[MPYA 2024]
FROM ISRA TO ISRA.
Sehemu ya..............01
Mtunzi: Saul David
Simu: 0756862047
Email: saulstewarty@gmail.com
UTANGULIZI...
Ulikuwa ni mchana wa jua kali, Mwanaume mmoja...
Kuna Jumong na A man called god zote ni korean, mtaalamu akiwa Song il gook, a.k.a Jumong
Jamani tuacheni maskhara, kwa upande wangu, movie/series zitakuja na kuondoka, hizi mbili ni mwisho...
Simulizi: My Family
Sehemu ya kwanza
Mtunzi: kijana Masikini
UTANGULIZI.
Wamakonde tunasema "nnume alage mmahe anyete"
Yaani "Mwanaume apambane hadi kukonda ili mwanamke anenepe"
Simulizi hii...
Episode 1: Safari ya Maisha (Safari of Life)
Nilifika mjini nikiwa na ndoto kubwa mfukoni na shilingi chache mkononi. Nilikuwa nimekimbia maisha magumu kijijini, nikiamini mjini ndio mahali penye...
Black Star 01
Mtunzi: Tariq H Haji
Mawasiliano: 0624065911
Watu waliendelea kushangilia kwa nguvu baada vishindo kadhaa kusikika. "Mshkaji hajui kupiga kidogo, anabutuwa kisawasawa" alisikika mtu...
hivi karibuni nimetokea kuupenda sana huu music. ningependa kuujua zaidi kutoka kwa wapenzi wa hizi ngoma za kina Calvin Harris, David Guetta, Tiesto, Dash Berlin etc.
ni dj gani unamkubali zaidi...
Habari ndugu zangu wapenda muziki wa dansi!
Ninatafuta wimbo wa zamani wa bendi ya dansi, uliosikika sana miaka ya 2002/2003 kwenye redio. Sikumbuki jina la wimbo wala bendi, lakini mashairi yake...
Huuu wimbo wa miaka mingi sana. miaka ile ya 90 ilikuwa maarufu sana
"Sunday eeeeh....pole sana sunday eeeeh......."
Kuna sehemu wanaimba wana sema alivaa viatu huyo mdada vinalia kooh kooh...
Kitabu hiki kinapatikana BURE ndani ya app ya Maktaba Sauti. Ipo playstore.
Somo la kwanza
Kisa cha Vimbwenelehi
Nilipokuwa bado mdogo nilipata kusikia habari za vijitu vya kutisha, vyenye...
Na: Mwalimu Makoba
Tazama nikamuita mwanangu mpendwa, naye nikamtuma aende mjini akalete vitumbua ili tupate kushtua matumbo. Nilimwelekeza aende kwa Mama Abdul, mama muungwana, mtenda haki na...
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA KWANZA
MTUNZI: EDGAR MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
TAHADHARI: Hadithi hii ya #ASALI_HAITIWI_KIDOLE inayo somwa na mtu mwenye umri wa kuanzia miaka 18 na...
Nilikuwa kwenye daladala jioni moja kutoka kwenye pirika zangu mara ndani ya gari Kuna wimbo ukawa unapigwa nakumbuka kiitikio tu " Wivu mama" ulinivutia sana ule wimbo hasa sauti ya mwimbaji na...
Mwimbaji hodari kutoka nchini Kenya Bien-Aime Baraza amesema, Wasanii wa Tanzania wangeweka nguvu na bidii kwenye muziki wa Singeli kama ambavyo waliweka bidii kwenye Amapiano, basi muziki wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.