Ni katika ngoma mpya ya kwake Maua Sama produced By Abbah! Wote tunafaham Maua Sama alivyo barikiwa sauti nzuri sasa amekutana na King mwenyewe wa R&B can you guess hiyo colabo ikoje?
I dedicate...
Salama Wana Jamii forum. Na poleni na msiba wa Papa wemba.
Jamani mwenye kujua vibao vizuri vya muziki wa Zaire{Democratic Republic of Congo} na habari za wasanii kama wakina Yondo Sister na...
Kuna wimbo uliimbwa zamani kidogo na msanii wa bongo simkumbuki lakini alikua na rasi.
Unaimbwa hivi..hoo baby zimbaa,zimbaaa hoo baby zimbakalanyo.
Nahisi kuna kitu unataka kunieleza lakini...
It takes a million people
To build up a good reputation
But it takes one stupid fool
To destroy everything they've done
The world knows your people as
The most violent in the world
The world knows...
Nimependa mashairi ya huu wimbo 'ALL OF ME' by John Legend ......kama hujawahi kuusikia utafute
but mostly nimependa choice of words....hasa aliposema ' i love you with all your 'perfect...
Mwenye projector nzuri ambayo inatumia umeme wa ac-dc .Iwe HD katika picha ili niweze kuinunua kwa ajili ya kuonyesha Mpira nje na iwe Quality
Sent using Jamii Forums mobile app
Hello me and my friends are wondering what is a best place to get swahili songs, old and new ones?
Mimi na rafiki yangu, tunataka kujua sehemu gani tunaweza pata nyimbo za kiswahili, bongofleva...
Hongera Wasafi TV kwa burudani nzuri mnayotoa, mnakubalika na kwa kweli mtafika mbali sana. Kinachonikera ni kipindi chenu cha Kungwi na matangazo yake. Maudhui ya kipindi na matangazo yake...
Kuna msanii nimemsikia kitambo saana nyimbo yake moja inasema,nitanukuu tu baadhi ya maneno.."Leo ni vifijo na vigele gelee!
Moyoni mwangu,raha tele telee!
Ni pendo,ni pendo,furaha tuu!
Na kwa...
Kuna wale watazamaji wa movie ambao hudhania filamu nzima inapokuwa ikiigizwa basi wale masterling wake ndio ambao huwa wanahusika kwenye kuigiza complete set za filamu husika!. Well unachofikiria...
Mwenye nyimbo za dini za zamani na mpya mpya naomba anitumie, njia ya kutumia inaweza kuwa kwa kutuma link ya google au Microsoft drive au cloud storage yoyote. Pia kama kuna mtandao unaujua...
ZIFAHAMU SIFA ZA WASHIRIKI MISS TANZANIA KWA MWAKA HUU.
Washiriki wote katika ngazi zote za mashindano watakuwa wasichana tu wenye Sifa zifuatazo; umri wa kati ya miaka 18 hadi miaka 24(mshiriki...
1. Baila by Diamond Platnumz Ft Miri Ben-Ari
2.Totoa by Aslay
3. Kiki ni Gigy by Gigy money Ft Whozu& Sanja
4.Nadekezwa by Mbosso
5. Banana by Dogo Janja
Ni hayo tu kwa leo.
Habari za hapa jamvini,
Naombeni yeyote mwenye wimbo wa Jastin Kalikawe unaosema "usitumie cheo chako kama dhamana ya matakwa yako mwenyewe" aniwekee hapa.]
Nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.