Habar za kutwa ndugu zangu...
Nilikuwa Naomba kufahamishwa namna au sehemu ambayo naweza kupakua (download) bongo movie... Kwa yyte anaejua Naomba anielekeze
Childish Gambino ameweka historia katika tuzo ya Grammy kwa kushinda nyimbo bora, na rekodi bora ya mwaka kwa kibao chake This Is America.
Ni mara ya kwanza wimbo wa mtindo wa rap umeshinda...
Wakuu Poleni na Majukumu,
Ningependa Kujua Lile Tamasha Kubwa Linalofanyika Katika Fukwe ya Kendwa Huko Visiwani Zanzibar Kwa Mwaka Huu Litafanyika Wakati Upi Nikamate Fursa?
Tafadhali Mwenye...
BREAKING NEWS[emoji95][emoji95]
SOMA SIMULIZI TAMU
KUTOKA https://storikka.blogspot.com/
ZINA SISIMUA NA KUFURAISHA
XXX | NAKUPENDA
Siku moja nilirudi home nikiwa nimechoka sana katika biashara...
Wajameni wafuatiliaji wa hii series tumefika season 3 episode ya 15, Vipi tunadhani Sunny,Bajie,Widow wataweza kumpiga Pilgrim na jeshi lake?,,,alafu kama hii itakuwa season ya mwisho hivi!
Songanayo) alikuwa ni binti mmoja aliejinyakuria sifa kemkemu mitaan kuwa ye nimzul binti huyo aliitwa fatma aliishi kwa shangazi ake toka wazazi wake wafarki dunia fatma hakuwa na ndugu mwingine...
Katika hii nyimbo mpya inaitwa i don't care ya Ed Sheeran na Justin Bieber nani ameimba vizuri kumshinda mwenzie. Mimi naona Ed ameimba vizuri sana. Kwanza justin tokea ameoa hata kuimba amesahau...
Hii Ni Riwaya Iliyoandikwa Miaka Ya 1898 Na Mwandishi Morgan Robertson Aliyekua Mtoto Wa Nahodha Wa Meli (Captain). Masimulizi Ndani Ya Riwaya Hii Yanahusu Wasafiri Wanaotumia Meli Kama Chombo Cha...
Polen na mihangaiko ndugu zangun
Niende moja kwa moja kweny maada husika nlikuwa najarb kuwaza ivi ni nani anaweza kuwa mchezaj bora msimu huu wa 2018/2019 katka TPL ? na ukiangalia ligi inaelekea...
Hawa jamaa sijui habar zao hua wanatoa source wap yani huchambua habar za michezo kishabiki badala ya ukwel....
Mfano leo nimejikuta nackiliza kipind cha hili game, shafi dauda anasema game za...
*John Sanga alikuwa na mwanafunzi Mchoraji, Siku mwoja alichora Noti ya shilingi elfu kumi kwenye sakafu, Mwalimu alipo ingia Darasani ghafla akajikwaa na kupasuka pua .... Wakati alipo kuwa...
Rock Me Tonight
Freddie Jackson
Oh, ho, ah,
Come on and rock me, ooh, girl
Oh, ooh, oh, ooh, ooh, oh,
Come on and rock me, ooh, girl
Hey, girl, long time no see
Do you have a little time to...
*JOHN MZEE WA KULENGA*
*Sehemu ya 01*
John alitulia chumbani kwake, alijilaza kitandani huku macho yake yakiangalia juu. Kichwa chake kilivurugika, kulikuwa na mambo lukuki ambayo yalikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.