Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

This kid is indeed a genius, hii ngoma ni among my personal favorite kwenye album yake ya zamani ya Section 80. Napenda zaidi hii verse anapokwambia: Who said a black man in the Illuminati? Last...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Ni dhahiri kuwa jina la Diamond Platnumz linazidi kukua, kutoka Tanzania hadi Afrika mashariki na sasa Afrika magharibi baada ya kufanya collabo na Davido ambayo bado haijatoka, hii yote...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Msije sema mbona jamaa hajajishughulisha kabisa kwenye msiba wa mzazi wa Wema
0 Reactions
59 Replies
9K Views
duh.. Ngoma kali mnoo.. Beat, lyrics, style ya kutapika rhymes,michano, kijana amerudi vyema.. Haya blue na wengine tufungukieni siri ya hilo NGOMA KALI. Nilijua wimbo huu utawamaliza...
1 Reactions
94 Replies
21K Views
Mwigizaji, muongozaji wa filamu na mmiliki wa kampuni wa filamu ya 5effects William Mtitu amepata bahati ya kuongeza idadi ya wanafamilia wake baada ya mke wake Jovitha Mtitu kujifungua salama...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Kwa muonekano wa macho yako yanatisha na kuogopesha watazamaji zamani nilidhani ni majungu ya watu kumbe ni kweli. Ulifaa kubaki kwenye redio na sio tv, inshort hufai kuwa kwenye tv. Mwambie...
1 Reactions
76 Replies
16K Views
Kifo cha Nyaisanga kinatukumbusha jinsi idadi ya watangazi mahiri inavyozidi kwisha na kubaki na kundi la vimeo. Watangazaji vimeo ni pamoja na,. .. Said Kilumanga, Kipanya Orest Kawau ( magic...
0 Reactions
42 Replies
10K Views
Baada ya kuwa na bifu na mmoja kati ya watu wenye ushawishi mkubwa nchini marekani Oprah winfrey,50 cent akaamua kumpa mbwa wake jina la oprah,kama hiyo aitoshi akampa paka wake jina la gayle...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mi nasema kuna waumini wamedandia hizi fani za muziki nahisi next tym clouds mpange jinsi gani ya kualika sio kila mtu anaalikwa kuimba mtaalika wahuni majuzi nikitoka kazini alishereheshwa jina...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Nimesikia kuna My number one remix ya diamond... Kaimba Yule mdogo wake akimponda. Hebu nisaidieni link nisikie kilichomo.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hemed Suleiman aka phd amefunguka kua eti yeye haringi bali ni swaga 2 na pia it seems watu wanaomdis wanamuonea wivu coz wana diploma wakati yeye anahold phd. Pia kumbe jamaa alikua anataka...
0 Reactions
39 Replies
10K Views
One of the favourite faces in Nollywood, Osita Iheme, popularly known as Pawpaw, in a recent interview cleared the air on his relationship with Goodluck Jonathan, Nigeria’s entertainment industry...
0 Reactions
2 Replies
879 Views
Mara nyingi nimekuwa nikimuona kwenye ma blog akiuza uza tu sura naomba mnijuze ni nani hasa mwenye detailz zake occupation yake kaolewa? n.k
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Salaam, leo nilikua naangalia youtube compilation ya ma celebs wanapo wa surprise mashabiki wao either kutokea nyumbani kwao au kuibuka ghafla kwenye talk shows. Nimejikuta napigwa na butwaa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
RAY C AMPA KIPIGO NORAPosted by GLOBAL on October 28, 2013 at 8:00am1 Comment 0 Likes Na Musa Mateja KATIKA hali ya kushangaza, siku chache baada ya kuripotiwa kupona na kuacha matumizi ya madawa...
1 Reactions
22 Replies
6K Views
http://nollywoodmagazine.com/2013/11/those-who-cant-afford-heineken-should-stick-to-ka-kai-mercy-johnson-hits-back-at-marketers.html
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni tanzania to lagos,skelewu vs ngololo. Diamond anatalajia kwenda Lagos week hii kuungana na Mwanmziki nguri Davido kishoot video mpya ya remix ya number one waliyoifanya Davido alipokuwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Duh kama izi tetesi ni za kweli basi kazi tunayo akina kantupeni,tetesi zilizopo chini ya kapeti ni kuwa ile promotion inayotarajiwa kufanyika kesho na kesho kutwa na kampuni ya vodacom pale...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Huu wimbo wa cheza cheza bila kukunja goti inaweza kua ndio wimbo mbovu wa mwaka kuanzia audio mpaka video haueleweki hata kidogo,hovyoooo....
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…