Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Ney akiwa anahojiwa katika TV moja hapa TZ, amesema hataweza kumsahau dem mmoja wa bongo katika mapenzi yao. Ney amesema dem wake alikua anampenda sana lakini alikua mlevi. Dem huyo katika ulevi...
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Wadau hii imekaaje kwa polisi kuacha vurugu iendelee tu eneo la tukio?
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Nimekuwa nikiuona wimbo wa mwanadada maarufu nchini Dokii, ambao kamwimbia Obama. Kama jina la wimbo lilivyo, na mashairi yake, anasema "Obama welcome Tanzania.. Obama welcome Africa&quot...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Napenda kuuliza na kupata maana sahihi na utofauti wa maana hizi hapa mbili 1.Emcee 2.Raper Na ukweli ni upi HIP HOP ina element tano(5) au nane(8) NAWASILISHA
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Madawa noma, jamaa kafa na umri wa miaka 34 tu, RIP KRIS , YOU HAVE REAL ENTERTAINED THE WORLD,,,RIP
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Closed
Aiseee kingereza za kikwete aisee........enewei hakufaa kuongea kiingereza ambacho hakijui hakukuwa na haja ya kulazimisha kuongea lugha asioiweza.......maana jana kajitahidi kajitahidi saana ila...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Actor Jim Kelly, who played a glib American martial artist in Enter the Dragon with Bruce Lee, has died. He was 67. Marilyn Dishman, Kelly's ex-wife, said he died on Saturday of cancer at his...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Hii ni nyimbo mpya ya jide,inaitwa YAHAYA,kwa kweli hii ngoma imetulia,mziki wa kijanja wenye hadhi ya kisasa,haijakaa kishari,ukikaa chumbani na kuitafakari hii nyimbo aiseeh inagusa,hongera Man...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
ni wazi kua mwisho wa shindano la big brother afrika mshindi atatoka tz kutokana na tabia anazoonesha feza na ukweli kwamba wawakilish wa kiume kua tishio hivyo nando pia ni hatare
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
kwa mujib wa ye mwenyewe kupitia makala ya gazetin kwamba alishawah kuwa teja wa kutupwa wa dawa aina ya vallium kpind yko chuo kilosa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Niki/artist wa pili mwanafunzi wa masters UDSM na mkufunzi jokate mwegilo /modal wamekuwa wakionekana pamoja mara nyingi, na jana tu walikuwa pamoja coco beach. Kiukweli hatufahamu kinachoendelea...
0 Reactions
27 Replies
7K Views
'Chocheeni kuni mbichi moto ukolee...... Unawaulizaje watu magongo ya ni nini wakati umesema kuna nyoka? Mjomba wewe uliwapaka wanja, ngoja wao wakupake pilipili, alafu kwenye kombolela iwe zamu...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu hii tabia naona sasa inaeendelea hapa bongo kwenye music, maana vijana wanapenda sana mteremko na kutoka kwa kutumia migongo ya watu, sasa huyu jamaa anajiita JAY MASWAGGER, ame copy huu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Sijasikia promo za wasanii watakaotumbuiza ujio wa obama apa tz
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mtu maarufu ungependa sana kukutana nae na neno moja ambalo ungependa kumwambia 1. Zitto kabwe 2. Diamond 3.Ben pol 4.Dr slaa 5.AY 6. FA 7.Wema sepetu 8.JB 9.bell 9 10.shaa 11.Jonh Mnyika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Au comedy imegeuka propaganda za kisiasa
0 Reactions
7 Replies
2K Views
alikua akihojiwa kuhusu wimbo wake wa Obama, akaulizwa kwanini kwenye ule wimbo hajamtaja kikwete?. akajibu kwa mishauo kwamba alimuomba ruksa kikwete, alimfuata akamwambia nina wimbo...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Mimi sikutegemea kama unaweza kucheza kiduku kiasi kile. jumapili lazima nije kwenye show uloandaa pale maisha club. Leo umenifanya nifurahi sana. big up sana mkuu. mia
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Msanii wa muziki wa kizaz kipya ambae anafanya vizur kwa sasa Diamond platnamuz, amesema kwamba yeye kama kwenda nje au kufanya shoo angekua anafanya kila siku.Diamond amesema kwamba lazima afanye...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Walikuwepo watu katika kadha na nyanja mbalimbali wakavuma sana ila leo hawasikiki tena unamkumbuka nani? Mimi namkumbuka dudubaya
0 Reactions
59 Replies
9K Views
Back
Top Bottom