Ule ushoga wa mastaa wa kike bongo,wema sepetu na kajala masanja umefikia pabaya kisa kikidaiwa ni maneno ya wapambe wa wema.hivi karibuni wema alimlalamikia wazi wazi shosti wake huyo kuwa...
Matumizi mabaya ya vipodozi yameanza kumuathiri wema Sepetu ambaye ni miss Tanzania 2006..
Wema ambaye umri wake bado haujamtupa , hivi sasa anakabiriwa na tatizo la ngozi...
Wimbo mzuri,wimbo mzuri kama huu sidhani kama hata wafu FM wanaweza kuzuia usihit,kitu kizuri lazima ikubalike tu hata kama wenye maslahi watapinga.
Huu wimbo Proffesor kaonyesha anajua,level za...
Habari zilizopo mujini ni kwamba mastaa wawili,lulu na wema sepetu,wanashiriki tendo la ndoa na bwana mmoja anaedaiwa kutumia pesa nyingi ili kuwarubuni,jamaa huyo ambaye ni kigogo wa serikalini...
Alianza ruge miaka ya 2000 bifu mpaka leo,gadner kuna kipindi amamwandikia wanaume kama mabinti usiumee moyo na siri yangu,jamaa akajirudi,credo mwaipopo,mzee kimei baada ya kumtosa alipompa dili...
Mabondia hao ni Case Ramadhani Fills, Nathanael Elia Charles, Ally Rajabu Msengwa na Petro Charles Mtagwa.
Wakati kesi hiyo ilipoanza kusikilizwa, wote walikiri makosa ya kuingiza mihadarati...
Siku kadhaa sasa zimepita na hakuna update yoyote kuhusu msiba wa msanii Langa Kileo kutoka Clouds (Vimbelembele) wala media yoyote hapa nchini!
Je, hakuwa msanii kama wakina marehemu Steven...
Kijana masanja mkandamizaji as known as Pastor to be akijituma uko ubaruku, inasemekana anazalisha 200 bags per year kwenye hii investment tu, sa soon tu huyu si mwingine kabsa, huu ni model kwa...
Dia Mwn FA natumai u
mzima,dhumuni
la barua hii ni kutaka kujua lin
utaweka waz mapato ya show
yako "the finest"uliyofanya ijumaa
ya tar 14.6.2013 na
kuwaeleza waTZ 15% ya
show ni kiasi...
Wimbo mpya wa mwanadada machachari Shah pale kwenye chourus panaposema kupenda upendwe wewe halafu anayabinua kwa nyumba masaburi yake mmh!!! Napapenda
Licha ya umaarufu mkubwa aliyonao,wingi wa filamu alizokwishashiriki pamoja na zile alizotengeneza mwenyewe,achilia mbali uwezo wa wazazi wake wanaoishi mbezi beach dar,lakini super star kiwango...
Nilikuwa nasubiria kwa hamu gazeti la leo litachapa nini kuhusu show ya lady jay dee na kaka yetu mwana fa,ni gazeti la IJUMAA WIKIENDA,ila nilichokisoma kwa kweli kimenishangaza,tena imeonyesha...
Binafsi napendezwa na UZALENDO wa ZZK katika TAIFA STARS amekuwa na morale ya aina yake katika Timu yetu!!Nakiri kupendezwa nalo,Amekuwa Mmoja wa WANAHARAKATI wa kutetea HAKIMILIKI za Wasanii...
Kwa kweli hawa jamaa wanaitaji pongezi sana kwa kufikia apa walipo,napenda programs zao,ni wabunifu sana,nilikuwa nasikilizaga apo awali(sio sasa),kuanzia power breakfast,hekaheka,xxl,na kile cha...
jamani tuiombee nchi yetu isipatwe na majanga kama haya!tudumishe amani yetu.hayo mabomu sis ni mambo tuliyokuwa tunayasikia na kuyaona kwenye sinema sasa ivi tunayashuhudia.WaNACELEBRITY...
Wakizungumza na mzee wajikoni blog wamedai kipindi walipotimuliwa na majani na kuhamia kwa jaya dee na gadner kupitia kampuni yao ya jag waliwanyonya sana kwani pamoja na album yao ya taswira...
Wadau kumekuwa na habari ambayo hadi sasa inasambazwa kwa kasi kuwa Saida Karoli alifariki jana katika ajali ya boti, lakini habari za kuaminika kutoka kwa jamaa zake pamoja na wasimamizi wa kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.