Habari za kusikitisha zilizo nifikia hivi punde, zinasema Msanii Linah kutoka THT naye ameanza kutumia cocaine. Haijajulikana ni sababu gani haswa ambayo imemfanya mdada huyu...
Naomba kujuzwa kuhusu hii bendi kwan nimeona tangazo lao kuwa kila ijumaa watakuwa pale landmark hotel.Nilipata taarifa kuwa mwezi wa ramadhani huwa hawafanyi show,Sasa swali ni kweli hawafanyi...
Vilio na simanzi vilitanda Jumatano iliyopita Mwananyamala Kisiwani, jijini Dar kufuatia mtoto wa mwaka mmoja, Rahim Rajab kufariki dunia kwa kuangukiwa na watu watatu, akiwemo baba yake mzazi...
Bridge : A. Town , hi indo a. town , a town, hi indo a. town.
Chorus : Mungu Nipe A. Town, Mungu nipe acity,
Mungu nipe Arachuga, bongofleva wakituona wana zuga...
Ilikuwa ni albamu babu kubwa, ndani ya albamu hiyo kulikuwa na nyimbo, Sofia ( eeh sory to sofia, i lov you mwanamaaa ), morenita , Aba Guimo, Robin Pretty, Mama Rhoda...
Wakuu shwari? Naomba mtu mwenye novel ya Sydney Sheldon iitwayo Mistress of the Game aniazime. Nilikiona pale Scholastic mlimani city sikuwa na mshiko siku nilipopata nikaenda ninunue nikakuta...
Nilikuwa naangalia interview ya sista duu lulu, daah! kazi ipo, manake hizo posi zimepitiliza, halafu sijui majibu mengine ni ya kukariri, basi michosho tupu! nimeshindwa hata kumalizia...loh...
Mwandishi mashuhuri wa vitabu nchini Marekani, Robert Green anasema " Wale wanao mchukulia msanii 50 Cents kama Gangster pekee, wanatakiwa kuanza kubadilisha mitazamo yao haraka...
"JACK WOLPER ANATAFUTA UMAARUFU KUPITIA JINA LANGU....KAMA SANAA IMEMSHINDA BASI AKAJIUZE AU AKAUZE VIPODOZI"...BABY MADAHA
MWIGIZAJI wa kike na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Baby...
UWOYA AAMBULIA MATUSI BAADA YA KUMFANANISHA DIAMOND NA MICHAEL JACKSON
Mwigizaji wa filamu za Kibongo, Irene Pancras Uwoya, amelowa mvua ya matusi baada ya kumfananisha mwanamuziki Nasibu...
Mwigizaji Mmarekani mweye asili ya Afrika Jim Kelly alifariki dunia Juni 29, 2013 akiwa na umri wa miaka 67. Jim Kelly alitamba miaka ya 1970 na 1980 baada ya kuibuka katika sinema ya 'Enter The...
Beyonce na baba yake Mr Mathew Knowles
Mathew Knowles is a married man!Beyonce's father married former model Gena Charmaine Avery on Sunday, June 30 in Houston, Tex., he confirms to Us Weekly...
Sio maneno yangu hayo ni ya watangazaji wa radio uhuru wakati wanauchambua huo wimbo wa dokii wamesema kuna mistari kwenye uho wimbo amechemka na pia ameshauri wasanii kabla hawajaingiza vocal ni...
Wadau ,
Katika pitapita zangu za brochure za Movies, nikakumbana na hii Movie. Imechezwa na Jamie Foxxy na mwenzie jina limenitoka mpaka ni-google.
Sasa nimejaribu kui -download but...
Hii movie toka nchini malawi imezoa tuzo tano za kimataifa mwakani huu.
Nimejaribu kuitafuta katika torrent na youtube nimeambulia trailer tu.
Nikienda dukani inaonekana msamiati kwa wauzaji.
Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.