Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Nimekuwa namsikia bw.Steve Nyerere kuwa ni Msanii.Naomba kujua ni msanii wa nini?Kama ni wa Muziki ni nyimbo zipi ametunga? Kama ni Movies je ni movies zipi ameshiriki? Maana ukisikia wasanii...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna wimbo mmoja wa zamani kidogo najaribu kuvuta kumbukumbu ya jina lake bila mafanikio. Ila bahati nzuri ninakumbuka baadhi ya mashairi yake (nadhani unamuhusu kinyonga ama chura-not sure)...
2 Reactions
11 Replies
6K Views
naomba kuuliza hii channel ipo au mpaka wakati wa fiesta mbona bado tunakatwa 3000 lakini haionekani
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Harmonize - Never Give Up (Official Music Video)
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Harmonize yuko vizuri, ila kwenye hii nyimbo yake amekosea sana kuweka hilo tangazo alafu mtu anae tangaza hajui matumizi ya "L" na "R" anasema inshualensi. Yote kwa yote nyimbo ipo poa. Never...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu kwa wale wanaomfahamu mwanamuziki Alikiba Hebu taja wimbo mmoja MZURI kuliko zote alizoimba Na wimbo mmoja MBAYA kuliko zote alizoimba Naanza mimi NZURI: RUN DUNIA MBAYA: HELA twende...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
wakuu kwa wale wanamfahamu msanii diamond platnumz Hebu taja ngoma yake moja kali kuliko zote na moja mbaya kuliko zote alizoimba . Mimi naanza MBAYA: IYENA NZURI: UKIMUONA
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Me sio muhenga sana ila naukibali sana muziki wa zamani wa dansi, kwanza hauna makelele sauti zinasikika, vyombo vinasikika na ujumbe upo Wangapi wanakumbuka bendi kama Kilwa Jazz, Dar Jazz...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu,ingawa mimi bado kijana mdogo tu nimekuwa nikivutiwa na muziki wa dansi ule wa zamani uliokuwa ukiporomoshwa na bendi kama Mlimani park, OSS, Juwata,Marquis,Matimila, Bima, Tuncut nk...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
kazi inaanza lini au mnapata chaneli za bure huko madishini kwenu
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Dogo ana kipaji cha hali ya juu sana cha kuchekesha. Anafanya classic comedy. Akiendelea kuongeza bidii atafika mbali sana. Tanzania tuna vipaji vingi sana. Big up sana Jaymond unafanya kazi...
2 Reactions
38 Replies
4K Views
Somo tajwa lahusika Unachotakiwa kufanya ni kuisikiliza tu Jumapili njema
0 Reactions
6 Replies
2K Views
CHAUSIKU (1) Ni binti mrembo Chausiku akiwa anavua nguo zake kwenye shamba kubwa la Ndizi pembezoni mwa ziwa Victoria ni ngumu kujua alikua anafanya nini hivyo kwa dhumuni gani labda joto la...
0 Reactions
13 Replies
10K Views
Wadau habari,nisiwachoshe sana,najua kila mpenda michezo haswa ligi yetu pendwa ya mpira wa miguu (Tpl) anayo taarifa ya wachezaji wa Simba a.k.a Omba Omba FC/wazee wa hamsa[emoji112] kupewa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wa Lugha yoyote iwe kiingereza Kiswahili Kiarabu Kireno etc wimbo wa mapenzi ya dhati nataka kumuimbia shemeji yenu. Hizi za kidunia hazina upako na wimbo mmoja tu '' wimbo uliobora nimeshauzoeap'.
0 Reactions
1 Replies
945 Views
0 Reactions
1 Replies
879 Views
Wadau heri ya mwezi mtukufu. Moja kwa moja kwenye mada. Katika pitapita zangu kwenye mitandao account mbalimbali nikagundua kwamba kuna watu kipawa cha kuchekesha wameparamia yaani hawana...
0 Reactions
62 Replies
8K Views
K2ga - Mwezi Mwema (Official Music Video)
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom