Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

kitendo cha kuendelea kuwa na mashindano ya vodacom miss TZ,ni wazi kuwa Wao si wamoja katika muungano huu,Taifa linakabliwa na simanzi ya ajari ya Meri wakati wengine wanashindana nani Ana SURA...
0 Reactions
104 Replies
10K Views
Ndugu zangu, naomba kutoa angalizo kuhusu haya mashindano ya Miss Tanzania. Ikumbukwe kuwa hayo mashindano yameendeshwa wakati wenzetu Wazanzibari wamekumbwa na msiba uliotamkwa kuwa wa kitaifa na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Niko kwenye harusi ya Alex Tibaigana, mtoto wa Afred Tibaigana. Mzee mzima mwenyewe kamanda wa zamani anaongoza kwenye. VWERE FWANTASTIKA
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Vodacom miss Tanzania Salha israel(katikati) akiwa na mshindi wa pili Tracy Sospeter(kulia) na mshindi wa tatu Alexia William mara baada ya kutangazwa usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa mlimani...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
inakuaje wakumajembe wote hapo? wakuu j2 hii naomba kama nyie ni wapenzi wa the game tafuteni album yake mpya ya R.E.D hususan ngoma aliyofanya na chris brown inaitwa pot of gold
0 Reactions
0 Replies
801 Views
Halikuwa kusudio letu kumchonganisha yeyote na lolote katika thread nyingi zilizoandikwa hapa jana juu ya fikara za hatua gani ingekuwa ya busara zaidi katika kushughulikia maafa haya badala ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
bado hainipi ndo kwanza network inataftwa?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Huu ndiyo muda niliokuwa nikiusubiri. Mmoja kaulizwa jins ya kuepuka vita ya wenyewe kwa wenyewe, yeye kajibu hatuna udini wala ukabila kwa hyo vita haiwezi kutokea.
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Je jamaa wanafanya biashara au, maana Mbeya hamna FM ya maana na zote zinaongea ujinga ujinga tu. Bora clouds kidogo ilikuwa inabadilisha mazingira. Ukimuuliza kila mwenyeji wa hapa wanasema n...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Watching Vodacom Miss Tanzania 2011........Nothing New meeeeen...Ngoja niendelee kupenda Sports hasa Simba na Arsenal tu ....Sometimes vitu vingine vinaweza kukufanya utapike......Khaaaa!!! Ptu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
1 Avatar $2,782,275,172 2 Titanic $1,843,201,268 3 Harry Potter and the Deathly Hallows - Part 2 $1,269,921,000 4 The Lord of the Rings: The Return of the King $1,119,110,941...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naombeni web ntakayo download free mp3 songs.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Sorry post imejirudia
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wale wapenzi wa Drama za Kikorea ile series iliyokuwa inarushwa hewani na ITV The Slave Hunter imefikia tamati leo. Kama ilivyokuwa iliyopita hii nayo imeniacha hewani kwa mwisho wake kutokuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu tangu wiki hii imeanza, nimemkumbuka sana bwana mmoja aliyejulikana kwa jina la Manase Muhaha a.k.a Mgogo (yaani ndo leo nimelikumbuka jina lake), alikuwa mchangiaji maarufu sana wa mada...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
James Bond kwa takriban miaka 50 (1962 - 2011) ametoa sinema 23 ambazo ni wastani wa sinema 2 kwa mwaka kwa kuanza na Dr No ya 1962 hadi Quantum of Solace ya 2009. Katika kipindi hicho kuna...
3 Reactions
25 Replies
4K Views
CLICK HERE NOW BONGOMP3- Download miziki mipya ya bongo | Bongo flava, nyimbo za dini, boringo, taarabu, zilipendwa na VICHEKESHO
0 Reactions
18 Replies
177K Views
Lil Wayne was thisclose to making history as the first rap act to open with back-to-back million-selling albums. Thanks to record-setting iTunes sales of 300,000, plus the push provided by a...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Busta Rhymes - Arab Money
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimetokea kuwapenda sana hawa jamaa wawili Mbwiga na Zomboko pale wanapohojiwa au wanatoa maoni kuhusu mpira wa miguu (Mbwiga) na muziki wa zilipendwa(Zomboko) Mbwiga anakuwa burudani tosha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom