Ila surely ushindani kati ya wahaya na wachagga hautakuja kuisha. Wote wanalima ndizi,kahawa na juzi wamepata msiba mzito na wachagga wamejibu mapigo tena kwenye sekta hiyohiyo ya Habari.
Wahaya...
Kwa wale wapenzi wa miziki. Kuna online radio wanacheza miziki balaa. www.colorsconnectradio.com hata huhitaji kuwa na miziki kwenye simu yako hiyo radio ni tosha. Hamna hata matangazo. Ni miziki tu.
Tomino’s Hell ni Shairi Ambalo Unaambiwa Hutakiwi Kusoma Kwa Sauti!, Soma Kimya Kimya na inaelezwa Ukisoma Kwa Sauti Shairi hili Kuna Mawili, Either Utakufa au Utapambana na Mauzauza Katika Maisha...
Ufukwe huu wa Bahari wa "Dumas Beach" Wenye Ukubwa wa KM.2 Upo Katika Bahari ya Arab (Arabian Sea) Nchini India KM.21 Kusini Mashatiki mwa Mji wa Surat Magharibi mwa INDIA.
Beach hii Imekua...
Wakuu
Kulikuwa na habari kuwa ukiwa na smart tv unaweza kuangalia channes kadhaa hasa za ndani bure kabisa kwa kutumia antena ya kawaida. Kwa sasa nina smart tv ya sony bravia na hali ipo hivi:-...
Nilikuwa napekua pekua youtube kutafuta wimbo wa kunituliza baada ya Kazi na uchovu wa siku.
Sasa sisi wenye familia, hasa tunaowajali watoto wetu, kazi tunayo maana huko kwenye Tv zetu huko...
Love Stori: Muhanga wa mapenzi
Sehemu: 01
Mtunzi: Ally Mbetu
SIMU: 0713646500
Athumani alijikuta akiwa njia panda asijue aelekee upande gani, ilikuwa ni baada ya kumsindikiza rafiki...
Niwe muwazi kabisa kuwa channel zetu zinatia aibu. Yaani zinashindwa kabisa hata na hizi channel mpya na ndogo kwa QUALITY.
Unatazma taarifa ya habari picha za hovyo, sound za hovyo, lakini...
Wakuu salama? Kwa wale wapenzi wa live band watakuwa wameshanisoma. Ukienda kwenye show za Nyoshi na bendi yake mpya utagundua kuwa jamaa yuko serious sana na kazi. Anahakikisha vifaa vinafungwa...
leo nimesikiliza nyimbo ya young killer ft banana zoro --badilika.
Nimetokea kuipenda sauti ya banana zoro. Dah huyu mchizi anasauti si mchezo nashangaaa sikumjua siku zote hizo.
So ilikua...
Kwakweli mimi kama mpenzi wa Muziki na siyo ushabiki maandazi kwa vijana wa Kitanzania hakuna mwanamuziki zaidi ya Banana Zoro huyu ni super vocalist.
Wadau wa muziki tujurishane huyu kijana yuko...
Hakika tamthilia hii ilituvuta wengi kwa kadri ilivyo ilivyokua na waigizaji mashuhuri,
Lakini sasa naona bora nirudi kulewa maana sultan bila hawa si chochote
Iblahim pasha
Khadije,
Niger karfa...
dada anaamka
mapema na kuandaa kila kitu
ikiwamo na chai,, baba anakunywa chai na kutaka kuondoka.)
MKE: dada msindikize baba ili ufunge geti sababu bado ni giza
DADA: sawa mama.
(Dada anatoka na...
Mwandishi/Mtunzi: NYEMO CHILONGANI.
..................................................
-KIONJO-
Kuna mwandishi mmoja wa vitabu vya simulizi, alianzia kazi zake kwenye Facebook kitambo hicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.