Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Msanii maarufu wa filamu nchini, lucy komba, ambaye ivi karibuni alifunga ndoa na aliyekuwa mchumba wake wa siku nyingi, ambaye ni raia wa denmark. Msanii huyo amewatupia dongo la haja wabaya wake...
2 Reactions
116 Replies
17K Views
Msanii wa nyota wa kiwanda cha filamu Bongo, Aunty Ezekiel na mbongo fleva, Kassim Mganga wamepata nafasi ya kutembelea ubalozi wa Tanzania uliopo mjini Washington Dc nchini Marekani na kupata...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Ukisikiliza sauti za hawa majamaa na wanavyoimba nani unamwona kamzidi mwenzake?
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu.. Kayika pitapita zangu instagram nikakutana na post aliyoiweka Martin Kadinda kuhusu mteja wake mpya Elizabeth michael aka Lulu. Nilishangazwa sababu maneno haya hayakutakiwa...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
PREZIDAA wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel Mbwana ‘Chaz Baba' anadaiwa nusura amtoe roho mkewe wa ndoa, Rehema Sospeter Marwa baada ya kumpiga na kitu kizito kichwani mpaka...
2 Reactions
47 Replies
11K Views
Haijajulikana kama ni stunt au ni ukweli wa moyo wake katika vipimo. Ila staa kutoka group ya wanamuziki wa Marekani wanaojitanaibaisha kuwa wana 'mtonyo' wa kufa mtu YMCMB, Lil Wayne ameujulisha...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Staa wa filamu nchini, Aunty ezekiel kwa mara nyingine ame make headline baada ya tetesi kuzagaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa staa huyo anajivinjari na staa mwenzie wa bongo fleva, kassim...
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Nimekuwa nikisoma post mbalimbali za kuwasifia wanamuziki wenye sauti nzuri kama Bella, ommy dimpoz, diamond, Ally Kiba, Blue nk. Ila niwakumbushe kuwa kiboko ya hao wote ni PAPII KOCHA ambaya kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Huu ndo muonekano wa ndani wa nyumba wa aliyekuwa manager wa msanii maarufu, Wema Sepetu aitwaye martin kadinda( picha chini), mwenyewe aniita manhattan ya Sinza. Alipost hii picha juzi kwenye...
2 Reactions
111 Replies
16K Views
MWIGIZAJI kiwango enzi hizo Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora' aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa wa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana...
0 Reactions
20 Replies
15K Views
KATIKA Gazeti la Amani Toleo Namba 829 la Septemba 11- 17, 2014, kulichapishwa habari ukurasa wa mbele iliyosomeka : "DIVA: ZITTO NI MUME WANGU. Ikikolezwa na dondoo ' Adai ni mke...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Mwanadada anayeuza nyago kwenye filamu za Kibongo, Jennifer Kyaka ' Odama ' amekanusha tuhuma ya kumficha mwandani wake na kufunguka kuwa , marafiki na familia yake wanamjua hivyo haoni...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Mchumba wa staa wa Mduara Bongo, Zuwena Mohamed ' Shishi Baby ' ,Naftari Mlawa ' Nuh Mziwanda' amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukataliwa ukweni' kwao , Tabora. Tukio hilo...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Mtangazaji wa kipindi cha ‘Boys Boys’ cha TV 1, Mwisho Mwampamba na mkewe Meryl ambaye walikutana na kuanzisha mahusiano kwenye Big Brother Africa ‘All stars’, wamefanikiwa kupata mtoto wao wa...
3 Reactions
18 Replies
9K Views
Profesa Jay amekuja na video mbili kali alizofanya na directors wa kitanzania. 1. kipi sijasikia aliyomshirikisha Diamondplatnumz Hii video ni kali japo sijaona Adam Juma akifanya jipya kwenye...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Kate Samwel likes Wema Sepetu. Yesterday at 5:00pm · Wema Sepetu Actor/Director · 159,862 Likes Ndugu wana bodi, Picha hapo juu nimecopy kama ilivyo kule facebook na kuileta kwenye jukwaa...
4 Reactions
33 Replies
4K Views
Kituo cha habari cha kimataifa cha Marekani BET international kilikuwa kikiripoti live kila hatua ya show aliyofanya Diamond weekend iliyoisha uko Uingereza, kupitua kurasa zao za social networks...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
FEDHA haina mwenyewe ! Siku chache baada ya kudaiwa kuyumba kiuchumi kiasi cha kuzidiwa jeuri na aliyekuwa shosti wake , Kajala Masanja ' K' , Beautiful Onyinye, Wema Sepetu ameibuka na...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
STAA wa filamu ya Kigodoro , Mama Abdul ' Kantangaze ' hivi karibuni alitoa kali ya mwaka baada ya kuwacharukia wezi wa nyama misibani, hasa akina mama. Mama Abdul alitoa kauli hiyo baada ya...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom