Kweli kila nyakati na mambo yake, nakumbuka michezo ya maigizo kipindi hicho ilivokuwa ina trend. Enzi za kaole kila jumamosi baada ya taarifa ya habari tu, watu macho kwenye TV, mambo hayo...
Naomba sana,Wachezaji wa Simba na viongozi mtuunge mkono ktk group letu la what's up la Umoja wetu ni ushindi wetu la mashabiki wa Simba kili baadhi ya mambo yawe yanatufikia na kuwafikia,lengo...
Uwa namsikiza saana huyo bwana, kwa upande wangu nakiri wazi Hakuna msanii mwenye kugusa hisia kwa namna taamu na ya kipekee kwa nyimbo zilizojaa ujumbe na ushawishi wa ajabu kama Tosh. Mtu pekee...
Wasanii hapa nchini either wamekosa elimu au wana elimu sana wamekosa maarifa au Life skills ya kazi zao.
Tutakubalina wote kwa pamoja kua wasanii wote kabla ya kutoa kazi zao midomo kwanza...
Wakuu salaam!
Mie si mdau wa vilevi wala wadada, ila ulevi wangu ni movies hasa za actions. Nimeangalia nyingi kdg Iris (I&II), 2 weeks (haikunivutia) Hawaii, Jumong, the land of wind, Nikita...
kuna wale wapenzi sana wa kuangalia TV SERIES za kizungu na Asia. Basi wala usiwaze sana utapataje hizo series. kwangu zinapatikana za kila aina ni suala la wewe tu kusema kuwa unahitaji SERIES...
mambo vipi wa 254...kuna huu wimbo wa bahati aliomshirikisha rayvanny,nmeusikiza ila kusema ukweli bahati amechemsha.amepeleka aibu bongo ata heri angebaki tu uku Nairobi nngemvumilia.rayvanny...
Bahatikenya na rayvany toka wasafi labelled wamefanya yao kwa ngoma hii ya nikumbushe.
Kuipata na kuisikiliza nenda na upakue katika website ya wasafi uone mautundu ya rayvany.
#Karibuni...
Wakuu Kuna bonge la version la huu wimbo wa Muogo wa Jang'ombe ulioimbwa na marehemu, nguli na mkongwe wa muziki huu wa mahadhi ya pwani Bikidude badae ukaimbwa na wengine kutia ndani LadyJaydee...
Baada ya kutoa single ya lover boy, msanii mahiri kabisa barnaba boy ameachia hit single nyingne inayokwenda kwa jina la "lonely"
Wataalamu wa mambo wanadai kwamba hii ni dedication kwa mzazi...
Pata kutizama video ya Muimbaji wa Nyimbo za Injili Rehema Lupilya. Ni wimbo wenye mahadhi ya Raggae, Ulishika namba moja February 2017
Usisahau ku subscribe youtube
Instagram: @rehema_lupilya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.