Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

SIMULIZI ZA MANUFAA: “KULIMA NALIMA, LAKINI NI KAMA SILIMI - 1” MTUNZI: PAUL MPAZI “MABANDA” SIMU: +255 621 087533 Email: paulmpazi22@gmail.com Busara za Mwandishi: "Katika maisha, juhudi na...
0 Reactions
0 Replies
770 Views
https://www.facebook.com/reel/1203968907588101
2 Reactions
0 Replies
168 Views
Kamati ya Tanzania Music Award (TMA) leo August 29,2024 imeanza kutangaza Nominees wanaowania tuzo za muziki Nchini kwa kuanza na category tatu ambazo ni Mwanamuziki bora wa kiume wa mwaka, wimbo...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Baadhi ya nyimbo zinakuwa zina capture moments...yaani nyakati Fulani hivi ...na mood ya Taifa au ya walio Wengi wakati huo... 1. Nipe Tano - Daz nundaz.. Huu Wimbo unawakilisha nyakati ..kama...
14 Reactions
94 Replies
3K Views
Dansoooo Aiiii weweewee Baby nipost kwani mi si mali yakooo...unamuogopa nani?! Baby nichumuu kwani mimi si mali yako unamuhofia nani??. Ni sehemu ya maneno ya huu wimbo wa Mario...
2 Reactions
5 Replies
295 Views
Series ya Money Heist ilikuwa ya moto sana hadi pale Nairobi na Tokyo walipofariki yaani nilikosa nguvu ya kuendelea kutazama muendelezo wa Tamthilia
1 Reactions
11 Replies
437 Views
UTANGULIZI Hadithi hii ilipigwa chapa kwa lugha ya Kiingereza katika mwaka 1885. Katika mwaka 1905 Bwana H. Rider Haggard aliandika maneno haya: 'Sasa katika mwaka 1905 naweza kuzidisha maneno...
23 Reactions
350 Replies
85K Views
Nilipenda sana sauti yake nzito katika movie mbalimbali kama vile King Mufasa (The Lion King), King Jaffe Joffer wa Zamunda (Coming to America) na Director wa CIA (Clear and Present Danger)...
2 Reactions
4 Replies
410 Views
Remmy Ongala Wimbo Wema👇👇 https://youtu.be/Cb1zTXHT324?si=HY9qWMpUL0M7wpMm Nimekaa nasikiliza nyimbo ya Remmy Ongala huku nikitafakari mienendo ya Siasa za Africa. Tuna safari ndefu sana naamini...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu ndio nimeitazama series ya Game of thrones kabla ya hapo niliishia tu kuwa msomaji wa baadhi ya nyuzi zinazohusiana na uchambuzi wa movie ama kweli ni movie...
2 Reactions
14 Replies
478 Views
NIMESHINDWA KUISHI KWA MAKOSA YANGU MWENYEWE. Lovi Pius Kijogoo 0757 238 304 ( WHATSAAP ) SEHEMU YA KWANZA. NYAKATO KWA SAA NANE SOKONI. "Karibu dagaa safi kabisa. Nguo unapata kwa shilingi elfu...
2 Reactions
11 Replies
736 Views
Wakati Waandaji wa Tamasha la Super Bowl Halftime wakimtangaza Kendrick Lamar kama mtumbuizaji mkuu, mjadala umeibuka Mitandaoni, baadhi ya mashabiki wakimtaka Rapa Lil Wayne Katika mijadala...
3 Reactions
9 Replies
336 Views
Imeandikwa na Lello Mmassy UTANGULIZI Naitwa Joseph Kaduma Ndani Ya Serikali Ya Nchi Ya STANZA Watu Hupenda Kuniita Joe.Nina Nusu Saa Tu Ya Kuamua Kati Ya Maisha Yangu,Familia Yangu Na Utajiri...
22 Reactions
630 Replies
166K Views
Zangu hizi hapa za leo nasongesha nazo weekend
4 Reactions
16 Replies
631 Views
Habari za Majukumu na uzima Wakuu...... Hivi ni kweli ETV wamekuwa excluded kwenye list channels za AZAM TV ........? Maana siku hizi ni miezi miwili vhivi iliyopita nkilipia vifurushi vya...
0 Reactions
5 Replies
402 Views
FAMILIA YA ZORRO MIONGONI MWA FAMILIA ZILIZOTUNYIMA KOLABO KALI. Sikumbuki ni nani alikuja na wazo la kutengeneza albamu iliyoitwa BABA NA MWANA! Ilikuwa ya moto sana na ilikuwa na ladha TOFAUTI...
20 Reactions
26 Replies
3K Views
Mfanyabiashara maarufu, Fred Vunjabei amemtolea uvivu Mwijaku na kumtaka aache kumhusisha na ishu za utajiri, baada ya Mwijaku kudai kuwa Fred ana utajiri mkubwa kuliko Diamond Platnumz, wakati...
8 Reactions
21 Replies
1K Views
Nina furaha nimerudi tena uwanjani hapa ikiwa ni toleo langu la saba sasa kuhusu movies mbalimbali. Ni matumaini yangu mko salama. Sasa Weekend ndo' hiyooo inasogea, wengine hatuna mambo ya clubs...
31 Reactions
190 Replies
23K Views
Movies/Sinema/Series nyingi pendwa na zenye kutamba unakuta zimegewa a.k.a ambazo hufanya watu wasijue jina halisia... Leo nataka watu mtaje a.k.a /majina ya utani ya hizo sinema wengine...
5 Reactions
83 Replies
2K Views
😂😂 hivi huyu Dulla Makabila ana nini kwani? Jamaa amekuja na tuzo zake "Makabila Awards" na ametangaza vipengele tisa vilivyojaa utani, kuna UVUMILIVU, FITNA YA MUZIKI, CHAWA BORA mpaka KUPENDA...
2 Reactions
2 Replies
509 Views
Back
Top Bottom