Kama una kipaji cha kuimba,kuigiza,kuchora,kucheza mpira, uandishi,uongozi,uanaharakati(Activists), model/fashionist na unataka unufaike na kipaji chako pia utambulike kupitia kipaji chako...
The six-member crew of the International Space Station is tasked with studying a sample from Mars that may be the first proof of extra-terrestrial life, which proves more intelligent than ever...
ZECOMEDY SHOW kipindi kinachorushwa saa 12:30 jion siku ya jumamosi EATV wamezungumzia makundi yaliopo ndani ya sanaa yao ya uigizaji kuna makundi karibia matatu yote yanaona yao yako juu
Kama...
Anaondoka na kitita cha tsh 30,000,000. Hongera zake!!
========
Olive Kiarie kutoka Kenya ameibuka mshindi wa shindano la Maisha Plus Afrika Mashariki 2016. Amejinyakulia TZS milioni 30
-,waziri Mwijage azindua mashine ya kusaga iliyotengenezwa na washiriki wa maisha plus
-Pia amempa mshiri toka Mtwara mashine ya kubangua korosho..
--Final rasmi itaanza saa 3 usiku Azam tv
Habarini!
Kama tunavyo fahamu kuwa JF ni sehemu ambayo mamillion ya watu wanapita hapa! Ningeomba huu uzi uwe maalumu kwa ajiri ya kuwasupport wasanii wanao chipukia! Katika Muziki! Najua tupo...
Haya sasa Wale wadau wote tunaofuatilia msimu wa Tano wa maisha plus tumwagike hapa kuwachambua washiriki kwa namna wanavyoishi ikiwa na pamoja na umuhimu wa mshiriki mmoja mmoja na sio mbaya...
Naona music videos nyingi za wasanii wetu zinatengenezwa SA, ndio kusema directors wetu hapa hawana viwango au location za huko ndio zinawavutia?! Tena hata video quenns wengine wanatumia wazungu...
Washiriki 16 waliongia hatua ya 16 Bora Leo wanachuana katika hatua ya Mwisho kutambua Nani ataibuka na shillingi Milioni 30:
Azam TWO watakuwa live saa 3 Kamili Usiku
Hebu tubashiri kidogo...
Utamaduni ni kitu cha ajabu sana. Hivi ushawahi kuangalia jinsi King Mswati anavyotafuta jiko. Ni utamaduni wa aina yake. Utamaduni wao wa kila mwaka umekuwa ukivutia watu kutoka mataifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.