Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Habarin ndugu zangu ...mwenye riwaya ya mkimbizi soft copy naomba anisaidie
1 Reactions
41 Replies
3K Views
Nadhani sijaeleweka!! ila ukimtoa kanumba (ME),gabo(ME),monalisa(KE) na riyama(KE) huyu ndio actor wangu wa bongo movie kwa sasa mpaka 2030....."DUNIA Anaitwa hellena aka cindy kakolanya(ke)
5 Reactions
11 Replies
527 Views
Nawakaribisha wapenzi wa Singeli,Wanazuoni wa sanaa ,watoto wa kitaa ,Ma itteligentsia wote na wataalamu wa codes. Hebu tuambieni hizi namba zinazotajwa kwenye muziki wa singeli zina maana...
1 Reactions
50 Replies
834 Views
Tupia nawewe yako ngoma kali unayoikubali ya mmakonde
4 Reactions
56 Replies
1K Views
Kitumbua cha buku sehemu ya kwanza STORY NA: Mbogo Edgar Kijana Prosper alikuwa amejilaza kwenye mkeka, askipunga upepo wa na kufaidi kimvuri cha mti wa mwembe dodo mkubwa sana, uliopo pembeni...
0 Reactions
75 Replies
55K Views
KING RASHID ( K R MULLA) MSWAHILI ALIYETUKUKA TOKA TEMEKE ASIYE NA MAJINGAMBO TOKA KITAMBO...🔥🔥🔥🔥🔥🔥 _________________ Jina langu halisi naitwa Rashid Ziada , lakini Jina langu la kisanii Naitwa...
2 Reactions
10 Replies
802 Views
Wakuu Habari za Uzima, Naombeni Mnisaidie Audio za Nyimbo hizi, Hizi Nyimbo Nilikuwa Napenda Kuzisikiliza Kabla Sijapata Hearing Loss "Usikivu Hafifu" Najua Kwasasa Nitafaidi Midundo tuu ila...
1 Reactions
1 Replies
87 Views
Kwa mara ya Kwanza toka 2009 nilipoanza kuchek series za 24 na prison break nilishamaliza kufananisha na series yeyote duniani nakumbuka mwaka 2010 nilichek pia series moja tamu Sana inatwa...
49 Reactions
160 Replies
23K Views
Listen to The Voidz - Blue Demon Blue Demon” shares its name with one of all-time greats of lucha libre. But if the song “Blue Demon” is about the wrestler Blue Demon, then the connection is...
0 Reactions
0 Replies
96 Views
Habari wakuu, Kwa members wenzagu wa 90 's n below nadhani tunaweza kumbushana baadhi ya TV series zilizotamba sana enzi hzo ambazo ikifika mida hiyo familia nzima either nyumbani au kwa kuzamia...
2 Reactions
60 Replies
11K Views
Kabla sijaanza naomba niwahakikishe kwamba hii story nimepewa ruhusa na mwandishi kupost humu. Kila siku ntakua napost na nawahakikishia story itaisha kabisa. SIN 01...
6 Reactions
498 Replies
81K Views
Mtayarishaji nguli wa muziki hapa nchini Master J amemuomba msamaha Mfalme wa Bongo Fleva, Alikiba baada ya mahojiano yake aliyoyafanya na Simulizi na Sauti huku akisema kuwa hajawahi kuwa na...
2 Reactions
6 Replies
366 Views
Rapa Darassa amekerwa na tabia ya Billnass na G Nako kumuita studio na kurekodi nae kisha nyimbo hazito, awachana kwa roho zao za kukunja.
1 Reactions
1 Replies
144 Views
Kila nikiziangalia Interviews zake baada ya Kutangazwa Mshindi ninaona ni kama vile labda Soda yake haina Gesi kabisa.
1 Reactions
27 Replies
745 Views
listen to Delulu BANKS Introduction On February 27, 2025, BANKS released her latest single, "Delulu," a track that delves into the complexities of unrequited love and the lengths one might go to...
0 Reactions
0 Replies
73 Views
Wana jamvi leo nimeona japo turevew miaka hii ya nyuma vipindi vya television enzi zile 1994 kuibukia miaka ya 2000. Binafsi nakumbuka mbali sana hasa vipindi vya television ITV mfano Egoli place...
56 Reactions
1K Replies
240K Views
Kool & the Gang : "Let's Go Dancin' (Ooh La La La)" Mimi niusikia kwa Mara ya kwanza Morogoro mwaka 1982/83 kwenye Bilibi Disco ambayo nadhani ilikuwa pia inamilikwa na Joseph Kusaga. Ulikuwa...
11 Reactions
109 Replies
2K Views
Kuna tetesi nzito mitandaoni kuhusu ukaribu wa msanii Harmonize na Abby Chams. Watu wanajiuliza, je, hii ni collabo ya kimuziki au kuna kitu zaidi? Baada ya Harmonize kuonekana akimposti Abby...
1 Reactions
50 Replies
960 Views
Bilionea ambaye ni mgonjwa mahututi anafanyiwa upasuaji mkali wa kuhamishia fahamu zake kwenye mwili wa kijana mwenye afya njema. Walakini, hivi karibuni anagundua kuwa mwili wake mpya unakuja na...
6 Reactions
10 Replies
198 Views
Back
Top Bottom