Kuna wasanii hawamo Wikipedia sasa nashangaa sijui wamepungukiwa nini, mtu kama soggy doggy, D.knob siwaoni au ninyi ndugu mnawaona?
Ebu waambieni wafanye hivyo, Hivi madogo wa baada ya miaka 50...
Habar Wana Jf
Kama kichwa Cha Habari kinavyo jieleza apo Juu.[emoji115]
Comment jina la Movie Yoyote Ambayo unaisubiria Sana Season Au Episode Yake Inayofwata.
Ili Tufamishane Aina za Move...
Mate..
I'm giving you the list of some action movie..HardCore movies.
Watch them..Enjoy.
...Not Sci-Fi Movies or other Genre..
Naamza na hii familia ya Pitt na Jolie
Nataja baadhi of course Kenny Rogers lazima awe hapo.
kuna Kina Luke Bryan, Brett Young, Jack owen, Blake Shelton, Doly parton... etc
Hebu dondosha ngoma hapo
Brett Young ...Incase you didn’t...
riwaya: MUUAJI ALIYEBAKIA
Mtunzi: RAYMOND MWALONGO
Sehemu ya 1
Ilikuwa Ijumaa ya tarehe kumi mwezi
Desemba ambayo hali yake ya hewa ilikuwa
tulivu kabisa. Nyakati hizo za...
Habarini wadau. Naomba kujua jina la hii movie.star wa ile picha anaitwa jonathan gabot(sina uhakika na spelling),ni picha flan ya kifalme ambapo jamaa wanapewa mitihani mingi halaf mshindi...
Wakuu huu uzi nimefungua special kwa watu wenye ulevi wa kucheza video games. ESPECIALLY PS4 FIFA 21 AND XBOX ONE.
Hizo hapo chini ni skills moves kutona na nyota za mchezaji sio kila mchezaji...
TEARS OF THE SOUL (MACHOZI YA ROHONI)- 1
Mtunzi: Aziz Hashim (Hash Power)
NB: UNAWEZA KUIPATA SIMULIZI HII TAMU KUANZIA MWANZO
MPAKA MWISHO KWA MFUMO WA e-Book (PDF)
UTAKAYOISOMA KWENYE SIMU...
Album ya Rayvanny "Sound from Africa" uchambuzi, ratings!!, cons and pros, Karibu.
Raymond Shabani Mwakyusa a.k.a Rayvanny kaachia album yake ya kwanza toka anze Carrier yake ya muziki miaka...
Habari ndiyo hiyo, stori iliyoanzia humu ya bwana LwandaMagere rasmi imeanza kusikika leo Radio Free Africa, RFA na ameianzia mwanzo kabisa toka wako Tarime ambapo housegirl Ashura alifanya...
Habari za muda huu!!
Natumaini tunaendelea kuchukua taadhari na kujifukiza ili kupambana na corona,kwenye ile mitano tena ndo kwanzaaaa tunaanza na tayari kuna dalili ikawa 20 tena😂😂😂...
TAIFA LA MOYO WA SHETANI.
NA..............HEMED MAYUGU.
NO................(01).
WHATSAPP.......0755577488.
SHARE NYINGI NDIYO FURSA YA KUIFURAHIA KILA
SIKU.
NAOMBA KU-SHARE KWA WINGI.
Ilikuwa...
Sitakuomba radhi na nitangaze rasmi kuhusu kile ambacho naenda kunena kuhusu wewe. Nikikosea na ndio kawaida ya binadamu mimi ni mwanadamu lazima nikosee na mimi siyo wa kwanza watangulizi wetu...
Ilikuwa ni wiki tuu mimi na familia yetu tukiwa tumeamia katika makazi mapya kwakua sikua na rafiki wa kuongea nae basi nilipenda kwenda kukaa mbele ya nyumba yetu kwani kulikua na mti wenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.