Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
THIS SONG TRANSLATED lingala: Aee nakomitunaka english: Aee I ask myself li: Nzambe nakomitunaka en: God I ask myself li: Poso mwindo ewutande wapi ? en: Where did black skin come from? li: koko...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
kwa wale wapenzi wa nyimbo za billboard chart,UK.top 40, na Electronic dance music (EDM SONGS) mpya mpya na kali za hatari angalia hapa kisha tafuta upakue ..hutajuta... N.B..sio kila wimbo mpya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Msanii dogo Skide ametoa nyimbo ya kumdisi msanii harmorapa kwa kuongea maneno ya kejeli na kuchekezha.. Ongeza maisha hapa...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Watu wanaoridhishwa na kazi zinazofanywa na awamu ya tano ni wengi kuliko wachache wanaokerwa. Watu wenye maadili na wasiopenda matusi kwenye nyimbo ni wengi kuliko wahuni. Wanaofurahi na wenye...
0 Reactions
4 Replies
719 Views
Wakuu kama heading inavyojieleza... Niwapi pazuri kufurahia yani ukiwa na watoto watafurahia michezo nahata wakubwa pia ukiachilia mbali Funny city na Jangwani see breez... Msaada tafadhari wakuu
4 Reactions
18 Replies
6K Views
Wadau nimekumbuka sana huo wimbo pamoja na albamu yake yote. Ni wimbo wa kihehe nakumbuka enzi zile miaka ya 1994,1995 ulikua huwezi kwenda kwenye harusi yoyote bila wimbo huo kupigwa...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
NI nyimbo gani ukizisikia unahisi kutokwa machozi??....nimejaribu kutengeneza list ya nyimbo 10 ambazo zinasikitisha zaidi....kama hujakubaliana na list jaribu kuweka ambazo unaona zinasikitisha...
6 Reactions
189 Replies
23K Views
Mhh, huu wimbo balaa. Vijana wamecharuka wamechokozwa sasa wanajibu kwa sanaa!
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Kazi yako ya Nisaide kushare imesimama sana bro, hongera sana. Umeonesha kwamba wewe ni mkongwe katika hip hop, huyumbi na hugeuki. Kaa hata mwaka mzima lakini ukija kurealese unafanya ile kitu...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Is Kendrick Lamar the best rapper ever..!? If yes,then why..!? If no,then why and who do you think is the best rapper ever..!?
4 Reactions
44 Replies
3K Views
Hebu tukumbushane nyimbo Kali zilizovuma kipind hicho Yangu ni Password
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Mambo anayotufanyia mtangazaji Wa sibuka FM, in mambo ya ajabu anaacha kutangaza Mpira anatangaza matukio. Sio lazima kama hamna uzoefu Wa kutangaza Moira sio lazima mpekeke mtangazaji ni bora...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Unawapa ngapi..?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Pasaka hii Harmorapa kuweka historia! Kushuka na Helikopta Dar Live! Mashabiki wake wa mwanzo kuingia BURE! Wengine kiingilio shs 5000 tu!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi ninashangazwa sana na sanaa za kibongo,kwani hasa hawa wasanii wanafanyaje? EDITOR: Computer inayoedit pentium R ya 2002. Editor wenyewe ana muongozo wa kutia vinanda badala ya track. Vipande...
0 Reactions
0 Replies
588 Views
Kwa mara ya Kwanza nimekuwa shabiki wa huyu kijana hii nyimbo aliotoa ukiwezekana ufike mbali very inspirational song....most of da time we miss the moment not a person....aslay ameweza kuongelea...
3 Reactions
4 Replies
6K Views
Ninachoweza kusema ni kuwa:-mafanikio ya kishetani daima hayana heshima kwa mwanadamu !Kwa mwanamme wa kweli mafanikio ya kweli na ya haki ni yale yanayotokana na mipango na jitihada uku...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Nikisikiliza nyimbo za kupondeana zote naona kama madaraka ya kulevya ni nyimbo ambayo iliandaliwa mda mrefu sana na kwa umakini kuliko zingine.. Nyimbo ya "Wapo" ya ney wa mitego ni nyimbo ambayo...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
BRAYAN :you have any son, RADE : two , BRAYAN :you have any son, BRAYAN:If I kill u,they will come and seek revange. RADE: they will for u sure, BRAYAN:And I will kill them too, bt you can change...
0 Reactions
1 Replies
474 Views
Back
Top Bottom