Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Hongera diamond keep it up!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
1. Makambas- mwam, kaka J 2. kanumba and all bongo movies 3. A. Mbowe- Mchumi mzuri wa Benki ya Dunia na ni binti aliyefocused 4. Lundenga 5. Cynthia M. 6. Public relations wote wanaouza sura kwa...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Hii nimeipenda, Msanii maarufu duniani,anayeendesha maisha yake kupitia muziki, JUSTIN BEIBER ameipangisha nyumba yake iliyopo los Angeles,marekani ambayo ina thamani ya dola 10.8 million(zaidi ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kila kukicha wanakuja na mapya ma undergrounds...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nashindwa kuelewa hii show ya Wema sepetu! Kipndi kipokipo tuh, alafu hao watu wa TX, I mean wanaorusha matangazo wa hapo studio wanakata kata kwa kuingiza matangazo bila hata mpngilio! Kipndi...
0 Reactions
105 Replies
18K Views
Story na Uwazi, Mwandishi Elvan Stambuli. ' Mufti wa Tanzania shehe Shaabani Simba alialikwa katika kalamu ya Sikukuu ya Idd ya Rais Jakaya Kikwete Ikulu na kumtuma msaidizi wake Naibu Mufti wa...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Kama angekua hai basi jana angekua anatimza miaka 31,ila wauza unga wakakatisha uhai wake na tukaporwa kipaji chetu bora kabisa kutokea hapa tz. Upi ni wimbo wako bora toka kwa cowizy au line...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo kwenye kipindi 'pendwa' cha mchana XXL(Clouds Fm) walikuwa wanazungumzia uwekaji wa malengo na ufanikishaji wake katika mwaka 2013 na umuhimu wake.....baada ya kuhoji watu mbalimbali ikiwemo...
0 Reactions
68 Replies
19K Views
Niskuchoshe usinchoshe mie ngoja nikupe data nzima jinsi huyu kijana anavyofanya vitu vyake ili asiishiwe umaarufu 1.Show zake ni unique kwa kutumia dancers mtu huboreki pia show pia jamaa awapo...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
(chorus) Nataka swagger za hakuna matata Kama nataka flows pia matata Nataka peace hakuna matata Kama unataka beef pia hakuna matata (verse1) Bado nachana kama nina miaka ishirini Kuna time mpaka...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwanamuziki nyota wa muziki wa kizazi kipya usiku wa kuamkia Jumatatu alionja joto ya kiwe baada ya kutekwa na kusurubiwa kisha kunyang'anywa kila kitu pamoja na gari yake. Mwanamuziki...
0 Reactions
25 Replies
9K Views
by money stunna Well we'd be cheesin' this hard too if we were worth over a billion dollars combined. FORBES just released the 5 wealthiest hip hop artists. And the usual suspects are...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Leo nimeamkia Youtube nikajikuta nimetua kwenye huu wimbo wa vichwa vitatu vya ukweli: Solo Thang, Jay Mo na Soggy Doggy (Simu Yangu) Ingawa wimbo unakaribia kufikisha miaka 10 lakini bado naona...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Lady Jay D, Prof J kupafomu na P-SQUARE Yaani zile JOTO HASIRA zikikutana na ALINGO lazima PERSONALLY utasema CHOP MY MONEY hadi YAHAYA apatikane maana tupo KAMILI GADO!!! Wale wakali wa muziki...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
keep waitn..mambo mazuri yanakuja WCB for life baby
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wakati lulu akidaiwa kwenda selo na mimba alikuwa kesha itoa, dk wa marehemu kanumba anayefanya kazi ktk hospital ya chartable.mbezi lous mtaa kwa msuguri ndiye aliyefanya kazi hiyo.ni wiki tatu...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Gumzo at 12:57 AM SHILOLE AAMBULIA MATUSI MARA MAADA YA KUANDIKA KIINGEREZA CHA UGOKO MTANDAONI... WAMWAMBIA KUWA KIINGEREZA NI WITO..!! Shilole aliamua kutandika yai kwenye Instagram...
3 Reactions
64 Replies
9K Views
Paul Matthysse ‘P-Funk’ akionesha jeraha alilolipata kichwanibaada ya kuanguka chooni. LEGEND wa kuzalisha mapigo ya muziki Bongo, Paul Matthysse ‘P-Funk’, amepata ajali ya kushangaza chooni...
0 Reactions
38 Replies
8K Views
Na Shakoor Jongo MAAJABU! Jambo zito limefichuka kuwa mastaa walio katika uhusiano wa kimapenzi, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Penniel Mwingilwa ‘Penny’ ni ndugu, AMANI limepekua na kupata...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Stori: Imelda Mtema MTANGAZAJI wa Kituo cha Televisheni cha DTV, Peniela Mwingilwa ‘Penny’, ambaye ni mpenzi wa mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amesema yupo tayari kuchangia...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…