Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Sehemu ya 1 Vishawishi tumeumbiwa binadamu ingawa vingine yatupasa kujitahidi kuepukana nanyo, maana binadamu tumepewa akili tukitofautisha na viumbe hai vingine. Ilikuwa ni siku ya ijumaa...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Tangu afariki Marehemu Kanumba industry ya filamu imeshuka Sana lakini Leo hii nimebahatika kuona filamu ya Lulu Michael au Elizabeth Michael kupitia YouTube. Movie hiyo inaitwa "Ni noma" Ni kazi...
6 Reactions
30 Replies
5K Views
Nimekuwa mfuatiliaji wa tamthilia nyingi zinazorushwa na Azam two. Nawapongeza sana. Kwa sasa pamoja na nyinginezo tamthilia iliyopo ni Kara Sevda. Sielewi mapenzi ya kituruki kwa mwanamke wa...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Pitia Reseach hii ili kuboresha muziki wako, imeletwa kwenu na Don Nalimison kwa maslahi ya Wanamuziki wa Tanzania.(PDF) ya chini. I real Congrats CATHERINE KUTEESA from UGANDA for her...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
“KIJIJI CHA LUPASO, KWA NINI UMENILIZA?” Lupaso Lupaso, wilaya ya Masasi. Kijiji mkorosho, jimbo la Nanyumbu. Kwako kuna korosho, zao la biashara. Wamakonde wamekupenda, makazi kuyaweka...
10 Reactions
37 Replies
5K Views
Mfano, Cosmas Chidule aliimba nyimbo nzuri kuhusu makao makuu Dodoma, lakini aliiharibu kwa kuitaja CCM kwakuwa wakati anaitunga nchi ilikuwa ya chama kimoja. Ziko nyimbo za furaha, huzuni na...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari. Kuna mtu aliyeangalia series ya New Amsterdam? Ninaomba maoni, je ni nzuri? Nataka kudownload hapa nahofia nisije nikapoteza MB zangu.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salama wakuu! Ipo hivi najua kila mtu ashasikiliza ile album yake sasa mle naona kama kuna nyimbo nyingi nyingi kachukua beat mfano wimbo wa "body" harmonize ft burna boy, kachukua beat na neno...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Wadau wa nyimbo za injili kuna wimbo mmoja Isaack Ndodi anapenda kuutumia katika kipindi chake kinachotangazwa na RFA kila siku saa 4 usiku. Moja ya mistari ya wimbo huo unasema HAKIKA NATEMBEA...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
"Vision yetu ilikuwa ni kuhakikisha Clouds Fm usikivu wake unasikika pakubwa nchi nzima la pili kuhakikisha East Africa tunaipiga tumeashaanza kupata leseni tulipata tatizo moja tu Kenya kuna...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Tujikumbushe muvu za zamani kidogo mie naanza na hii kitu
2 Reactions
18 Replies
3K Views
12,000 years ago before the first episode was shot, a group of children lived in Westeros. They were called Children of the forest. After a while, some folks came and invaded their space. They...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Hivi kuna kiumbe kwa karne hii anafanya pop music. Na anauwezo wa kuimba kumzidi huyu Ed Sheeran? Nasikiliza hapa Thinking out Loud🙌
7 Reactions
29 Replies
4K Views
Akiwa na miaka 10 kwa industry Rapper drake aka drizzy siku ya jana aliweza kuvunja na kuweka rekodi yake mpya kwenye charts kubwa duniani za billboard. Billboard ilimtangaza drake kuvunja rekodi...
0 Reactions
0 Replies
840 Views
Wapo wenye mtazamo kuwa bifu hutengenezwa ili kuleta ushindani katika soko la burudani Kama vile movie au muziki kwa mfano Alikiba Vs Diamond. Je, unahisi ni kweli?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Haya makundi mawili ya waigizaji yamejizolea umaarufu sana kwa kutengeneza filamu kali zinazobamba saaana. EXPENDABLE = hii series ya movies imesheheni Waigizaji wakongwe na waliotamba saana...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Joto la uchaguzi limeanza, wanasiasa wanapishana huku na kule wakitafuta njia za kuweza kuendelea kushiriki kwa namna moja au nyingine katika ngazi mbalimbali za uongozi wa kisiasa. Wanamuziki...
0 Reactions
0 Replies
944 Views
EMERGENCY SALVATION He was a play boy, professional womanizer, When it came to women, he was no miser, He loved to party He carried them all, Tall, slim, even fatty One day, he decided to settle...
0 Reactions
2 Replies
453 Views
Habarini wakuu....Mtu ukikikumbuka kitu basi nakuwa kama nnaarosto nacho hivi.Iyo movie Nimeisahau jina ila nakumbuka storyline kwa uchache...Nahisi star ni Ramsey Noah, Ramsey (kama ndiye)...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Ujio wa hii channel mpya ya upendo TV kwakweli nimeufurahia, zinapigwa nyimbo za injili muda wote. Kwa sisi wapenda nyimbo za injili hili ni la kupongezwa Pia jamaa wanapiga nyimbo zote bila...
4 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom