Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Muandaaji wa filamu nchini Somalia, Ahmed Farah amewamwaga waongozaji wa Tanzania baada ya kushinda Tuzo za Kimataifa za Filamu ‘ZIFF’ 2024 zilizotolewa leo Ngome Kongwe Zanzibar. Ahmed kupitia...
0 Reactions
0 Replies
357 Views
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Kwa mujibu wa nguli wa muziki wa dansi nchini, marehemu Remy Ongalla, muziki ni burudani, furaha, huzuni, nk. Hapa anamaanisha kuwa muziki ni...
8 Reactions
71 Replies
2K Views
Hizi ngoma mbili kwangu binafsi nazipa siti ya mwanzo ya kuwa timeless club bangers. Moja ni ya masista wawili Brick & Lace - Love is wicked Na nyengine hii ya breezy -yeah 3x * Tiririka...
2 Reactions
37 Replies
2K Views
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : BLESSURE D'AMOUR {𝙅𝙚𝙧𝙖𝙝𝙖 𝙡𝙖 𝙢𝙖𝙥𝙚𝙣𝙯𝙞} 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : MADILU SYSTEM :1993 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄 : SULE MKANDARASI ~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~ 𝙒𝙞𝙫𝙞...𝙒𝙞𝙫𝙪...𝙒𝙞𝙫𝙪...𝙋𝙞𝙣𝙙𝙞 𝙬𝙞𝙫𝙪 𝙪𝙣𝙖𝙥𝙤𝙥𝙞𝙩𝙞𝙡𝙞𝙯𝙖 𝙪𝙣𝙖𝙬𝙚𝙯𝙖 𝙠𝙪𝙟𝙞𝙠𝙪𝙩𝙖...
0 Reactions
1 Replies
270 Views
Wakuu Tofauti na mitandao mingine ya kijamii nimeweza kujifunza mambo kupitia story za kweli humu JF, kama story za BM X6 INSIDER MAN LWANDA MAGERE Analyse UMUGHAKA13 Lakini naamini JF ni mtandao...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wanajamii, natafuta Cassette tape au Kanda za kwaya za zamani kama: 1. Tumaini Shangilieni kwaya - Arusha 2. Barabara ya 13 - Uliyankulu 3. Mtoni Evangelical choir - Lulu 4. Kwaya ya...
2 Reactions
3 Replies
337 Views
Inasemekana Langa alikuwa miongoni mwa "WACHOYO WA KOLABO" na hata ile NINAPOSIMAMA, Chid alimchana akiwa booth kwa Lamar na Dunga na kusema, sikubali, mtu gani unafanya ngoma mwenyewe tu, hii...
3 Reactions
11 Replies
580 Views
Wadau hamjamboni nyote? Niwe muwazi mimi ni muumini wa Kanisa la Waadvetista wasabato ila napenda sana kusiliza nyimbo za kwaya za Kanisa Katoliki Hivyo siku ya leo kwa heshima kubwa naomba...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
MTEULE UTANGULIZI Mfalme Efroni alikuwa mtawala wa nchi ya Nahori. Mfalme huyu alimuoa binti wa mfugaji aliyeitwa Raheli na kujaaliwa kupata watoto kumi na wawili. Wote wa kike. Aliipenda sana...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwenye pita pita zangu mtandaoni, Mjanja M1 nikakutana na post hii kutoka kwa 50 cent akiipigia chapuo Movie aliyoigiza na Mel Gibson. Mjanja M1 nikawasha Smart Tv yangu na kui-play online...
2 Reactions
13 Replies
573 Views
RIWAYA; KAMANDA WA ZAMU. NA; BAHATI K MWAMBA. WHATSAPP; 0658564341. 1. Alikuwa akitetemeka mwili na roho, jasho lilimmwagika hadi kwenye ncha za vidole vyake vya miguu na...
7 Reactions
26 Replies
5K Views
Katika kumbukumbu za siku ya kiswahili, sijawahi kusikia wakitajwa wasanii wa Muziki wa Dansi katika kukuza lugha ya kiswahili hasa wakati ule ambapo jamii nyingi zilikuwa Bado hazijafunguka na...
0 Reactions
7 Replies
347 Views
Wakuu habar za jion Kwa wale wapenzi series Kuna series inaitwa silo, hii series mm nimefanikiwa kuiona season 1. Hii series ni nzuri sana, Sasa nataka kufahamu Kama season ya 2 imetoka au la.
0 Reactions
7 Replies
282 Views
Nimesikitishwa sana na kitendo cha huyu msanii chipukizi anayefanya vizuri kwa sasa komredi Ali Kiba kutojua maana ya jina FALLEN ANGEL na linavyotumika. Hakuna namba yoyote unaweza kumwita binti...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Ferdinand Shayo, Manyara. Kampuni ya kuzalisha vinywaji changamshi yenye makao makuu yake Mjini Babati Mkoani Manyara ya Mati Super Brands Limited imesaini mkataba wa makubaliano ya kufanya kazi...
1 Reactions
3 Replies
508 Views
Habari za leo wakuu, Yes, kwa wale wadau na wapenzi wa burudani nimeleta jambo hili mbele yenu muweze kunishika mkono au kunionesha njia, nashukuru Mungu nimezaliwa na vipaji mbalimbali lakini...
2 Reactions
6 Replies
293 Views
Husika na kichwa cha barua hapo juu.. Sorry ni kichwa cha habari hapo juu... Natafuta movies hiyo pendwa inayoitwa grey's anatomy kuanzi series ya 3 mpaka 20 kwa ambaye atanifanyia mpango...
2 Reactions
14 Replies
465 Views
Nimetafuta kwa youtube shida zinakuja nyingi. Nimejalibu kuuimba hapo mnaweza nisaidia kupitia hiyo sauti hapo chini. Wimbo Bwana ndie mchungaji wangu mimi Sitapungukiwa na kitu katika maisha...
2 Reactions
7 Replies
275 Views
Hii kama umeshasikiliza hii nyimbo vizuri, ni kama jamaa kaiba kwenye nyimbo zetu za zamani sana. Sasa kila nikijaribu kuzivutia kumbukumbu hapa nashindwa kukumbuka zilikuwa ni nyimbo za nani na...
1 Reactions
5 Replies
323 Views
Najua Jamiiforums hakishindikani kitu. Kuna wimbo mmoja alikuwa anaupenda sana kuusikiliza mpangaji wetu marehemu mmoja hivi mlevi mlevi. Ni wimbo wa Kikongo jamaa analalamika sana nakusema neno...
4 Reactions
13 Replies
500 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…