Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Duh,aiseeh kweli huyu jamaa KARUBANDIKA,anakoishi hajulikani,kazi yake kupiga mizinga tuu,ukimuona jinsi anavyovaa huwez mdhania,jamaa ana fix nyingi,anajifanya anafanya kazi usalama wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwanamuzik chipukizi Ommy Dimpozi,ameonyesha kuwa na kiwango cha juu sana cha dharau kwa kumdhihaki na kumtusi mtu aliyetangulia mbele ya haki."SITAKI NIKIFA YATOKEE KAMA YA NGWAIR,AMEKUFA AFRIKA...
0 Reactions
65 Replies
12K Views
  • Closed
namshauri mdogo wangu Sugu akuwe sasa aachane na mambo ya starehe na uuni wa kishamba afanye kazi ya jimbo....watu wa mbeya wenyewe wanamfananisha na jiwe kwa kusema"tunachagua jiwe kuliko mtu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
  • Closed
Nimekuwa nikijiuliza sababu iliyomtoa msanii na mwanahabari mwenye kipaji cha aina yake pale radio ya watu bila kupata majibu yake. Je kuna mdau anayejua au yeye mwenyewe anawezakua humu ndani atujuze
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ama kweli hii nchi haipendi maendeleo,mzee Tido alikuja kufanya mapinduzi Tbc,but wakampindua yeye hii sirikali sijui ikoje....ONA SASA LEO TUNA KOSA MECHI ZA MABALA CUP.....
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Closed
Tiketi za ile show kabambe ya 'The FINEST' ya mwanaFA bado zinapatikana kwa wingi maeneo mbalimbali ya jiji la Dar na zitaendelea kupatikana hadi mlangoni mwa ukumbi wa mahali ambapo show...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Nimefurahia show ya JIDE hapa Nyumbani Lounge, hakika ni mapinduzi makubwa JIDE akiwa na mama yake mzazi ameonyesha njia kwa wasanii wa kike kufanya kazi zao kwa bidii na kuwa na heshima. JIDE...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Ni jambo la kustaajabu na kusikitisha kwa wasanii JIDE NA MWANA FA ambapo wakati wenzao wakiomboleza na kulala kwenye msiba wa LANGA wao wanapiga show za nguvu. uko wapi utu waliouonesha kwenye...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Aisee yale taliyotabiriwa yametimia,mwana dada lady jaydee alijaza watu wengj sana hadi ukumbi ukawa mdogo mpaka mashabiki.wake wakakasirika,magari mpaka barabarani parking zilikuwa za kuvizia...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Leo ktk ukurasa wake wa Facebook Mpoki ameandika "Kufauru ufauru wewe,Msuli upige wewe,halafu JKT wakupangie wao.Majanga"...hii kauli inakuja pengine ni kutokana na tangazo la JKT kuwataka vijana...
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Ratiba ya mazishi ya marehemu LANGA KILEO itakuwa kama ifuatavyo …. Msiba upo nyumbani kwa wazazi wa LANGA ambapo ni maeneo ya MIKOCHENI nyuma ya hospitali ya AAR …. Mwili wa marehemu utaagwa siku...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na wapenzi wa burudani ya muziki wa LADY JAYDEE imewadia yaani itakuwa shangwe,vifijo na mayowe kusherekea na kumpongeza mwanadada huyu kwa kutimiza miaka...
0 Reactions
66 Replies
6K Views
  • Closed
Huyu jamaa amechangia sana kuuwa muziki wa kizazi kipya na wanamuziki kuwa masiki akisaidiana na mke wake ambaye bado hawajafanikiwa kupata mtoto. Walianzisha kampuni iliyoitwa JAG ambayo...
1 Reactions
46 Replies
11K Views
  • Closed
msanii wamuziki wa kizazi kipya hamis mwinjuma aka mwana fa amesema kuwa mapato ya show yake ya ter14 june 15% itaenda kwa familia ya marehemu ngwear Je,huko sio kutumia jina la ngwear ili kupata...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
  • Closed
Nimekua nikijiuliza kwa muda mrefu tangu niusikie wimbo wa YAHAYA wa mwanadada Lady Jay Dee nikaona kama ndo mwendelezo wa lile bifu lake na clouds FM husuani walengwa wakiwa Kusaga na Ruge...
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Habari wanajamvi, Sina uhakika, inawezekana uzi kama huu umewahi kuletwa jamvini, lakini nimependa nijuzwe kuhusu huyu Mtangazaji. Namkumbuka kipindi hicho akiwa na Masud Kipanya wakiwa...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Ameandika hivi kwenye ukurasa wake wa Facebook; "its official : catch me live on stage ijumaa hii kwenye show ya miaka 13 ya lady jay dee kwenye game...be there or be no where...ni noma!!!"
3 Reactions
64 Replies
6K Views
Nasikiliza Radio DIAMOND,anaongea kuhusu kushindwa kuwekwa katika Categories zingine amabazo yeye alidhani anastahili kuwekwa,Mfano VIDEO BORA YA MWAKA. so anadhani kama hakuwekwa huko bora...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wema isaac sepetu ambaye alikuwa pia ni former miss tanzania in 2006 alishawishiwa kuingia bongo movie na the late kanumba na kubahatika kufanya baadhi ya movie ambazo zimemtambulisha vyema kwenye...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Ile show ya Jide ambayo itatawaliwa na anaconda style sasa kimeeleweka baada ya prof J na Juma Nature kuthibitisha kwamba watamuunga mkono na kupiga nyimbo zao zote ambazo mashabiki wataomba...
2 Reactions
79 Replies
6K Views
Back
Top Bottom