Wazima wana jamvi? Linapokuja swala la nyimbo za mapenzi wengi hutaja R'n'B na Pop kuwa ndo kuna nyimbo nzuri za mapenzi. Je umeshasikiliza nyimbo za hawa watu kwenye muziki wa country?
Je...
Msanii R.O.M.A mkatoliki a.k.a Ninja amedondosha bonge la track kwa jina la Maumivu akimshirikisha msanii Bob Junior na ndie producer wa wimbo huu toka sharobaro Record. Wimbo umetambulishwa siku...
"Wapendwa mashabiki wangu na wapenzi wa miduara kwa ujumla nifursa nyingine naitumia kutekeleza ahadi yangu kwenu ya kukupatieni ngoma mpya kila tarehe 15 ya kila mwezi.Leo hii nadondosha mduara...
Wanajamii naomba msaada mnipe link ya kupakua hii series ya kikorea ya Swallow the sun ikiwa na english subtitle.
Maana nimetafuta bila ya mafanikio,nimeingia hadi kwenye torrents hola au unakuta...
Historia ya mwanamziki maarufu Diamond kabla hajafikia umaarufu wa sasa unaijua? Kama huijui isikilize hapa Mwanamziki Kide akiielezea kwa njia ya wimbo.
<br>
Umofia Kwenu wana JF,
Msanii aliyetamba miaka ya 2005 na kundi la Nako 2 Nako lord eyes amegongesha taya na watangazaji wa E.A radio kupitia segment ya Nyunyuzi kwamba next week anaachia ngoma...
Nimekaaa nimemfatilia sana huyu jamaa bado simuelewi elewi mpaka sasa,unashangaa anatoa video kali sanaaa na yeye ndio mwenye wimbo ila kwenye huo wimbo sioni anachoimba au mimi ndio sijui mziki...
Nimeusikiliza huu wimbo mpya wa Mpoto Kwa kweli ni ujumbe muhimu sana unaotakiwa kumfikia Rais. Kama bado hujausikia bofya hapa chini
http://m.youtube.com/watch?v=3OZF1yr41Sw
Hamjambo kila mtu ! I like this Tanzanian song called "Vifuu Tundu" : https://www.youtube.com/watch?v=v3OJJRnnsQs Could some one help me by writing the lyrics down, please ? Nimeanza kusoma...
Tukiwa tukijiandaa na W.end Kesho unawenza kuandaa vitu vyako safi na murua.
Series hizi ni mpya pia ni nzuri sana.
1. Tyrant hii imefikia epsode 1-8
2.Extant hii ipo 1-6
3. Dominion 1-7...
Kuna msanii wa kike sijui ni Mkongo ama vipi lakini huimba kilingala anaitwa Ayila, ana sauti nzuri sana nilipata kuziona nyimbo zake Clouds Tv wakati iko kwenye majaribio ya kuruka...
jamani naombeni msaada wenu nimetafuta ninavyojua nyimbo ya Nemo baby sema ila sijafanikiwa so nahitaji mnisaidie link or mahala p kuipatia hiyo nyimbo.
Nimefanya uchunguzi mdogo tu nimegundua kuwa wasanii wengi wa music Tanzania ni wafupi, sijui kwanini? Au kuna uhusiano wowote ule kati ya ufupi na kipaji? Au ndio ile theory ya kwamba watu wafupi...
Nisalimie sana Humphrey Bogart
Lauren Bacall was among the last of the old-fashioned Hollywood stars and her legend, and the legend of Bogie and Bacall - the hard-boiled couple who could fight...
Umofia kwenu igwe na oga wa JF,
Msanii Emmanuel Mgaya aka Masanja Mkandamizaji alijipatia umaarufu kwenye tasnia ya uchekesheji ameamua kutoka na album ya "MTOTO WA MFALME" yenye jumla ya nyimbo...
Wanajukwa kuna wimbo mpya utazinduliwa hivi karibuni umeibwa na msanii anaitwa linex unajulikana kwa jina la wema kwa ubaya, linex katungiwa na Zitto Kabwe, hatujui kwa nini wameamua kuupa jina la...
Msaada wadau..kama unaifahamu movie yoyote ambayo kuna star wa prison break...wale akina michael,linc,sara,killerman,mr kim,tbag,sammy,au sucre anitajie ili nidownload...nawapenda sana hawa jamaa
At least 2.2 million people have already watched "The Expendables 3." The problem for the movie's distributor, Lions Gate Entertainment Corp., is that its big-budget action movie doesn't open...
Hii Nimeiona mahali hivi
Mtangazaji wa kipindi cha sporah show ametuhumiwa kwamba anapenda kukuza mabeef ya wasanii tanzania ama ni yeye kuwa
na elimu ndogo ya utangazaji kiasi kwamba anakosa cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.