Nachukua nafasi hii adimu kuwapa pongezi kwa mengi mnayofanya,hasa kwa hili la kufanikisha msiba wa ndugu yetu mpendwa A.Mangwair,Ni wazi mlijitoa na kujinyima ili jamii ipate kujua na kufuatilia...
Katika kipindi cha Sun Downer cha Magic FM, mtangazaji huyo amesema kwamba shangwe zilizolipuka mara baada ya Jaydee kutajwa kuwa miongoni mwa wanaowania tuzo ya msanii bora wa kike katika tuzo...
Mwanamziki Nguli Mwana Fa aka BINAMU, ametangaza kutoa asilimia 15 ya mapato yake kwa familia ya marehemu Ngwea. kwavile mwanamziki JIDE anapenda kuiga kila anachofanya Mwana FA, aige na hili...
Kuna huyu sijui ndio msanii au nani anaeitwa Aunt Ezekiel kwa muda wa wiki nzima sasa ameleta tafrani kwenye familia yangu.
Kilichopo ni kwamba kupitia gazeti la udaku linaloitwa IJUMAA la terehe...
Ile ya kampuni inayojiusisha na usambazaji wa movie apa bongo,STEPS ENTERTAINMENT imeandaa tuzo kwa ajili ya wasanii,ma director,script writer,best actress/actor,tuzo hizo zitahusisha filamu zote...
Katika mazingira ya kutatanisha msanii wa muziki wa kizazi kipya kwa jina maarufu matonya aliwekwa ndani ktk kituo cha polis mjini songea kwa kosa la kutofanya onyesho kamaalivyoingia mktaba na...
Wema sepetu ametemgeneza kichwa habari akidai hajawahi kumsaliti aliyekuwa mpenzi wake,nasibu abdul(DIAMOND) enzi zile walipokuwa wamezema kwenye dimbwi la mahaba."maisha yangu yote tangu nimeanza...
Kupitia kipindi cha hotmix EATV watanzania tunaombwa kumsaidia huyu mzee. Tena anasema Jk ni rafiki yake walikuwa wote UVccm(siyo hii ya sasa) kwahiyo anaomba naye amtembelee
Muda sasa umepita toka utoke ule unaoitwa Waraka Wa Jay Dee dhidi ya Clouds. Nilisikia pia ufafanuzi wa Ruge dhidi ya tuhuma zilizoelekezwa, na hivi majuzi nimebahatika kusikia ama kusoma kile...
Enzi hizo ukiwa na studio ulikuwa kama mfamle . wasanii wanakuja kurekodi kwa hela zao tena kwa apointment yako lakini ulikuwa na uwezo wa kuwafukuza kama mbwa tena na matusi juu kama sio...
Kwa takribani miaka yote,huyu dada anashikilia tuzo ya mwanamuziki bora wa kike,yaani ni noma,wadada jipangeni sana kwa jide,hyu mwanamke hatar,msipoangalia miaka yote mtashikilia tuzo za...
Kwanza nipende kumpongeza dogo kwa kukwaa tuzo za kilio lakini pia niwaombe mwenye mapenzi mwema naye wamshauri chochote kupitia ukurasa huu .itansaidia kwa njia moja au nyingine
Asiyekuwepo machoni, na Moyoni hayupo Someone who is not in sight, is not in the heart
ndugu zetu wanaanza kusaulika taritibu katika tasnia ya sanaa Tanzania hasa wa kizazi kipya, inabidi...
MAZISHI YA MANGWEA MAMBO 5 YA KUSHANGAZA
Posted by GLOBAL on June 8, 2013 at 12:30pm
View Blog
Stori:Mwandishi wetu
HUKU Albert Kenneth Mangwea ‘Ngwea' akiwa kaburini siku ya pili leo...
Hizo awards za Kilimanjaro mbona kila siku zinakuwa na malalamiko mengi kuliko shukran, je kunaweza kukawa na uteuzi wa washindi kabla ya tuzo maana hata kwenye list za washindani haziendani kabisa..
Kwa kuwataja na kuwaanika hadharani nafikiri itasaidia,kwani wengi wanafanya siri na kuja kuharibikiwa mbeleni
1.LORD EYEZ
2.DAZ BABA
3.CHID BENZ
4.Q CHIEF
5.TEMBA
6.NATURE
7.BANZA
8.DIOF...