Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Habar za kutwa ndugu zangu... Nilikuwa Naomba kufahamishwa namna au sehemu ambayo naweza kupakua (download) bongo movie... Kwa yyte anaejua Naomba anielekeze
1 Reactions
0 Replies
982 Views
Nuh Mziwanda - Sandakalawe (Official Music Video)
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi wadau kuna watu huwa wanachekaga wakitazama hii show. Maana mimi siielewagi kabisa.
1 Reactions
33 Replies
4K Views
Childish Gambino ameweka historia katika tuzo ya Grammy kwa kushinda nyimbo bora, na rekodi bora ya mwaka kwa kibao chake This Is America. Ni mara ya kwanza wimbo wa mtindo wa rap umeshinda...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu Poleni na Majukumu, Ningependa Kujua Lile Tamasha Kubwa Linalofanyika Katika Fukwe ya Kendwa Huko Visiwani Zanzibar Kwa Mwaka Huu Litafanyika Wakati Upi Nikamate Fursa? Tafadhali Mwenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
BREAKING NEWS[emoji95][emoji95] SOMA SIMULIZI TAMU KUTOKA https://storikka.blogspot.com/ ZINA SISIMUA NA KUFURAISHA XXX | NAKUPENDA Siku moja nilirudi home nikiwa nimechoka sana katika biashara...
0 Reactions
0 Replies
894 Views
0 Reactions
0 Replies
749 Views
Wajameni wafuatiliaji wa hii series tumefika season 3 episode ya 15, Vipi tunadhani Sunny,Bajie,Widow wataweza kumpiga Pilgrim na jeshi lake?,,,alafu kama hii itakuwa season ya mwisho hivi!
1 Reactions
35 Replies
6K Views
KINA PWAGU NA PWAGUZI Marehemu Ali Keto
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Songanayo) alikuwa ni binti mmoja aliejinyakuria sifa kemkemu mitaan kuwa ye nimzul binti huyo aliitwa fatma aliishi kwa shangazi ake toka wazazi wake wafarki dunia fatma hakuwa na ndugu mwingine...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika hii nyimbo mpya inaitwa i don't care ya Ed Sheeran na Justin Bieber nani ameimba vizuri kumshinda mwenzie. Mimi naona Ed ameimba vizuri sana. Kwanza justin tokea ameoa hata kuimba amesahau...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii Ni Riwaya Iliyoandikwa Miaka Ya 1898 Na Mwandishi Morgan Robertson Aliyekua Mtoto Wa Nahodha Wa Meli (Captain). Masimulizi Ndani Ya Riwaya Hii Yanahusu Wasafiri Wanaotumia Meli Kama Chombo Cha...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
All-English Finals!
0 Reactions
1 Replies
633 Views
natafuta watu wenye kipaji cha kuigiza na kauzoefu karibu tufanye kitu kizuri kwenye sanaaa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Polen na mihangaiko ndugu zangun Niende moja kwa moja kweny maada husika nlikuwa najarb kuwaza ivi ni nani anaweza kuwa mchezaj bora msimu huu wa 2018/2019 katka TPL ? na ukiangalia ligi inaelekea...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hawa jamaa sijui habar zao hua wanatoa source wap yani huchambua habar za michezo kishabiki badala ya ukwel.... Mfano leo nimejikuta nackiliza kipind cha hili game, shafi dauda anasema game za...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
*John Sanga alikuwa na mwanafunzi Mchoraji, Siku mwoja alichora Noti ya shilingi elfu kumi kwenye sakafu, Mwalimu alipo ingia Darasani ghafla akajikwaa na kupasuka pua .... Wakati alipo kuwa...
7 Reactions
9 Replies
2K Views
Rock Me Tonight Freddie Jackson Oh, ho, ah, Come on and rock me, ooh, girl Oh, ooh, oh, ooh, ooh, oh, Come on and rock me, ooh, girl Hey, girl, long time no see Do you have a little time to...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakati ni desturi yake kwenda mbio.Methali ya Kiswahili inasema"wakati ni upepo" haumngojei mtu. Huu ni ukumbusho wangu tunza wakati nao ukutunze.
0 Reactions
1 Replies
773 Views
*JOHN MZEE WA KULENGA* *Sehemu ya 01* John alitulia chumbani kwake, alijilaza kitandani huku macho yake yakiangalia juu. Kichwa chake kilivurugika, kulikuwa na mambo lukuki ambayo yalikuwa...
6 Reactions
58 Replies
33K Views
Back
Top Bottom