Huyu jamaa niliwahi kuona clip zake akiwa kwenye harusi, na sherehe nyingine mbalimbali. Anajitahidi sana kuiga Yale ayafanyayo Mheshimiwa Rais. Mara zote huwa na huyo mlinzi wake, wapo vizuri...
Nipsey Hussle has died after being shot multiple times outside of his retail store, Marathon Clothing, in Los Angeles on Sunday (March 31), according to NBC News.
Law enforcement sources report...
naomba tupige kura kati ya haya makundi mawili yaliyotikisa dunia miaka ya 70 pia mwenye kujua historia yao vema na walipo Kwasasa na utajiri wao
Je walishawahi kuja Tanzania
Nani waliofariki...
Wakati kila mtu akianza kuipenda na kuielewa tamthilia hii pendwa, ghafla tarehe 02/04/2019 ilihamishwa kutokea kuonyeshwa saa 21:30pm kwenda 00:30am.
Leo tarehe 03/04/2019 inaonekana imeondolewa...
Moyo wa Mama!
Na Bishop Hiluka
ZAWADI, msichana mwembamba mrefu, akiwa na urefu wa futi tano na inchi kumi na mwenye umbile lililovutia mno alikuwa anatembea taratibu kando kando ya barabara ya...
SIKUWAHI kabisa kuwaza kwamba ofisi yangu, ambayo mwenyewe nilipenda kuiita studio, ingeweza kuwa na kiza cha kutisha kiasi kile na hata kufikia hatua ya kunifanya kupagawa na kuogopa mno, mpaka...
Kati ya movie nilizowahi kuziona na nikashindwa kumaliza kuangalia ni mojawapo hiyo series ya final destination. Aisee hizo movie ilikuwa siwezi kuangalia ikaisha bila kufumba macho.
Ipi...
Je Unaijua Nchi hii ya Iceland? Karibu Uijue Hapa Kupitia #FMfacts!.
1. Iceland ni Nchi inayopatikana Barani Ulaya, Idadi ya Watu Nchini Humo inafika 340,000. Iceland Hakuna Mbu wala Nyoka!.
2...
Baadhi ya Miti Hiyo iliyopo na Minyororo Hadi sasa Ina Bango lenye Ujumbe "I AM UNDER ARREST"[emoji16]
Inaelezwa Kiongozi wa Kikoloni Nchini Pakistan Wakati Huo Alikua Mlevi sana Hivyo Kuamuru...
Himaya ya Ottoman ni Moja Kati ya Himaya Iliyokuwa Kubwa Zaidi Duniani Wakati wa Utawala Wake Huko Ulaya na Maeneo Mengine Mengi ya Afrika na Asia.
Utawala huu Uliitikisa sana Dunia Kwa Zaidi ya...
=====
Song: "I'M SORRY JK"
Hook:
It will one day make sense/Nikisema hakuna president kama JK/
Tanzania inakumiss yaani daily/
Kwa niaba ya wabongo I'M SORRY JK/
Lyrics:1
I'm sorry JK nimeona...
JAMANI NDUGU ZANGU NAULIZA KAMA NATAKA KUPATA KAZI KWENYE HAYA MAGARI YA IT (YANI KUSAFARISHA MAGARI MADOGO KUTOKA KWENYE KAMPUNI ZA CLEARING AND FORWARDING)NAFANYAJE??
Sent using Jamii Forums...
Habari zenu wana jamvi,
Kwa yeyote anayejua majina ya movies hasa za kuhusu africa(za kivita au mapinduzi) naomba anisaidie tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikua siku mwanana wanafunzi walikua ukingoni kumaliza somo lao la siku hio ndio mwalimu akawagusia wanafunzi wake namna ya kumuona jini akiwa katika umbile la binaadam, inafahamika kwamba majini...
[Verse 1]
(RAYAKO)
Mrembo mwenye haiba usoni,
Uzuri usio na kifani,
Sauti yake ringtone,
Haiwezi ntoa mchezoni,
kinanda,
sauti yake minor ikipanda,
kwako nimeshafika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.