Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Huwa inanikumbusha mbali sana, kipindi twaandika mwaka katikati kuna double zero. Na cha ajabu sikua namjua msanii na bahati mbaya kumbe alisha fariki. This is not a beat this is memory.
3 Reactions
3 Replies
253 Views
Wakuu Mtangazaji na mtu wa karibu na Diamond Platnumz, Baba Levo amesema Mbosso amepata baraka zote sasa ni ruksa kuondoka WCB Wasafi na hatolipa gharama yoyote kama ilivyokuwa kwa Harmonize...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
WCB moja ya lebo zilizofanya vizuri na wanaendelea kufanya vizuri kwenye kiwanda cha muziki Tanzania na hata nje ya mipaka. Ila hapa kati ni kama lebo ilianza kudorola haswa baada ya kuondoka...
7 Reactions
23 Replies
927 Views
The Lumineers You're All I Got Mp3 Download American alt-folk band The Lumineers, consisting of Wesley Schultz (vocals/guitar) and Jeremiah Fraites (drums), released two new songs “You're All I...
0 Reactions
0 Replies
93 Views
Tupe maneno mawili matatu kuhusiana na movie hii.
5 Reactions
12 Replies
337 Views
Kuna channel mpya imeanza na tayari iko digital, inaitwa Sibuka TV. Kuna anayejua ni ya nani, au ndio ule utabiri ulioletwa humu kuwa mmoja wa mafisadi papa naye anaingia ulingoni kwenye media?
0 Reactions
20 Replies
14K Views
inaitwa hurry up tomorrow kuanzia hii wake me up na Sao Paulo kamshirikisha bidada kutoka Brazil anaitwa Anita Album kalii sana.
1 Reactions
9 Replies
315 Views
Kuna maeneo Kilimanjaro kuna Live Band nzuri. Kwa wasiopenda kukaa na Stress nendeni kufurahia maisha. Wewe unapenda kwenda maeneo yapi kuenjoy?
8 Reactions
24 Replies
380 Views
SURA YA KWANZA: Ray Shaba alikuwa kwenye kikao ambacho mjumbe wake alikuwa ni yeye peke yake. Mikono yake ikiendelea kurusha ngumi kwenye begi la mchanga lililokuwa linaning’inia kwenye...
13 Reactions
155 Replies
38K Views
ZUWENA (Chaguo la wazazi) SEHEMU YA: 01 MTUNZI: KHADIJA MWALAMI WHATSAPP: 0676604830 KAWAIDA: 0783642467 ANZA NAYO........ SIMULIZI HII NI SH.1000 tu NICHEKI WHATSAPP KAMA UTAITAJI...
4 Reactions
7 Replies
737 Views
Siku zote changamoto ndio zinatufanya nini tuamue kwenye maisha yetu, kwenye maamuzi hayo tunatakiwa tuwe na umakini wa kutoathiri hisia za wengine. Binadamu tunakosea mno kuishi kwa kukariri...
3 Reactions
78 Replies
1K Views
SIMULIZI HII NI YA KUTUNGA HAIUSIANI NA MTU YOYOTE WALA KIKUNDI CHOCHOTE , MAENEO , OFISI NA MAJINA YALIONDANI YA HII SIMULIZI NI YA KUBUNI ENJOY SURA YA 01 Ilikuwa ni siku iliokuwa...
3 Reactions
77 Replies
21K Views
Achana na trailer, synopsis ama kitu chochote. Tafuta means ya kustream hii kitu ama kudownload kupitia torrents. Utakuja kukubali.
0 Reactions
2 Replies
155 Views
Bwana! Bwana! One time nilipokua in my early 20’s nilipitia changamoto moja hivi ya kikubwa, nilikua nimepanga chumba kimoja maeneo flan ivi Arusha mtaa mmoja ivi nyumba zimepangiliwa vizuri na...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
TENJEE na ZINGOTA (Sehemu ya 1) MSITUNI KWA ZINGOTA** Jengo la lililochakaa katikati ya msitu wa kale uliokauka. Kulikuwa na wanawake wawili katika jengo hilo, mmoja ni binti mdogo na...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari, maelekezo hapo juu yanajieleza vyema. Wawezaipata app store.
0 Reactions
2 Replies
159 Views
I died to save my president Mtunzi Patrick Ck Simu 0764294499 Season 1 Sehemu 1 Shughuli zote zilizopangwa kufanyika katika kikao cha bunge zilikamilika na kabla ya kusitisha shughuli za...
16 Reactions
1K Replies
238K Views
😶‍🌫️ - hii inapiga chabo kwa dirisha 😩 - Iko kwenye sexy vile inaona raha 🏃 - imetoka fumaniwa na mke/mume wa mtu 😂 - inachekea salio jipya kwa m-pesa 😭 - inalia vile inamdanganya mtu kwenye...
1 Reactions
0 Replies
181 Views
Spider man: Homecoming >>>> Baada ya matukio ya kwenye Captain America: Civil War, Peter Parker anajaribu kubalance maisha yake ya shule kama mtu wa kawaida na maisha yake ya kupambana na viumbe...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Katika Maisha, kila mmoja anakuwa na ndoto kubwa yenye kumpa furaha Maishani mwake,hata wewe una ndoto ambayo siku moja ikitimia utakuwa ni mwenye kufurahi sana.Hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa Robson...
6 Reactions
32 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…