolper, kwa mara nyingine ameripotiwa kuangukia kwenye mikono ya pedeshee ambaye ndiye anayempa...
Mwanaume mwenye vigezo gani ungependa kuwa nae kwa sasa?
JIBU :Anaejali na kuheshimu, mwenye roho ya upendo na huruma, anaeweza ku take care of me financially.Asiechepuka hovyo (Milupo kila...