Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Wema Sepetu amwaga mijihela usiku maalum wa birthday ya Mr. Jack’s a.k.a Jack Daniel’s uliopambwa na Skylight Band Hapo Kwenye Picha Wema Alikuwa anaimbiwa Wimbo Maalumu kwa Ajili yake na Kuamua...
2 Reactions
25 Replies
8K Views
0 Reactions
104 Replies
14K Views
Mahaba niue! Baada ya penzi la staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel Grayson na dansa wa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz', Moses Iyobo ‘Moze' kushamiri kwa kasi ya umeme, wawili hao...
2 Reactions
33 Replies
7K Views
Kutokana na fitna nyingi zinazoendelezwa na aliyekuwa kiongozi wa Bongo Movie William Mtitu, pamoja na mjomba Mrisho Mpoto raisi was bongo movie ameamua kuachia madaraka, wasanii mtakula wapi...
0 Reactions
72 Replies
11K Views
Kati ya vitu ambavyo kwa msanii wa hapa bongo anavyojali most,miongoni mwao ni ku-maintain status yao ya u-superstar,na moja kati ya vitu anavyotakiwa kufanya mtu kama star ni kufanya vitu tofauti...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Baada ya kupitia kipindi kigumu cha kutumia madawa ya kulevya ' unga ' kisha kunusuriwa, super lady kwenye Bongo Fleva , Rehema Chalamila ' Ray C ' , hatimaye mambo yameanza kumnyookea...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Yuko wapi Linda, msanii wa mchezo wa luninga uitwaoTausi. Nimemkumbuka sana huyu binti nadhani sasahivi atakuwa ni mtu mzima na mrembo sana.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimeona story nyingi ni za udaku/ukuda na chache sana ni uhalisia! Je hili jukwaa ni lazima kuweka kipaumbele story feki au udaku/ukuda? Magazeti ya udaku yamechukua nafasi kubwa hapa ambapo mara...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Hawa watu wanafanya hiphop kweli hadi nafurahia wapo kote kwenye bars, lyrics nzuri and they do it for hiphop. Wadau naombeni mawazo yenu nani mkali.
0 Reactions
29 Replies
7K Views
1. Steve Jobs Inawezekana komputa za Mac na bidhaa nyinginezo kama iPhone zisingekuwepo kama Steve Jobs angebakia chuo. 2. Bill Gates Moja wa watu walioacha chuo Harvard na wamefanikiwa na ni...
1 Reactions
27 Replies
10K Views
Msanii wa bongo flava Ney wa Mitego ametoa video mpya ya wimbo wake MR NEY, katika wimbo huo kuna taswira mbalimbali ambazo zimeonekana kwa wale wenye kuingalia Music industry kwa jicho la tatu...
0 Reactions
28 Replies
17K Views
Aliruhusu vipi Davido kumfanya poyoyo tena kwenye nyimbo yake mwenyewe. Inaonyesha pia wanao mzunguka Diamond ni hawajielewi. Tanzania To Lagos, I go make you famous. Aibu sana kwa taifa. Au...
0 Reactions
53 Replies
10K Views
Mambo hadharani Baada ya kimya kirefu, staa wa Hip hop Bongo, Emmanuel Elibariki ' Nay wa Mitego ' kwa mara ya kwanza amemwanika mtoto aliyezaa na msanii wa sinema za Kibongo, Skyner Ally...
2 Reactions
60 Replies
18K Views
D.plutnumz anatarajia kutumbuiza katka uzinduz wa BBA hapo kesho pamoja na wasanii wengine kutoka Africa . Chanzo:BONGO 5
0 Reactions
51 Replies
7K Views
wengi wanasema hajui kupiga instruments na ni msanii wa kutegemea CD lakini hapa majuzi mdaku mmoja wa karibu naye alichezesha taya na mwandishi maaraufu anayekuletea habari hii iliyokamilisha...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakati akiongea katika mahojiano maalum kuhusu kutimiza miaka miwili ya kipindi chake cha Maskani kinachorushwa na 100.5 Times. Leo asubuhi akijibu maswali ya Mc Pililpili aliyekuwa mmoja wa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Lady Jay Dee, jana (August 30) kupitia Instagram alijibu kwa ufupi habari iliyoandikwa na gazeti la Risasi yenye kichwa cha habari ‘Jide, dogo dogo gumzo mjini', Jana kupitia ukurasa wake wa...
8 Reactions
57 Replies
12K Views
Ile nyimbo ya shilole na jlo au kama mwenyewe anavyomuita jeniffer ropez, ni nooma mr maatope nakuletea exlusive nyuzi maana nimebahatika kuisikiliza, nyoka wote watakaa ni soooooo stay tuned...
0 Reactions
32 Replies
7K Views
Msanii AY anatarajia kuachia nyimbo mbili za kimataifa mwezi November mwaka huu. Miongoni mwa nyimbo hizo ni pamoja na ule aliomshirikisha Sean Kingston. Akiongea na kituo cha...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
KWA YEYOTE ATAKAE TAKA KUENDELEA NA STORY HII TAFADHALI NI TEXT HAPA 0656660223 INAITWA FINAL.DECISION NAMI NITAKUTUMIA LINK YA STORY YOTE FILAMU YAKE ITATOKA HIVI KARIBUNI NA HII NI SEHEMU YA...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…