Habarin wana jf
Nimeanzisha hi threed kwa lengo la kusaidiana kupata magem makali pamoja na trick mbalimbali za magem ikiwa ni pamoja na kuhack coin na vingine vingi.... Naombeni tuchangie jamani
HADITHI: MALAIKA MWEUSI
SEHEMU: 01
MTUNZI: Ally Mbetu ‘Dr Ambe’
SIMU: 0713 646500
MALAIKA MWEUSI.
Alikuwa amepiga goti pembeni ya mwili wa mama yake ambaye...
Wakuu mara nyingi nimrkuwa nikienda high sprit lounge pale posta ila leo nataka nibadilishe..wapi niende?
Samahani kwa muandiko mbaya nipo kwa daladala mkono mmoja nimeshika bomba[emoji23]
*SIMULIZI YA MAISHA: ZAWADI YA ADHABU*
*MTUNZI: TIMOTHY PETER MSUYA “KIRAKA”*
*Mawasiliano +255 763 305 605*
*Utangulizi*
[Kisha nikarudi tena, na kuona ubatili chini ya jua.
Kuna mtu aliye...
***SORY MADAM*******(1).
AGE………………………………….18+
WRITER……………………………EDDAZARIA G.MSULWA
Ni siku ya jumamosi kama kawaida wanafunzi waote wa shule tunayosoma tunakwenda viwanjani kucheza michezo...
Mtunzi Nyemo Chilongani sehemu ya 01
Gari aina ya Lamborghini Centenario LP 770 nyekundu yenye thamani ya zaidi ya dola laki tano ambazo zilikuwa ni zaidi ya bilioni moja lilisimama nje ya...
Nishajizolea kule jiji mpya teule nikitaka muziki muzuri basi najua niingie kiwanja gani sasa kwa hapa dar wapi nitapata burudani kwa madj wazuri coz sitaki bendi niselebuke mpaka niombe sicksheet...
Kiwanda cha Sukari Kagera Sugar cha mkoani Kagera kimetoa ofa kwa mashabiki wa Simba Sc a.k.a mikia na wapenzi wa soka kutoa ofa ya kiroba kimoja cha sukari lakini kwa sharti la kuagiza kupitia...
PENZI LENYE MAUMIVU-01
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278
Katika maisha yangu yote ya ndoa sikuwa ni miongoni kati ya wale wanaume waliyotulia. Licha ya kuwa mke wangu, Lillian alinionyesha mapenzi ya...
Nyimbo ya kwanza ni dotinata,ambayo papi kocha ameshiriki vema na nyingine jina siijui ila ila mashairi yanayosema unionyeshe nani anagawa pesa nimfuate nami nipunguze shida saidia omba omba,kama...
Hi ni kwa ajili ya kuomba nyimbo ambazo hazipatikani katika mitandao kwa sasa. Omba wimbo ambao unautamani sani ila huwezi kuupata, uweke hapa wadau watatusaidia kuupata. Na yeyote ambaye ana...
Habari wakuu, naomba kujua, nimelipia 8800 kwenye iflix ambayo ni gharama ya kujiunga kwa mwezi, sasa cha ajabu kila nikiingia data zangu za kawaida zinaisha, kwa anaejua anisaidie,
Sent using...
Jina Lake Kamili Anaitwa Robert William Pickton, Anafahamika kwa Majina Maarufu ya "The Pig Farmer Killer", "The Pigheaded Killer" au "Pork Chop Rob" na Hii ilitokana na Umaarufu wake wa Kuwauwa...
NYEMO CHILONGANI.
UTAJIRI WENYE UCHUNGU.
Sehemu ya Kwanza.
“All people who live at the beach have to leave immediately because tsunami will come. Once you hear this announcement, tell your...
Niwekee wimbo wako unaoona ungeweza kumwimbia mpenzi wako wa kwanza kabisa ili kuonyesha mapenzi yako - yaani ile full fallen in Love.
Mimi nimechagua huu hapa - unaweza kuimba pia maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.