Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Mungu ww ni Mungu, kazi yako haina makosa, katika adhabu kubwa kabisa uliyompa binadamu ni KIFO.. Bwana umetoa, na Bwana umetwaa, jina la bwana libarikiwe..!! 😭😭😭
0 Reactions
3 Replies
1K Views
```Coastal union mmetuwakilisha vema mkoa wa Tanga 1. Tanga 2. Muheza 3. Mkinga 4. Korogwe 5. Pangani 6. Handeni 7. Kilindi 8. Lushoto Yaani Simba nyie kila Wilaya na goli lakee
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwa kweli huyu kijana sijawahi kumkubali kabla. Ila sasa rasmi nimekuwa fan wake wa kudumu. Natumai sijachelewa. Hii nyimbo mpya ya INAMA (feat Fally Ipupa) ni kiboko. Waliohisi huyu mtoto...
12 Reactions
84 Replies
13K Views
Tumepoteza mwanamziki mwibgine aliekuwa nguli enzi zake, Beresa Kakere, aliyeimba nyimbo kama Asiya (na Bima) - Asiya eeh Asiyaa, Asiyaaa, Asiyaa mwanakwetu mama Asiyaa, kitendo ulofanya si cha...
3 Reactions
0 Replies
2K Views
Aaaah je uko ni ngap bora kuoa africa tu kaka angu wame mla nini
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nimeona nichukue fursa hii kuuliza huyu mwenzetu yuko wapi? je walifungiwa au vipi? Je kamdhulumu mtu humu? tushamtafuta kila kona haonekani vipi? Manakijiji mara ya mwisho wewe ulikuwa na mvutano...
0 Reactions
543 Replies
56K Views
Mweye wimbo wa ladyjaydee na Mandojo unaitwa wanoknok anisaidie
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Dondosha list yako ya miziki unayopenda kusikiliza unapokuwa kazini.
1 Reactions
11 Replies
1K Views
NYIMBO ZA MWEZI WA RAMADHANI BONYEZA HAPA (CLICK HERE)
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wadau wa hili jukwaa.. Mwenye hii movie ya into the Badlands season 3 msaada tafadhali. Au Kama Kuna mtu anajua access yeyote ya kuipata itakuwa poa sana
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Rejea kichwa cha habari...kama una MUVI kali za kuanzia mwaka 2018 mwezi wa sita(June ) hadi mwaka huu 2019 mwezi huu nahitaji kwa haraka. Unaniwekea kwenye flash ..nahitaji nyingi ..tutaelewana...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wakuu!! Mwenye wimbo mpya Diamond Platnumz na Fally Ipupa unaitwa Inama Audio. Ebu share nasi.
0 Reactions
53 Replies
12K Views
Hii movie nilikuaga naiskia tu kuwa kali ila sikuwahi kuicheki... jioni hii baada ya kuwa dissapointed na muendelezo wa into the badlands nikaona ngoja niisake hii private ryan... Daah ni noma...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Weekend sasa ni muda wa kupunguza stress taja kiwanja kikali wana Jf wa kujoin! Nianze na mimi next door music na totoz naweka shida chini! Taja na wewe ulipo karibuni jf
1 Reactions
21 Replies
8K Views
Nikweli kuwa Zuku Tv wamerudisha channel za ndani?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
By the way ukitaka uone Episode 03 Zima taa na angalia gizani unless otherwise utaona reflection yako, The Long Night was Sooo Dark utafikiri wanatumia Camera za Kwenye Tecno.... !!!!! Hii show...
0 Reactions
3 Replies
918 Views
Watanzania wenzangu naombeni ushauri wenu, hapa nilipo nimevurugwa vibaya sana kwa sasa kila ninalojaribu kufanya kwangu naliona kama halina tija tena kwangu. Hali hii imenijia baada ya kugundua...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Tupia kioja chako hapa cha watu wamwakareli Wanyakyusa wamekua habari nyingine Wawapokea kijiti wasukuma
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom