Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

JINA LA FILAMU: Demon City 2025 Aina: Kitendo | Hofu | Sayansi-Fiksi Muhtasari wa Hadithi: Sehemu ya 1: Kuanza kwa Mkasa Mwaka ni 2025, katika jiji la kisasa linalojulikana kama Neo Babylon...
0 Reactions
0 Replies
59 Views
Yeyote mwenye filamu ya bongo (Bongo movie) iitwayo THE AVENGERS iliyochezwa na wasanii wafuatao... 1. Jennifer Kyaka - Sterling. 2. Yusuph Mlela. 3. Jackline wolper. 4. n.k Tafadhali mwenye hii...
0 Reactions
0 Replies
45 Views
Sisikii wadau mkiuongelea huu mzigo. Ni series ya zaman nahisi 2007 au 2008 lkn imenikaa kichwani since ina unyama mwingi sana, kama hujaitazama give it a shot na uje utuambie mtazamo wako kuhusu OZ.
1 Reactions
24 Replies
647 Views
https://youtu.be/mcg2S5LIRAw?si=nJ_oe-WDuw_gE84f K. Dot akitupa ladha wazee, story teller, mistari na mziki uliokuwa kwenye circle, patterns, hook 🔥🔥🔥🔥
4 Reactions
50 Replies
581 Views
  • Redirect
https://youtu.be/du8n-Ly4-rg?si=O4J4yPzmlpVqHlJ1
0 Reactions
Replies
Views
Hapa kwangu najua mwenye shida martha kamrekodi mwenzie af yeye anaongea pole pole kujifanya hana hatia uku mwenzie akibwabwaja kwa hasira hakiwa hajui kinacho endelea Alikuwa anajua anacho...
3 Reactions
86 Replies
2K Views
Hii ni picha ya TBag baada ya kupewa taarifa na Fernando sucre kwamba Brad bellick amefariki T Bag alikua alikua na moyo mgumu ila alivyopewa taarifa ghafla alipata mshangao , hakuamini...
3 Reactions
10 Replies
233 Views
HADITHI FUPI - S01E01 "KANGA" - [Rudisha Kwa Mhusika] Mtunzi. Xavery Luoga (Mkandarasi) Na. +255672493994 ___________________ Atuganile Chamse, mrembo aliyeshindana na mumewe kwa muda mrefu...
0 Reactions
0 Replies
611 Views
Habari za jioni wanajamii hatimae siku ya jana nimefanikiwa kumaliza kutizama prison break season 4 nipo tayari kwa ajili ya season 5 kwa dondoo za hapa na pale nimeona ndugu yetu michael na linc...
1 Reactions
12 Replies
249 Views
Hivi sasa ni saa 1 na dakika 38, nawasalimu wanajukwaa. Huku niliko hali ya hewa ni ya kiubaridi kidogo, anga limetandwa na kiza na nyota kadhaa zimeanza kuonekana. Narejea kwenye mada, kwa wale...
3 Reactions
18 Replies
745 Views
Wizara ya Sanaa, tamaduni na michezo. Hivi mna mawazo Gani kuenzi na kutambua mchango wa mziki wa Dansi na watunzi wake? Kwa ujumla Muziki wa zamani umechangia sana kukuza utamaduni wa kitanzania...
1 Reactions
7 Replies
326 Views
Wasaalam wakuu, Nimeona kisa kimoja Cha Analyse akizungumzia mambo ya utapeli nikakumbuka balaa ambalo limewahi kunikuta, aisee tukizungumzia matapeli sio Hawa sijui wa Mr kuku, sijui kalynda...
131 Reactions
436 Replies
74K Views
daaahhh.. huu wimbo unanikumbusha mbali sana..
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Singeli muziki wa Taifa utake usitake. Msikilize kwa makini msanii huyu aliyeenda bila ubilionea ila kazi yake itatukuka milele.
1 Reactions
7 Replies
293 Views
Tatizo ni kuwa wabongo tutamtupilia mbali kwa maana haimbi nyimbo zile "paka yangu imeloa, sijui kugonoka, gonokaa" She is a very a talented girl kiukweli. Sauti yake, idea yake ya muziki, na...
4 Reactions
3 Replies
206 Views
"In English, we say: “I miss you.” But in poetry, we say: “I trace the shape of your absence in the spaces where your laughter used to linger, and let the echoes of you fill the hollow hours.” In...
9 Reactions
23 Replies
438 Views
Story na Elton Tonny Familia, Urafiki, Mapenzi, Tamaa, Hila, Usaliti, Unyanyasaji, Uhalifu, Mauaji, Visasi, Vita, Mambo yasiyotazamiwa Rated 18+ Enjoy! ★★★★★★★★★★★★★ SEHEMU YA KWANZA...
10 Reactions
347 Replies
66K Views
Back
Top Bottom