Great Thinkers

JF's Great Thinkers' home | If you want to be enrolled, contact us

JF Prefixes:

Likizo yangu ya mwaka huu ilikuwa miongoni mwa likizo bora kama nilivyo tabiri kabla ya hapo. Kazi zangu ninazozifanya na kunipatia riziki zinanifanya nisitumie muda wangu vyema katika kufikiri...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ifuatayo ni sehemu ya hotuba maarufu aliyoitoa Bw. Oscar S. Kambona ambaye alikuwa ni Katibu Mkuu wa Chama cha TANU na Waziri katika Baraza la Nyerere. Hotuba hii ilitolewa Bungeni (Dar) na...
11 Reactions
76 Replies
18K Views
My brother and sisters, what do we need in Africa? a Strong President like Chevez, castro and others or strong and functional state institutions? Labda hiki ni kimoja kati ya mambo ya muhimu...
7 Reactions
2 Replies
2K Views
KWA NINI WAISLAMU HAWANA IMANI NA VITENGO VINAVYOHUSIKA NA TAKWIMU? Hili ni suala muhimu kulipatia jibu na kulifahamu kwa kina sisi kama Waislamu. Wengi wana maoni kuwa kitendo cha Waislamu...
18 Reactions
61 Replies
15K Views
Leo tarehe 31 / 12 / 2012 Rais wa JMT Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katangaza matokeo ya idadi ya watu Tanzania.Tanzania ina jumla ya watu 44,929,002,Tanzania bara watu 43,625,434 na Zanzibar...
17 Reactions
31 Replies
4K Views
Mimi nikiwa mmoja wa watu ambao tumeweka matumaini makubwa kwa chama cha Chadema kuleta mageuzi nchini nina ushauri mdogo sana kwa Zitto kuhusu SIASA zake na misimamo yake ambayo ndiyo sababu na...
76 Reactions
187 Replies
24K Views
Kunatafsiri tata ya tafakuri dhidi ya hitaji muhimu la Tanzania na watanzania wa leo na wakesho! Hebu tujiulize watanzania tunajua tunachokihitaji ktk uwanda waleo tuliopo na tuuendeao? Ni...
1 Reactions
39 Replies
5K Views
Wakuu inaonekana sasa kuwa CCM kama chama, kimeanzisha na kuimarisha propaganda [kudanganya au ku-mislead watu], kutumia mamluki na baadhi ya waliohongwa na kupenyezwa kwenye vyombo vya habari...
13 Reactions
21 Replies
3K Views
Dear JF Esteem members, It has to be understood that i cherish the beauty of fundamental right to freedom of expression that JF has offered and spearhead on her site, likewise i am astonished at...
5 Reactions
13 Replies
3K Views
MBUNGE wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema Kwa ufupi Katika shauri hilo namba 84 la mwaka 1980 lililofunguliwa na William Bakari na mwenzake dhidi...
12 Reactions
164 Replies
16K Views
As much as I would like to appease Dr. Slaa's fanatical base that he is heading to Ikulu comes 2015 but the truth ought to be told much earlier …that they are merely pegging their...
20 Reactions
133 Replies
13K Views
Mwaka 2003 wakati Rais wa Rwanda Paul Kagame akihojiwa na Jarida la News of the World kuhusu Misaada ya kifedha inayotolewa kwa bara la Afrika na kama imeweza kumaliza ufukara na hata kuyahamisha...
6 Reactions
4 Replies
3K Views
  • Closed
Wana JF, Baada ya maombi ya Yericko Nyerere na Nnauye Jr kuwa wawe na mdahalo wa wazi, JF imeniomba niusimamie mdahalo huo baina ya wawili hawa. Yatagusiwa masuala kadhaa lakini hatutakwenda...
9 Reactions
6 Replies
3K Views
Maendeleo ya binadamu yamepiga hatua sana pale binadamu walipoamua kuishi pamoja. Tatizo moja la kimsingi kabisa lililopelekea binadamu kuwa na serikali ni changamoto ambazo binadamu alikuwa...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa sie tuishio mitaani huku Tanzania,hakika kuelekea uchaguzi wa 2015 naona kuna joto ambalo halipaswi kupuuzwa ambalo liko kwenye kada ya wenye ufahamu juu ya nani aweza kuwa RAIS WA TANZANIA...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
SEHEMU YA KWANZA Mabadiliko ya uongozi ndani ya CCM yaliyotokea hivi karibuni yameleta matumaini kwa baadhi ya watanzania kwamba – ujio wa Mangula utarudisha imani na uhai wa CCM kwa umma...
8 Reactions
71 Replies
11K Views
Katika taifa letu la Tanzania rushwa imeenea katika maeneo mengi hususani kwenye utoaji huduma kwa wananchi (service delivery). Kila taifa hutumia njia tofauti kukabiliana na rushwa, baadhi ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Katika kipindi cha hivi karibuni, vyama vya upinzani nchini Tanzania vimekuja na mbinu mpya za kisiasa ambazo zinahusisha Political Movements (vuguvugu la kisiasa); Vyama hivi ni viwili &#8211...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Hili ni jambo ambalo hunisumbua sana akilini mwangu, na ninaoma tulijadili kwa usikivu bila mipasho na ushabiki, ikiwezekana. Unaweza kuingia ofisini kwa mtu ukamkuta anaongea mambo ya kiumbea na...
13 Reactions
65 Replies
10K Views
SEHEMU YA KWANZA: UTANGULIZI Ingawa huu ni mdahalo, kuna mambo kadhaa muhimu ambayo yanahitaji kuwekwa sawa ili kuepuka upotoshwaji wa hoja. Hivyo nitaomba uvumilivu kidogo. Taifa lipo...
29 Reactions
185 Replies
20K Views
Back
Top Bottom