Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Nimeikubali sana hii ngoma inaonyesha jamaa habahatishi. Kaka umetisha nasubiria official release. =======================================
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Pamoja na matatizo yake ya madhara ya madawa ya kulevya ray c mungu kampatia kipaji cha pekee cha sauti tamu sana anajua kuimba sana. Natamani ingetokea mtu atoe utaratibu mzur wa kuuza nyimbo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
[emoji12].
1 Reactions
0 Replies
1K Views
mi Nina Wazo, Natafuta Watu ili kwa1 Tufanye Jambo Kubwa, Sorry!! Siwezi Kuliweka Hadharani Wazo Langu, Sababu Wazo Ni Biashara Yenyewe,
2 Reactions
51 Replies
3K Views
Huyu jamaa ni noma, ametoa Ngoma mpya ya singeli inaitwa NADUKUA. Hii Ngoma ni Kali balaa, ngoja atairelease mda si mrefu. Hongera mwana jf mwenzetu
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nimeuliza kwakuwa naina nchi nyingi huwa na nembo zinazo watambulisha katika nchi za nje hata katika michezo...Mfano ni kenya wana nembo yao kama taifa ukiiona unajua hii ni kenya,England mbali ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii ni filamu mpya kabisa inayosubiriwa na wapenzi wa filamu duniani kote. Filamu hii inatarajiwa kutolewa rasmi tarehe 7 January 2017. Ni filamu iliyochezwa na mastaa wakubwa wa filamu duniani...
4 Reactions
53 Replies
7K Views
Toka yanga wakate rufaa kwa mshambuliaji wao OBREY CHIRWA yamepita zaidi ya masaa 72 lakini hakuna chochote ambacho TFF wameamua. kila mtu aliona mechi jinsi refa alivotumika kuinyonga yanga...
1 Reactions
0 Replies
438 Views
Wimbo wa diamond marry u unazidi kusumbua dunia kwa sasa paka sasa huu wimbo umeshika namba moja afrika kwenye trace kwa sasa umeshafika paka spain finland derlmack
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Black-ish moja kati ya comedy nzury kuzifatilia, zaidi inaelezea maisha ya watu weusi wenye kipato cha kati wanayopitia Marekani. Hii series ilianza mwaka 2014 lakini kwa muda fulani ilistopishwa...
2 Reactions
3 Replies
940 Views
wanao weza kutafsiri tusaidiane. Kanyeezy you did it again, you a genius nigga! » Lucifer, son of the morning! I'm gonna chase you out of Earth » (I'm from the murder capital, where we murder...
0 Reactions
4 Replies
753 Views
Track mpya kutoka kwa mwamba mgumu MWAMBA MGUMU - WANTED | Mwamba Mgumu
0 Reactions
0 Replies
339 Views
Cannot find in any of the music searches like wikimusic or shazam. Please help me. Do you know where this is from? I put it up on vocaroo.com /i/s1YkTc0jNCuw Perhaps it's part of an opera? I...
0 Reactions
0 Replies
481 Views
Wale waliokua miaka ya mwanzoni ya 2000 (2000-2004) kulikuwa na kundi la music la mwanza walikuwa wanajiita BWV (boys with voices) walitoa nyimbo nyingi ila maarufu zilikuwa ni Barabara za mwanza...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
"Nimekua kaa daladala, kutwa kucha kwa barabara, nizichange hizo gwala gwala nikutunze mama" Sijui kauimba nani, kwangu ni wimbo bora kabisa wa decade hii kutoka hapa nyumbani Tanzania.
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Ukiangalia mapokezi ya Mwanamuziki Ali Kiba jana unapatwa na mashaka na maswali mengi kwani yanaonekana kuwa hata wale walioenda kumpokea pale JNIA ni kama vile walitafutwa, kupangwa na...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi hamna ratiba ya vipindi? Kila wakati mnaweka hilo Li chaneli KFS kwani hamna vipindi vyenu? Mnarudia mavipindi hovyo hovyo tu mtakavyo ninyi. Mjue nasi watazamaji tuna Haki zetu. Nawaangalia...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
habari za humu kuna nyimbo mdada anachana vizuri afu kwenye kama hook jamaa anamuiga magufuli sauti afu anaongea maneno flani hivi mwenye kuijua wadau
0 Reactions
3 Replies
693 Views
Usiku wa kuamkia leo nchini Marekani kumefanyika tuzo kubwa kabisa ihusuyo filamu ijulikanayo kama Academy awards pia maarufu kama Oscar ikiwa chini ya usimamizi wa Academy of Motion Picture Arts...
7 Reactions
33 Replies
5K Views
Back
Top Bottom