Staa classic wa bongo movie irene pancras uwoya, ameandika kwenye mtandao wa instagram kuwa msanii anayefanya vizuri bongo fleva,nassib abdul au diamond ndiye msanii atakayemrithi mkali wa pop...
Msanii Prezzo amefananishwa na king muswati kwa tabia yake ya kuwa na mausiono na madem wengi mfano inasemakana alikua na mausiano na gold , diva, na yule mshiriki wa BBA toka kenya jina...
anafaa kuwa mwandishi wa hadith,mistari yake mingi ni ya kiujanjaujanja mno.ila kwa kua mziki wa bongo umehama kwenye thems na contents ...funs wanashabikia mno kava la nje, bongo music is not a...
sio siri wenzetu wa west hasa Nigerian music kwa sasa ipo juu sana kwa ma-bang y akutisha..........
naomba msaada huu wimbo huwa nausikia sana mara nyingi clubs etc ila sijabahatika kuujua kapiga...
Wale ndugu zangu kutoka musoma na majirani zao bila shaka na watanzania kwa Ujumla mliopata au kuwai kuusikia, huwezi kuutofautisha wimbo wa Lady jay Dee na ule aliokopi.
Joto hasira ni kopi...
Ni kitambo kidogo tokea mwanamama huyu alipohama fani ya bongo fleva kwenda muziki wa injili na sasa kurudi tena bongo fleva,kitu ambacho sikumwelewa ni pale kwenye kipindi cha leo tena-clouds...
Wana JF tufunguke, je unaona msanii gani anakipaji cha kawaida sana lakini msaada wa promo kwenye Media Ndo Unamfanya Awe Juuu. Binafsi naona KALAPINA media ndo zinambeba
Vilio na simanzi vilitanda Jumatano iliyopita Mwananyamala Kisiwani, jijini Dar kufuatia mtoto wa mwaka mmoja, Rahim Rajab kufariki dunia kwa kuangukiwa na watu watatu, akiwemo baba yake...
wasanii wakubwa wakongwe wameendele kuonyesha hawazeeki vipaji vyao. na wale wanasema JD kakopy sikilizen na hii na mwaka huu anaconda ataendelea kuwameza wale wenye roho za kwanini, pakua hiyo...
Wiki iliyopita wapenzi Nando wa Tanzania na Selly wa Ghana waliucheza ule mchezo wa kikubwa katika Big Brother The Chaseinayoendelea, na inasemekana baada ya Ghana na Afrika kwa ujumla...
ikiwa ni siku kama nne ivi tangia wimbo unaoitwa PERSONALLY utoke na ambao ni wimbo utakao kua hit dunia nzima kwani wimbo huo umeimbwa kwa maadhi ya kiafrika kabisa hata midundo ni ya ki afrika...
Wa2 wa Dodoma wamshushia kipigo cha mawe na makopo msanii Omy Dimpozi ktk show ya Kili Music Award Tour ya mwaka huu baada ya kusadikika kuwa Omy Dimpozi baada ya kifo cha Ngwea kumponda wana Dom...
Kwa mara ya kwanza muigizaji wa filamu, Elizabeth Michael aka Lulu jana alifanya interview ya kwanza tangu atoke gerezani January mwaka huu.
Lulu aliye na muonekano wa ‘udada' zaidi...
Kwa wale mashabiki wa Lulu mnaweza kuangalia clouds tv mahojiano ya Lulu.Anazungumzia maisha yake ya sasa baada ya kimya kirefu kidogo. Ila anaongea kiswa-english inakera sana, maana kiingereza...
Young tuso aliimba nyimbo inayoitwa JACQUELINE WOLPER.Watu weng wakajiuliza maswali meng juu ya ile nyimbo. Watangazaji walipomuuliza kwanini kaimba vile ile nyimbo ya wolper, akasema anahisia za...