Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Leo nimeona watoto street wakipita kupiga vile vingoma vya daku ikanikumbusa long time uswazi tulivipiga kinoma. Nimekumbuka baadhi ya mistari ya enzi hizo......embu cheki....; Scania, wani wani...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Msaada jamani wana JF mwenye CD yake naomba anipatie
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Japo Kim sio Beyonce siku hizi, lakini blogu za Kikenya hazijasita kuwajia juu ma promoter wao kwa kushindwa kuwaletea wasanii kama wa Tanzania wanavyosababisha. Lil’ Kim to Rock Tanzania...
0 Reactions
34 Replies
7K Views
Nyimbo hizi huwa zinanipeleka mbali sana....:) Haya kazi kwenu weekend ndiyo imeanza, kivumbi na jasho mnywe, mcheze kwa furaha...life is too short you need to have good times too...:)
0 Reactions
133 Replies
18K Views
YouTube - ‪Joti - Jibwa Koko (BONGO STAR LINK - www.djchoka.blogspot.com)‬‎ TEH TEH HUYU DOGO HAJATULIA KABISAAA
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mixtape maarufu hapa nchini inayokwenda kwa jina la AntiVirus yenye nyimbo zaidi ya nane zilizoimbwa na wasanii mbalimbali wanaojipambanua kama wapambanaji dhidi ya wizi wa kazi za wanamuziki wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Zamani zetu zile Mwalimu akiingia darasani tulikuwa tunainuka na kusema Heshima na utii, tukiwa shuleni na nyumbani Shikaaaaamooooooooo Mwaliiiiiiiiiim huku dole gumba likiwa kwenye paji la uso...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu habari Naomba wenye link za online radio aswa zenye kupiga miziki yenye asili ya kiafrika wa-post link zake hapa. Nimekuwa nikisikiliza radio moja "http://www.soukousradio.com/" inapiga...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naitafuta hii albam katika mfumo wa CD. Namkubali sana robert wa enzi zile alipokuwa akipiga dongo na kuimba kwa sauti nzito kiasi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajitahidi!
0 Reactions
0 Replies
786 Views
kwa wapenzi wa tamthiliya, naombeni mnijuze jamani tamthiliya ya impostara inayorushwa na Star Tv iliendelea vp jumapili? mana sikuangalia siku hiyo. vp sara(vanesa mpya) amemtambua ndugu yake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Buriani sikinde ngoma ya ukae - mwanzo ilikuwa kama utani pale redio mbao zilipoanza kutangaza kwamba wamiliki wa bendi ya mlimani park orchestra wana sikinde ngoma ya ukae, shirika la...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Sasa hivi africa nzima wanamuziki wa nigeria wanatamba..... Sasa mimi huwa najiuliza hivi kwa nini hawatambi dunia nzima????? I mean sijawahi sikia labda p square ft snoop hivi au j martin ft...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
kwanza niwapongeze wasanii wetu wa filamu kwa juhudi zao za kuendelea tasnia ya filamu katika bongo yetu.wanajitahidi kwa kweli. lakini kuna kitu kinachoniboa katika muvi zetu hizi, na ni ishu...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nani aliesema shakira ndo bingwa wa kusakata mauno in ze weldi?? tazama vitu anavyofanya dogo huyu, Ray C kafunikwa kabisaa hivi akikua itakuaje?? shakira cha mtoto hahahahahahhah
0 Reactions
11 Replies
2K Views
hivi movie za bongo waga wanaandika script kweli?angalia hii hapa hata dk ya tano haijaisha tayari ujinga umeonekana...sikiliza kwanza utambulisho tu...miaka 25 na mwingine 24 hivi kweli ndo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Miracle escape at Brands Hatch Mon Jul 19 11:30AM Drivers and marshalls alike made a miraculous escape at Brands Hatch after a racing car flew out of control and flipped over crash barriers...
0 Reactions
0 Replies
915 Views
YouTube - Congo - Tshala Muana - Concert Live week-end njema wakuu mi nisha do ze nidiful naingia mbonji.:cool:
0 Reactions
0 Replies
800 Views
With just a few hours to go before the launch of Big Brother Africa: The Revolution, speculation is widespread about where the new housemates could be flying in from. Fans live you from all over...
0 Reactions
653 Replies
77K Views
Ile show ya mwanamuziki mahiri wa Burundi, "Kidumu", imekuwa sabotaged. Nawasiliana na waandaaji wa show hiyo leo baadaye ili niupate mkanda wote, kisha nitapost hapa kesho, muone jinsi "The Don"...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom