Hio video sio ya kukosa kuitazama wakina mama wamefurahi na me nimeipenda mitikasi Yao sichoki kui repeat..kwa nyuma naona banc ABC kwenye bango sa sijui walikuwa kitchen party au kwenye uzinduzi...
Binti Christina ni afisa wa Benki
bibi Ganush nyumba yake inatakiwa kuuzwa ameshindwa kulipa mkopo na ameshaongezwa muda mara mbili, Chritine ana uwezo wa kumuongeza muda bibi lakini hii ni...
Salaam wana Jamvi!
Kuna speculations nyingi sasa kwamba, yapo mahusiano makubwa kati ya LOGO ya Big Brother Africa (BBA) na alama za Illuminati. Je kuna ukweli wowote katika hili?
Ni nani...
chama la wana simba ni kiiiibokooooo siiimba ni nooma eeheeeee siiimba siiiimba aaaah aweweweeee walete waleteeeeeeeee
Niki report toka kurasini bandarini ni mimi Nzagamba dume a.k.a MZEE TOZI...
Wadjda Binti wa miaka 10 anatamani sana baiskeli, wadjda hawezi kununuliwa baiskeli kwa vile jamii yake inakataza mwanamke kuendesha baiskeli, anaamua kujifua na kuingia kwenye mashindano ya...
Justin Bieber amepewa jina jipya 'Prince of Pop' baada ya muziki wake kupata wasikilizaji Milioni 83.3 ndani ya mwezi mmoja katika mtandao wa Spotify na kuweka rekodi mpya ya msanii aliyesikilizwa...
Habari wana jamvi...kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikitafuta full performance ya clip ya huu wimbo au hata original song lakini hadi sasa sijapata...naomba msaada niweze kufanikisha...I love the song
Naanza kuona haya mashindano ya Kili marathon kama yanaelekea kubaya sasa na sio tena base ya mataifa makubwa katika ukimbiaji kuja kupima wakimbiaji wake. Leo nmeona kitukokwa mmoja wa wakimbiaji...
UTANGULIZI
Hadithi hii ilipigwa chapa kwa lugha ya Kiingereza katika mwaka 1885. Katika mwaka 1905 Bwana H. Rider Haggard aliandika maneno haya: 'Sasa katika mwaka 1905 naweza kuzidisha maneno...
Kama wewe ni mpenzi wa animation basi hii series ya Marvel ya What If si yakukosa episode ya kwanza mambo yanabadilika Kwenye mashine ya kutengenezea superpower badala aingie steve anaingia agent...
Jamani natafuta huu wimbo muda mrefu Bila mafanikio sijui jina lake staili ya uimbaji ni kama ya magic system au papa Wemba ile nyimbo kama sio mkongo aliyeimba Basi ni watu kutokana West Africa...
Jamaa nilimkubali kwenye ile Filamu ya train to bunsan Lakini nilikumbali kwenye out of laws 2017 Alivyocheza kama Polisi asiyeogopa chochote huyu mwamba anakono zito mzee kofi Alimpiga muuni...
Movie inaaction za kutosha wale wapenzi wa action Muje Huku kuna watalaam wakina Iko uwaisi Andre Koji Yule Alicheza character ya bruce lee kwenye series ya warrior Ah sahm na wengineo
Story...
Habari nyote
Ninaomba kufahamishwa uzi makini unaojadili tabia za wanyama na maumbile ya dunia na vilivyomo hapa JF. Mimi ninapenda hizi mambo. Hunitoi National Geographic TV, Discovery...
Movies zao karibia zote lazima ziwe na characters ambao ni gays. Nlikuwa nangalia Bridgerton, nmeangalia mpk episode ya 3 sijaona scenes zenye hyo mambo mpk nkajisemea wamejtahidi kweli 😂
Hee...
Wanajamvi Habari,unaweza usiungane na mimi ila ukweli utabaki kua ukweni,nia,lengo,utekelezaji na manufaa/faida ya shughuli ya Young Africans SC "Yanga" kuanzia kwenye wiki ya wananchi mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.