Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Wazee wadai kamtumia sms na email kumwambia yanga ni maskini na wanashindwa kuwalipa wachezaji na makocha wao. Kawekwa kitimito ajijetea hausiki katika hilo
0 Reactions
7 Replies
5K Views
1 Reactions
8 Replies
2K Views
jamaa kamshirikisha Ben Paul katika Nipokee, nipe maoni ukiusikiliza Chidi Benz ft Ben Paul - Nipokee | Muziki.net
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Unakumbuka ma -dj wakali enzi hizo.... 1.dj jerry koto 2.dj young millionea 3.dj chriss fabi (the lover) 4.dj deo zullu 5.dj kali kali 6.dj mangapiii 7.dj ali koko endelea tupia hapa ma-dj wa...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Jana katika kipindi cha kusikiliza mapendekezo ya bajeti Waziri wa Fedha alisema kazi za wasanii zitapitia kwenye mikono ya TRA hii ni hatua kubwa sana ya kuwaingiza hawa wasanii wetu kwenye wigo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani mwenye ufahamu wa source ya free christian movies
0 Reactions
1 Replies
325 Views
Wadau naomba msaada wa jina la wimbo ambao ferooz ameshirikishwa wa zamani kidogo wa bongofleva ambao una vipande hivi "ningeweza ningeomba wazazi wangu warudishwe duniani...."...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Kuna scandal kwamba huu wimbo wa Ameen - Mwana FA ft Dully Sykes & AY | Muziki.net umekua sampled kutoka moja ya nyimbo za mwanadada mJamaica, sasa ingawa watu kibao hufanya hivyo ulaya na inakua...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Jamani huwa najisikia kinyefunyefu kila nikiusikia wimbo mpya wa mwanamuziki BEST NASSO, Narudi Kijijini. Kwa ufupi katika wimbo huo Best Nasso analalamika kuonewa na mpenzi wake wa kike na hivyo...
1 Reactions
4 Replies
15K Views
BAADA YA MADEE KUTOA SHUTUMA KWA DOGO JANJA, NAYE KAFUNGUKA Siku moja baada ya Dogo Janja kudaiwa kufukuzwa Tip Top Connection, ukweli halisi kuhusiana na uamuzi huo umewekwa wazi na yeye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Wapendwa wana jf , nataka nijue nani ni mkali kati ya Chris rock na Chris tucker . Naomba maoni yenu.
0 Reactions
45 Replies
7K Views
Nikikaa mi hii ndio top 3 yangu sijui wewe mdau! 1. Yondo sister Yondo Sister - Mbutumutu | Muziki.net 2.Sokous star Sokous Star - Sophia | Muziki.net 3.Pepe Kale Pepe Kalle - Gerant | Muziki.net
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kwa mujibu wa Hashimu Lundenga mwakilishi wa miss tzz anategemea kutafutwa jumamosi hii wakati bado mashindano ya vitongoji yanaendelea...anasema tayari amepata warembo kumi (10) ambao walishawahi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kipindi Nyiboma anatamba kwa redio zote Tanzania na Maya maya maya maya mo Nyiboma - Maya | Muziki.net
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakati hashim Dogo anavuma na hii ngoma (shadow of the dark destiny) ulikuwa wapi Mdau mwenzangu?.Wagumu,Mabitoz na Masistaduu wa kipindi kile Bongo Flavour inaitwa mziki wa Ku-Rap......
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima kwenu brothers and sisters, Naomba msaada wa jina na link ambayo naweza nikapata wimbo huu wa kiafrica, unaotumiwa sana na dstv katika matangazo yao hasa ya proud to be africans...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimeupenda sana wimbo huu uliotumika kwenye tangazo hili la Coca-Cola na nikathubutu kuutumia kama ringtone ya simu yangu, kwenye kuGoogle kwangu kuhusiana na hili tangazo, kuna watu wanalalamika...
3 Reactions
21 Replies
5K Views
Roho inaniuma nikivifikiria vifo mfurulizo vya wanamisic nguli waimbaji wa MSONDO MUSIC BAND. hasa TX MOSHI WILLIAM, toka msiba wa mwanamusiki huyu siisikii tena band...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom