HIli suala limekuwa likiniumiza sana kichwa kama mdau wa burudan apa bongo,aswa hil suala la wasanii wetu kuendekeza sifa za kijinga huku wakiish nyumba za kupanga.ni juzi tu nimetoka kusikia eti...
Mtu Chee (Stamina, Young D, Country Boy) - 100!
Mtu chee! haha, Young Dar es salaam
Country Boy na Staminah! haha
[Young D]
yeah
ah sina hela, ila siwazi biashara ya karanga
ma alijua nitakuwa...
Kwenye shoo ya Mtwara mlisema anakuja Ommy Dimpoz. Hatukumuona. Kwenye shoo ya Iringa mlisema anakuja AY. Hatukumuona. Kwenye shoo ya Mwanza mlisema anakuja Diamond. Hatukumuona.
Kama ndiyo njia...
Wasanii wanaobadili sauti zao na kuongea kama watu maarufu mi wananiboa,naona kama hawapo funny,kama Steve Nyerere yaani naona kama katuni akiigiza sauti ya mwalimu,Kwenye Movie za King Majuto...
kwa kizazi hiki cha wabana pua ni ngumu kumkumbuka huyu mwanadada wa Congo lakini enzi zake alitikisa hasa, natamani mno wasanii wetu wajifunze kwa wanamuziki kama hawa japo kwa kusikiliza nyimbo...
Hali ya Msanii Banza Stone yaelezwa ni mbaya,kwa sasa yupo nyumbani kwake maeneo ya Sinza Vatican akijiuguza,wadau na wapenzi wa Msanii huyu wamsaidie apate mshauri kwani amekata tamaa,huku akiwa...
EPIQ BONGO STAR SEARCH 2013 itaonyeshwa TBC1 na sio ITV tena kama tulivyozoea
huku Chief Judge Madam Ritha akisema sababu kubwa ya kufanya hivyo ni sababu za
kibiashara(sijui zipi hizo) na pia...
Leo dada wa mkasi anatimiza miaka kadhaa. Hongera kwa kila alichotufanyia kwenye muziki wetu(enzi za planet bongo ya ukweli kabla mbana pua dulah hajaiharibu) hadi sasa kwenye mkasi.
Muungano...
Kwa wale ndugu zangu wale tuliokuwepo enzi za ujana wetu....club hizi zilivyokuwa zinavumaaa
1.fm club...pale kinondoni.....
2.club billicass....enzi zile germssion party every sunday...saa nane...
Jamana hawa watu nimetokea kuwakumbuka leo hii wapo wapi hawa watu aisee nimewamiss sana toka kipindi kile cha mambo hayo itv.....
Sent from my BlackBerry 9000 using JamiiForums
Habari wanaJF,inajulikana kuwa msanii ni kioo cha jamii,na tunaamini jamii ni rahisi kumuiga msanii au mtu flani ambaye ni maarufu,tujadiri kidogo kuhusu wasanii wa hapa ndani ya nchi yetu kama...
Mwigizaji Irene Uwoya ambae alipata tuzo ya Steps kama mwigizaji bora kike 2012/2013 amethibitisha kuacha kuigiza movie kwa sasa ili kufanya kazi ambayo ameianza hivi karibuni.
Namkariri akisema...
Nimeshangazwa Tanzania kuwa na miss asiyekijua kiswahili kwa ufasaha!anakiri kwamba kiswahili chake sio kizuri eti ata2mia muda atakaokuwepo kujifunza na kukieneza!.NB:hivi inawezekana vp taifa...
Jamaa anastahili pongezi kwa jinsi alivyobuni namna ya kuzitangaza fursa za nchi yetu kwa watu. Sijawahi kuona kitu kama hiki kinachoendeshwa sasa na Clouds FM. Yaani watu wamehamasika na kuelewa...
Lile tangazo la bibi kiroboto kwenye hakatwi mtu hapa,ile body language inaashiria nini? Naona katanua miguu halafu mikono kailekeza sehemu za siri huku anasema hakatwi mtu hapa! Kazi kwenu wateja...
Kuna taarifa kwamba mfanyabiashara maarufu wa Dar es Salaam Ajulikanaye kwa jina la Mzamir hivi sasa hana tena uume baada ya kufanyiwa unyama wa kutisha huko China. Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa...
Biashara ya muziki Tanzania imeendelea kupanuka kwa kiasi kikubwa, na wasanii wenye hits, majina, connection, bahati na sababu zingine wameendelea kuingiza fedha nyingi kutokana na muziki wao...
Kila siku na kiingereza kilekile kibovu tu. Vipi wewe? Tumechoka kusikia ''in a house,'' ''you know what it is,'' ''it is what it is'.' ptuuuuuuuuuuu.......Kama lugha haipandi kaka una ruhusa...