Nimekuwa nikifatilia hii channel via startives taklibani miezi miwili sasa, hii cahnnel imekuwa ikiniboa sana kwa kukosekana kwa sauti,yani unaangalia picha tu kama unaangalia album, tunaomba...
Nilikuwa nikifuatilia kwa umakini kujua kuwa, hawa clouds Media wamepata wapi camera hizi za kurushia matangazo picha bila majibu. kwa ufupi kamela hizi ni hafifu sana na zinakosa mvuto kabisha...
Hatimae sasa bwana Steven Kanumba keshazikwa,hatunae tena duniani,tunamuombea kwa mungu amsamehe madhambi yake na pia tunamuombea mungu amfanyie wepesi siku hii ya leo kwa sababu inaelezwa na...
Watanzania tumeumia, pengo lake kiukweli ni ngumu sana kuliziba, ndugu zangu kwetu vijana ametufundisha penye nia pana njia amefanya mengi na makubwa tungo zake zimegusa kila rika. kama wimbo wako...
AMERICAN MOVIES TEACH US:
1. Chinese have nothing better to do than teaching or practice Kung Fu.
2. More than 50% of U.S. population are FBI/CIA agents, working undercover.
3. The purpose of...
ukisikiliza wimbo wa kamili gado ukaja kutazama na video yake unajikuta unapunguza thamani ya wimbo wenyewe. Katika video hii prof j yuko tu na warembo mwanzo mwisho na anaonekana zaidi...
Kamumba hatunaye tena, lakini kazi zake zitaishi na ataenelea kukumbukwa kwa mengi. Katika thread hii napenda tuzungumzie yote yanayomhusu Kanumba ikiwepo Historia yake, kazi zake, Awards, Kazi za...
Wanamuziki wawili, Selemani Msindi aka Afabde Sele na mwenzake 20% wamefikishwa katika mahakama mjini Morogoro hapo jana Alhamisi baada ya kuleta fujo katika eneo la Benki ya NMB Morogoro...
Watu
wanazidi kumiminika, japo mambo bado hayajaanza rasmi.
Kwa mlioko jirani karibuni leo wakali wa muziki wa injili wanauwa moto
uwanja mpya... Kwa mlio mbali tutawajuvya pamoja na picha.
Nime amua kuliuliza hili kwasababu watanzania tulio wengi tumezoea kufanya mambo bila kujihoji kama ni kifa na vitu vyangu vitakufa? sababu hiyo kampuni tunaitegemea hiwe chachu ya kuhenzi aliyo...
mambo vp pipoz... daa ebana jana nilikuwa nacheki muvi moja ya kibongo daa dzaini ka nkashindwa kuelewa hivi ni kwanini karibu muvi zote za kibongo wasanii wanaokuwa wamepangiwa waigize kama...
Kwa wale waliotazama mfululizo wa sinema tatu (Trilogy) za The Lord of the Rings (The Fellowship of the Ring, The Two Towers na The Return of the King) wataona kuwa CCM imekuwa ikitishia watu...
Hivi kwa nini mtu ukitaka kuwapa big 5 hawa wanamuziki wa nchi yetu hii ya Tanzania, mambo huwa hayaendi?
kama wanavyojitangaza? wakisema saa 3 usiku muwepo msikose kumbe ni bomuuuuuuuuuuu...
wakati Apri 1st ikikaribia wengi huwa wanasheherekea sikukuu! ya wajinga lakini mi nakumbuka kifo cha huyu legend wa R&B, soul, doo-wop, funk, quiet storm...!!! RIP Marvin! Moja ya nyimbo yake...
Nasikitika kuwa jamii ya burudani ya music hasa bongo fleva hapa tanzania haiwezi kukua wala kusonga mbele kwakuwa ina watu wajanja wajanja wapenda pesa za burudani bila kupenda maendeleo ya...
Huu wimbo naona unatesa sana Youtube. Umetoka kwenye wimbo wa Rock maarufu wa Paradise - Coldplay ambao wanaonyesha Tembo (Mtu) anasafiri kuja Africa na kuwakuta wenzake wakila good time in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.